Nickson francis
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 700
- 1,306
Sio wewe uliekuja na uzi humu kuwa tayari IDF wameshakimbia Lebanon,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamefanya nini mpaka sasa kufika hapo?Na huu ndio ukweli wakifanya maskhara mpaka teli avivu na Jerusalem watapakimbia
Labda huelewi.Meronites na Sunni wasaidie kuwasafisha Hezbola Lebanon kwa maana wao ndio sababu Lebanon imeingizwa kwenye Vita.
Unaanzaje kumuelekeza adui namna ya kukupiga? Israel wakamatie hapo hapo, vita ni vita, havichagui silaha au namna ya uvamiziUjumbe ndio huo, msemaji wa Hezbullah anasema Israel hawezi kushinda vita kwa ndege, au kuvunja majumba na kuwauwa watoto au wanawake. Vita huwezi shinda bila ground force, na hicho kitu Israel hana. Anasema watakumbuka ujumbe wa Nasurlah Israel yupo katika ndoto, jeshi lake ni dhaifu kuliko nyumba ya baibui
Anawambia Waisrael wajiandae kuna miji mingi karibuni mtabidi muondoke siku sio nyingi. Hivi kuna dharau kama hio, si bora tu Israel asema nimeshindwa vita nioneni huruma 😄
Wamewahamisha Kaskazini ya Israel yote, kibabe tu. Si ndiyo hasira yao wakaja waivamie lebanon na wawamalize Hezbollah.Wamefanya nini mpaka sasa kufika hapo?
Wamezuiwa kununua kununua au kupewa na Marekani mabomu na ndege za kivita? Yaani unataka kupigana ila unachagua upigwe vibao tu bila ngumi eti kwa kuwa wewe haujala mchana?Anhaa , swali zuri sana hili ! Hizbullah hawana ndege za kivita wala mabomu kama ya wazayuni wanayouziwa na USA ,UK na nchi zingine za Ulaya ! Ingekuwa nao wana ndege nakwambia saa hizi Israel ni magofu tu washakimbilia baharini mazayuni wote.
Usiingie vitani kwa kutegemea adui yako atatumia silaha unazopenda wewe, au atachagua umri na jinsia ya kuua. Ukilianzisha au kulitaka, jiandae kulinda raia na mali zakoIsrael hawawezi battle ya face to face kwa ground wenyewe wanaweza kurusha makombora kwenye makazi ya watu na hospital Israel ni magaidi wanaoua watoto na wanawake ila hawataweza kuua ideology
Wakamatie na Raia washahakimbizwa karibia mwaka sasa? Nani arudi?Unaanzaje kumuelekeza adui namna ya kukupiga? Israel wakamatie hapo hapo, vita ni vita, havichagui silaha au namna ya uvamizi
Wamehamisha wangapi mpaka sasa?Wamewahamisha Kaskazini ya Israel yote, kibabe tu. Si ndiyo hasira yao wakaja waivamie lebanon na wawamalize Hezbollah.
Wamekikwaa kisiki. Wenyewe wamejiondoa baada ya kichapo na kurudi Kaskazini ndiyo kama walivyoambiwa,
Kwa hiyo wanawake na watoto hawauawi tena?Wakamatie na Raia washahakimbizwa karibia mwaka sasa? Nani arudi?
Wewe hataKwa hiyo wanawake na watoto hawauawi tena?
Wamefanya nini kwenye engo ipi mkuu swali lako kama sijalielewa na wamefanya nini kina naniWamefanya nini mpaka sasa kufika hapo?
Hata kama ila wazayuni hawatarudi kule walipikimbizwa hata kwa dawa yaani upende au usipendeKuongea kila mtu kaumbiwa, ila usishangae yeye kesho tu tukakutana na breaking news kuwa yuko anabugia ulabu na bikra zake 72 pembeni huko kuzimu.
Kwamba idf usaf na NATO wote wamechemka ama sasa ule uteule wa six day waa umekufilia wapiMeronites na Sunni wasaidie kuwasafisha Hezbola Lebanon kwa maana wao ndio sababu Lebanon imeingizwa kwenye Vita.
Huwezi kushinda vita kwa kuvunja majumba kama anavyo fanya idf ukaacha military target na ndio maana zayuni anashindwa kushinda hii mbungiMbona wao Hezbullah hawavunji majumba ya Israel? Wamezuiwa?
Aliye kuwa anawapa siri kafungwa jela , afu wapi kasema Israel anashinda vita kwa ndege 😄 Alicho sema ndege hauwezi kushinda vita, ndege ni kuvunja majumba unauwa watoto na wanawake. Ukitaka kuvunja silaha za Hezbullah ni lazima uingize ground force,na hapo Israel hana ubavu huonani kamdanganya kuwa ISRAEL inashinda vita kwa ndege pekee? huyu msemaji tutamlambisha udongo soon
uzi wangu kausome vizuri unasema Israel wanataka kusimamisha vita upande wao kule Lebanon ni channel 12 ya Israel ndio imesema katazame vizuri. Hio habari ni TV channel ndio zimeleta na ukweli ndio huo. Hio kama sio kukimbia ni nini.Sio wewe uliekuja na uzi humu kuwa tayari IDF wameshakimbia Lebanon,