Msemaji wa Hezbullah: Waisrael Hamtarudi North, Msahau Kabisa

Msemaji wa Hezbullah: Waisrael Hamtarudi North, Msahau Kabisa

Na huu ndio ukweli wakifanya maskhara mpaka teli avivu na Jerusalem watapakimbia
Hiyo video imerekodiwa zaidi ya mwezi na katika sehemu isiyojulikana. Ana muogopa nani kama sio Muisrael huyo huyo aliyewauwa viongozi wake na kuishambulia Iran ambayo mwezi unapita Sasa ameufyata?
 
Kuongea kila mtu kaumbiwa, ila usishangae yeye kesho tu tukakutana na breaking news kuwa yuko anabugia ulabu na bikra zake 72 pembeni huko kuzimu.
Kwani wapi kasema uongo?

Maana Waisrael wameyakimbia makazi yao kaskazini muda mrefu. Hii ni nzuri sana ili waonje ladha ya ukimbizi kama wengine.
 
Hiyo video imerekodiwa zaidi ya mwezi na katika sehemu isiyojulikana. Ana muogopa nani kama sio Muisrael huyo huyo aliyewauwa viongozi wake na kuishambulia Iran ambayo mwezi unapita Sasa ameufyata?
Kati ya israhell na Iran nani alianza kushambulia mwenzake tuanzie hapa kwanza pia kisasi hakina muda maalum au kina muda maalum kulipwa ni suala la muda tuuuu
 
Zililetwa ripoti humu hadi za BBC zikionesha satellite images wenyewe wakadiriki kusema satellite images hazitoi significant proof ya kuonesha uharibifu.
Sio kweli zilete
 
Kama huzioni basi ila zipo bbc mpaka mwenzenu T14 Armata nadhani aliziona ndio maana zikamkimbiza kwenye ule mjadala
Bbc walionyesha picha zilizofutika za Google. Na Iran mpaka kesho haijawah kuonyesha chochote zaid ya kusema askar wake wanne walikufa. Ni Mikasa mingi
 
Bbc walionyesha picha zilizofutika za Google. Na Iran mpaka kesho haijawah kuonyesha chochote zaid ya kusema askar wake wanne walikufa. Ni Mikasa mingi
BBC walionesha picha ila wakasema hawawezi kuthibitisha nyengine wakasema kwamba uharibifu umetokea mdogo nyengine wakasema satellite hazitoi picha kamili wakati Nevatim ilivyofyekwa satellite ilileta picha kamili tena saafi kabisa
 
BBC walionesha picha ila wakasema hawawezi kuthibitisha nyengine wakasema kwamba uharibifu umetokea mdogo nyengine wakasema satellite hazitoi picha kamili wakati Nevatim ilivyofyekwa satellite ilileta picha kamili tena saafi kabisa
Bbc hawawez kutoa picha kama Iran mwenyewe hawajatoa wewe. Mbona unabisha vitu vya kijinga. Mbona hapo Gaza picha zipo live. Ni kuwa wahusika wanatoa ushirikiano. Iran hawez kuonyesha na bbc walichoonyesha ni picha zilizofutika za satellite.
 
Bbc hawawez kutoa picha kama Iran mwenyewe hawajatoa wewe. Mbona unabisha vitu vya kijinga. Mbona hapo Gaza picha zipo live. Ni kuwa wahusika wanatoa ushirikiano. Iran hawez kuonyesha na bbc walichoonyesha ni picha zilizofutika za satellite.
Alokwambia bbc katoa picha nani nimekwambia wametoa hizo za satellite sio picha za kawaida ila wamesema madhara kidogo ama hawawezi kuthibitisha mbona hoja hizi hawakuzieka kwenye shambulio walio fanyiwa wazayuni na Iran
 
Uislam unazuia kuwauwa innocent people, wanaogopa kubeba dhambi za hao unless kuwa hakuna budi. Hezbullah akitaka kuchakaza hayo majumba ya Tel Aviv atashindwa unadhani, wamefika mpaa chumbani kwa Sarah hahahaha 😆 😂
wale waliotolewa vitandani na chupi zao mpaka Leo washikiliwa na baadhi kuawa siyo innocent?
 
Back
Top Bottom