Netapaka bwege sana kafanya waIsrael Dunian kuchukiwa zaid kwa kuuwa vitoto ambavo azina usaidizi wwte wala avikuwa vinaweza saidia Hamas vitoto vidogo wamama sasa uko Ulaya yote wanachukuiwa kias uwepo wao seem inalazimu Polisi wawepo wazungu wamewakamia jamaaa zao. Yote Netanyahu chuki zake kwa wapalestine kias achagui uyu mtoto uyu mama upo ufaransa kuna tamasha imejulikana Netanyahu alikuwa afike viama kazaa vyakutetea haki za Binadamu vimepinga kuja Netanyahu mpaka sasa aijulikani kama ataenda au laah wazungu wanamuona Netanyahu kama Gaid au paka kweli awamtaki kabisa. Wkt wananchi wake walio Ulaya ndio ivyo inabidi wasitambulikane kama ni zayuni au watambulike lkn pembeni wawepo Polisi!! Aya uko Israel nako wanalala kwenye maandaki pamoja na Netanyahu mwenyewe !! Yote raaana kuuuwa vitoto kwa umat na avina dhambi. JE Israel atachomoka kwenye mdomo w hezbullah tujipe mwezi yajayo yanapendeza kilio kitasikika tuwe tayali kuwapokea wakimbizi!!!