Msemaji wa Hezbullah: Waisrael Hamtarudi North, Msahau Kabisa

Msemaji wa Hezbullah: Waisrael Hamtarudi North, Msahau Kabisa

Netapaka bwege sana kafanya waIsrael Dunian kuchukiwa zaid kwa kuuwa vitoto ambavo azina usaidizi wwte wala avikuwa vinaweza saidia Hamas vitoto vidogo wamama sasa uko Ulaya yote wanachukuiwa kias uwepo wao seem inalazimu Polisi wawepo wazungu wamewakamia jamaaa zao. Yote Netanyahu chuki zake kwa wapalestine kias achagui uyu mtoto uyu mama upo ufaransa kuna tamasha imejulikana Netanyahu alikuwa afike viama kazaa vyakutetea haki za Binadamu vimepinga kuja Netanyahu mpaka sasa aijulikani kama ataenda au laah wazungu wanamuona Netanyahu kama Gaid au paka kweli awamtaki kabisa. Wkt wananchi wake walio Ulaya ndio ivyo inabidi wasitambulikane kama ni zayuni au watambulike lkn pembeni wawepo Polisi!! Aya uko Israel nako wanalala kwenye maandaki pamoja na Netanyahu mwenyewe !! Yote raaana kuuuwa vitoto kwa umat na avina dhambi. JE Israel atachomoka kwenye mdomo w hezbullah tujipe mwezi yajayo yanapendeza kilio kitasikika tuwe tayali kuwapokea wakimbizi!!!
Wazayuni hii mbungi hawatoboi ni suala la muda walidhania wapo miaka 80 huko na watapigwa sana hawa mbwa kila pembe ya dunia wauaji wakubwa
 
Tunaandamana nanani kijana sema wanaandamana na hao wanaoandamana wanaandamana kwa matakwa yao wala hawajalazimishwa na mtu
Wanaoandamana ni Wahamiaji kutoka Uarabuni Pakistan Afghanistan Bangladesh nk.
 
Kwani kuna ubaya kuandamana wakiamua hata wewe unaweza kuandamana wazayuni wenu waachiliwe na hamas rukhsa kuandamana
Mbona hamuandamani Saudi Arabia?! Kwasababu mtauwawa kama Nzi.
 
"Idiotism" ni ugonjwa wa kufikuria kuwa Mwarabu atashinda vita dhidi ya Israel.
 
Iran atalipiza usidhani imeisha.
Muda na siku sisi hatujui ila usidhani amesahau.
Aha hao wajamaa wamedhamiria na safari hii hawataki ujingi ..anayewaza kuwa Iran itakaa hovyo bila kulipa akapimwe akilia. Kwa sasa tunaenda sawa isreli akitupa jiwe moja anapigwa 40 ili asirudie tena na safari hii jamaa wameshamiria kuonyesha dunia wao ni akina nani kuna mambo wanayaeeka sawa lazima haitafika tarehe 15 mwezi wa 12.. kumbuka ahadi ni deni
 
Mbona wao Hezbullah hawavunji majumba ya Israel? Wamezuiwa?
Kuvunja majumba kunafaida gani katika vita? Kwa kutoelewa vita Israeli inahangaika na wanamgambo mwaka huu sasa, Hamas na Hizbollah wapiga kwenye mashono Israeli anapambana na magorofa na watoto.
 
Uisilamu kama Idiolojia unapunguza IQ za Waumini wake.
20241109_185835.jpg

Mateja yote ya Kizungu yamefanywa kuwa Magaidi😆
 
Kuongea kila mtu kaumbiwa, ila usishangae yeye kesho tu tukakutana na breaking news kuwa yuko anabugia ulabu na bikra zake 72 pembeni huko kuzimu.
Nakazia hoja. Walianzaga hiv-hiv na wimbo wao "....kuvunja majumba na kuwauwa wanawake na watoto......." Mwisho wa siku tukasikia Neno Eliminated.
 
  • Kicheko
Reactions: K11
Sunni tena kwani si tumekubaliana hio ni kazi ya IDF ku deal na magaidi
Najib Mikati Waziri Mkuu wa Lebanon ambae ni Sunni no Anti Hezbollah au hujui hilo?
 
Back
Top Bottom