Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
LINGANISHENI HIZI PICHA AFU MJIONE AIBU NINYI WENYEWE; View attachment 2848562View attachment 2848563
Mtu akishauliwa anakua na faida gani particularly kama hakuwa na ukubwa wwte kijeshi au kisiasa....waushikilie huo mwili kwa lipi hasa....kuufanyia uchunguzi au kwa dhumuni gani hasa....shida ya Hawa taifa teule kama wanavyilojiita wanadhani bdo Dunia ipo miaka ya 70 huko...wanaweza wakasema lolote na watu wakapokea bila kutafakari....wanajitahidi kupiga Kila aina ya propaganda....wao ndo imeoneshwa pasi na shaka ushahidi wa kuua watu wasio na hatia....wameua mpk raia wao...waandishi wa habari...raia wa ufaransa....Kila aina ya ushenzi wameufanya....sasahv wanakuja kusema mtanzania mwenzetu ameuawa na mwili umeshikiliwa....wacha muda uende ukweli utajulikana tu....once a lier always a lierMsemaji wa Hamas aliweka wazi mauaji ya raia wa nchi zingine waliowateka ni Salam kwao kwamba kumpeleka raia wao Israel ni hatari. Na wao wapo vitani na Kila mshirika wa Israel.
Sasa kama walimteka na amafariki wakiwa nae, unataka Israel waseme Wana mwili wake?
Kumbuka kama alikua ameenda Israel Kwa kufuata taratibu zote, serikali yetu itataka kujua Nini kimejiri na mwili wake uko wapi. Lazima Israel watolee ufafanuzi.
Wewe unachopinga ni kipi, kwamba hajatekwa na Hamas, hajauwawa na Hamas au mwili wake haupo mikononi mwa Hamas?
Akili kisoda hizi. Kwahiyo what is your point terrorist defender? Stupid.Yule binti alioneshwa siku ya kwanza ya tukio kati ya watu waliochukuliwa kwenye jeep ya jeshi la israeli na waliondoka nae akiwa hai alifariki akiwa mateka . Umeona video ya joshua?
Sijakataa mkuu mimi swali langu kwanini wamuuwe waondoke na mwili wake? Mbona wengine waliwateka wakiwa hai na waliowauwa hawakuchukua miili yao?Israel si mahali salama kwa watu wasio Waisrael huo ndio ujumbe wa Hamas kwa mataifa mengine na ndio haswa inaaminika sababu ya watu wa mataifa mengine kuuawa wakiwemo hao Watanzania...
Israeli siku ya tukio tarehe 7.10.2023Kwani ile video ilichukuliwa wapi?
Kwa mujibu wa video ya mauaji ya joshua tukio lilifanyika ndani ya israeli maana Joshua hakuwa akisoma Gaza mkuu. Na ni wazi ilikuwa ni siku ya uvamizi tarehe 7.10.2023 sidhani baada ya hapo Hamas walirudi israeli kufanya tukio jengine baada ya tarehe 7.10.2023.Wewe Bora unaenda kisomi kiongozi, Sasa Kwa mujibu wa hii taarifa, inamaana Hadi hapo huyu mwingine Bado alikua hai.
Sasa maswali yangu ya awali Kwa mleta Uzi, yalitokana na madai kwamba Joshua alifariki tar 07 October. Ndio maana nikapenda kujua mtiririko wa matukio kuanzia utekeaji/ upoteaji wa hao ndugu zetu hadi vifo vyao.
Shida nyingine hii vita Mara nyingi hua imeghubikwa na ushabiki kama ilivyo kwenye soka. Kutokana na hayo panakua na propaganda, taarifa nyingi zisizo rasmi zinazokinzana ilimradi tu ziupe ushindi upande husika.
Nafikiri hadi hapo umeona msingi na sababu ya maswali yangu ya awali Kwa mleta Uzi.
Ili ujadili mwili wa marehem, ni muhimu kujua kifo kilitokea lini. Ndio maana nikauliza habari za msiba wake nani slizileta na zilitolewa lini ( nashukuru umejibu Kwa ufasaha).
Sasa taarifa kwamba Joshua alifariki tar 07 October imetolewa na nani?
Mleta Uzi anahoji kwanini waliondoka na mwili wake tu wakaacha mingine ikimaanisha tayari aliywawa tar 07 October.
Ningependa akiweka sawa hicho chanzo kama ulivyofanya wewe kiongozi.
Hii mada imekuzidi uwezo.kaa pembeniKwa akili Yako ndogo unaona Kuna swali la maana hapo?
Hapa hata dini hazihusiki mkuu ni sisi tu wabongo kwa kupenda ushabiki wa kijinga bila kutafakari.Hizi dini hizi mh!
Hasira za nini?Akili kisoda hizi. Kwahiyo what is your point terrorist defender? Stupid.
Wewe uliwahi kusikia?Kwahiyo Mkuu tokea tar 07 October, hapakuwahi kutolewa taarifa zozote kuhusu walipo hawa watanzania wenzetu hadi hiyo tar 14 December?
Ndio mujue sasa kufatilia mambo kabla ya kuanza kukurupuka na kutokwa na mapovuShukran sana Kwa jibu mujarabu Mkuu, mambo yanatakiwa yaende namna hii.
Oh! Na tangu hiyo taarifa itolewe ndio ikaja hii ya 14 December nayo kutoka serikali ya Israel kwamba amefariki na mwili wanao Hamas, sahihi?
Kwa mujibu wa video ya mauaji ya joshua tukio lilifanyika ndani ya israeli maana Joshua hakuwa akisoma Gaza mkuu. Na ni wazi ilikuwa ni siku ya uvamizi tarehe 7.10.2023 sidhani baada ya hapo Hamas walirudi israeli kufanya tukio jengine baada ya tarehe 7.10.2023.
Ukiwa uwanja wa vita hata na kitambaa tu sio unaonekana mwanajeshi unaonekana komando kabisaaHata mi ninayo kwa hiyo na mimi ni mwanajeshi?
Ndio mujue sasa kufatilia mambo kabla ya kuanza kukurupuka na kutokwa na mapovu
Safi sana kijana naona umeamua kuchutuma baada ya kujua nguo imekuvuka nahuu sasa ndio uungwana utakiwao
Kwa hiyo leo tunakubaliana kuwa wale walikuwa ni Hamas?Ukiwa uwanja wa vita hata na kitambaa tu sio unaonekana mwanajeshi unaonekana komando kabisaa
Yaani umkute mtu na ishara ya uanajeshi halaf uko vitani na sio jamaa yako unapata wapi ujasiri wakumuacha kwanza utakua ama utaonekana mzembe wakiwango chajuu kabisaaaa
Poleni sana kwa familia ya mollel ila kwa hili mazayuni wanahusika
Wewe uliwahi kusikia?
Hii ndo inafikirisha zaidi. Hana Kuna namna si bure. Hamas wanasingiziwa mwili wa askari wao wanao wenyewe. Mmesahau yule mwanafunzi aliyefia Ukraine?