Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Hapa wamepunguza idadi ujue wamefyekwa zaidi ya kumi tuliwaonya wazayuni hawakusikia sasa acha waendelee kufa suala la kuikimbia Ghaza nisuala la muda tuuuu ⚡🇵🇸 The IDF announced the deaths of 4 additional soldiers in battles north of the Gaza Strip.Mchakato wa kuwapata/kuwakomboa mateka bado unaendelea na HAMAS iko ICU, na mwamba ana-deal perpendicularly na mzee wa maroketi a.k.a Hezbollah.
@medmannews