Msemaji wa Hezbullah: Waisrael Hamtarudi North, Msahau Kabisa

Msemaji wa Hezbullah: Waisrael Hamtarudi North, Msahau Kabisa

Ndio mateka wakakombolewa ama hamas ikawa eliminated nayo
Mchakato wa kuwapata/kuwakomboa mateka bado unaendelea na HAMAS iko ICU, na mwamba ana-deal perpendicularly na mzee wa maroketi a.k.a Hezbollah.
 
Kwa hio Gallant na Chief of Staff wao pia waongo, wamesema Shetanyahu anatulazimisha tupigane vita, sio kwamba jeshi la Israel ni dhaifu. Lakini kwa Hezbullah lazima tukiri Israel hatuwezi kumshinda Hezbullah jeshi lake ni superior kama alivyo shindwa Ehud Olmert mwaka 2006, na Nyau atashindwa tu.
Kwa hiyo kumbe hamas watashinda vita na Hezbollah pia?
 
Sawa lakini hio c kazi ya IDF au
Kweni unabisha nini unakubali nini?! Mimi nimesema kuwa ni bora Sunni na Catholics waungane ili kuwaondoa Hezbola kwasababu Hezbola wameiingiza Lebanon kwenye Vita.
 
Kwa hiyo kumbe hamas watashinda vita na Hezbollah pia?
We hesabu majumba na watoto na wanawake mlio uwa, sisi tunahesabu Military Strategy Point tulizo piga na kuharibu uchumi wao pia kuwakimbiza israel North na sa Haifa ipo njiani. Tunacho omba US asilete ujinga wa kusimamisha vita kwa njia ya UN wacha tuone ubabe waisrael utafika wapi, na pia wacha US na Nato wawape Israel silaha sababu tunazitandika tunawamaliza baba, mtoto na wajomba zake mpaa waone silaha zao haziwezi washinde Waumini waislam wa kweli.

Big up Hezbullah piga hao kenge mpaa waseme maji maiiii 🤣


View: https://youtu.be/e5U7vmdlbCg?si=5xcAkG5O60JM4kG1

Mpinzani Israel anaficha ukweli wa askari wake walio kufa na walio umia hizo number anazo toa ni ndogo sana. Huyu katika vyama vya upinzani anasema nyau hasemi ukweli.
 
Nnachowapendea IadF maneno kidgo vitendo vingi.

Ingekuwa bila ground tusingeona Yale ma tunnels kule Lebanon. Tusingeona viporo vya silaha walizokimbia Hizbullah baada ya kipondo kuwa kingi., tusingeona wanajidai elite force wakidakwa kama kuku mwenye kideli huko southern Lebanon.

Ukiona mtu anaongea sana ujue anatapatapa Yuko stage za mwisho kutupa taulo.
 
We hesabu majumba na watoto na wanawake mlio uwa, sisi tunahesabu Military Strategy Point tulizo piga na kuharibu uchumi wao pia kuwakimbiza israel North na sa Haifa ipo njiani. Tunacho omba US asilete ujinga wa kusimamisha vita kwa njia ya UN wacha tuone ubabe waisrael utafika wapi, na pia wacha US na Nato wawape Israel silaha sababu tunazitandika tunawamaliza baba, mtoto na wajomba zake mpaa waone silaha zao haziwezi washinde Waumini waislam wa kweli.

Big up Hezbullah piga hao kenge mpaa waseme maji maiiii 🤣
Unaongelea kutoka Jordan, saudia au Egypt?
 
Nnachowapendea IadF maneno kidgo vitendo vingi.

Ingekuwa bila ground tusingeona Yale ma tunnels kule Lebanon. Tusingeona viporo vya silaha walizokimbia Hizbullah baada ya kipondo kuwa kingi., tusingeona wanajidai elite force wakidakwa kama kuku mwenye kideli huko southern Lebanon.

Ukiona mtu anaongea sana ujue anatapatapa Yuko stage za mwisho kutupa taulo.
Hizo tunnel walizo tengeneza Cyprus na silaha za vita ya Ukraine 😄 Haya jipe moyo mmeisha vunja silaha zote za Hezbullah, na tunnels zao. Pia mmewashika wanamgambo wote wa Hezbullah. Kuna ndoto zingine kama nyumba ya baibui. Filim za bollywood huwa zinakwisha pia.
 
Na huu ndio ukweli wakifanya maskhara mpaka teli avivu na Jerusalem watapakimbia
Kujifariji ni jambo jema kwake aliyeishiwa mbinu.

Hezbollah wanaoamini kuwa Wayahudi hawatakiwi kuwepo Duniani, bali kuangamizwa wapotee, kama wangekuwa na uwezo huo unaosema, wangekuwa waliishautumia. Wanachofanya Hezbollah, ndipo uwezo wao ulipoishia.

Haya makundi ya kigaidi wakati wote yamekuwa yanawadanganya wapalestina kuwa yatawamaliza wayahudi wote, na wapalestina watamiliki ardhi yote, na baadhi yao, kwa ujinga wao, wanawaamini.

Hezbollah hawana uwezo wa kushinda vita na Israel, ila wanaweza kuharibu amani ya Israel., siyo zaidi ya hapo.

Tuwaombee wapalestina waijiwe na hekima, waachane na haya makundi ya kigaidi, wafanye maelewano na Israel ili wote waishi kwa amani, wakijua kuwa maadui wao wakubwa ni haya makundi ya kigaidi. Makundi haya ya kigaidi ni hatari kwa amani ya Mashariki ya kati nzima, ndiyo maana hakuna nchi inayoyataka zaidi ya mfadhili wa ugaidi, Iran.
 
Sio wewe uliekuja na uzi humu kuwa tayari IDF wameshakimbia Lebanon,
🤣 🤣 🤣

Unawasikiliza hawa wavaa Kobazi... Wanajitoaga ufahamu sana... Walianza kusema Israel hawezi kuingia Gaza, wakaja kusema akiingia waitana wote kuanzia Iran Hadi Yemen, wakaja kusema Israel hawezi kuingia Lebanon.

Hawa Jamaa wanaugonjwa unaitwa dillussion
 
Kwa hiyo kumbe hamas watashinda vita na Hezbollah pia?
Ni kheri kuangalia uhalisia wa mambo bila kushabikia upande wowote. Ukweli ni kwamba;
HAMAS kwa sasa hivi hali ni mbaya mno: kivipi?👇👇
1. Wanakabiliwa njaa kali kwani chakula cha msaada ni kidogo na hakifiki kwa muda stahiki na upatikanaji wa maji ni shida kubwa mno.Watu wanakunywa maji taka alimradi waweze kuishi.
2. Bado wanaandamwa na vita ardhini na angani na vyombo vya dola vinawanyamazisha kwa nguvu wale Raia wanaoonekana kuwa wapinzani wa HAMAS na ushahidi upo.
3. Kuna mlipuko wa magonjwa ya kuambukiza na mahospitali mengi hayafanyi kazi au yamebomolewa na wahudumu kujeruhiwa/kuuawa.
4. Usambazaji au upatikanaji wa silaha umedhoofika sana kutokana na kulipuliwa kwa kiwanda cha kutengeneza makombora/maroketi huko Iran na Kivuko cha barabara kati ya Lebanon na Syria kimeharibiwa- hapapitiki tena ili ku-smuggle silaha ziweze kuwafikia huko Gaza.
Hezbollah anakabiliwa na:
1. Mapambano ya kivita esp. uvunjwaji wa majumba na miundo mbinu ya kijamii inaharibiwa kila siku na ndege za Israel na Hezbollah hana uwezo wa kuzuia na ndo mana IDF inatoa amri ya kuondoka/kuhama haraka kwenye eneo fulani na ndani ya muda mfupi tuu kitu kinatua na majumba yanasambaratishwa.
2. Raia wanahama-hama hovyo kwa amri ya IDF (evacuation notice) yan wamegeuzwa ni wakimbizi ndani ya nchi yao na hatujasikia hata mara moja kwamba Hezbollah imewasaidia kwa namna yoyote ile.
3. Upatikanaji wa silaha -makombora , maroketi umetatizika kutokana na kulipuliwa kwa kiwanda cha kutengeneza silaha hizo huko Iran majuzi hapo.
4. Misaada ya hali na mali (mafunzo na silaha) imedorora kwani mfadhili mkuu Iran naye anaandamwa na vitisho au "Piga nikupige" baina yake na Israel, halafu Iran pia amezidisha (imepanua wigo) Ufadhili kwa makundi mengi mengine ya kigaidi huko Syria, Iraq, Yemen n.k. kiasi kwamba ule mgawo kwa kila kikundi Unapungua.
Kwa wote HAMAS na Hezbollah:
D.Trump kuingia madarakani Hakukuwafurahisha HAMAS au Hezbollah kwani huyo mwamba historia yake na chama chake kuhusiana na mambo ya ugaidi inafahamika na tena kuna madai kwamba Iran ilifadhili lile jaribio la kumuua Trump kwa risasi wakati wa kampeni zake kuwania urais.
Samahani ndg. zangu naomba radhi nimeandika gazeti .
 
🤣 🤣 🤣

Unawasikiliza hawa wavaa Kobazi... Wanajitoaga ufahamu sana... Walianza kusema Israel hawezi kuingia Gaza, wakaja kusema akiingia waitana wote kuanzia Iran Hadi Yemen, wakaja kusema Israel hawezi kuingia Lebanon.

Hawa Jamaa wanaugonjwa unaitwa dillussion
Kausome uzi vizuri kabla hujaleta ujinga, unajijibu mwenyewe wa majina 30+
 
Nnachowapendea IadF maneno kidgo vitendo vingi.

Ingekuwa bila ground tusingeona Yale ma tunnels kule Lebanon. Tusingeona viporo vya silaha walizokimbia Hizbullah baada ya kipondo kuwa kingi., tusingeona wanajidai elite force wakidakwa kama kuku mwenye kideli huko southern Lebanon.

Ukiona mtu anaongea sana ujue anatapatapa Yuko stage za mwisho kutupa taulo.
Tena IDF ni Wastaarabu unaambiwa Wana MRLS system Kali kuliko HIMARS na zinasoko sana Ulaya.. ila hawajawahi kuzitumia kila siku wanabembeleza Raia wapishe... Imagine siku wanasema watumie moja
 
Back
Top Bottom