Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Kumbe walitudanganya kuwa wamewaua makamanda wa Hezbollah?Kwamba idf usaf na NATO wote wamechemka ama sasa ule uteule wa six day waa umekufilia wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe walitudanganya kuwa wamewaua makamanda wa Hezbollah?Kwamba idf usaf na NATO wote wamechemka ama sasa ule uteule wa six day waa umekufilia wapi
Israeli ipo kama kinukta tu hapo mashariki ya kati ila inavyowasumbua wavaa kobazi ni hatari.uzi wangu kausome vizuri unasema Israel wanataka kusimamisha vita upande wao kule Lebanon ni channel 12 ya Israel ndio imesema katazame vizuri. Hio habari ni TV channel ndio zimeleta na ukweli ndio huo. Hio kama sio kukimbia ni nini.
Wameua askari zaidi ya 100+ wa Israel.Wamefanya nini mpaka sasa kufika hapo?
Ujumbe ndio huo, msemaji wa Hezbullah anasema Israel hawezi kushinda vita kwa ndege, au kuvunja majumba na kuwauwa watoto au wanawake. Vita huwezi shinda bila ground force, na hicho kitu Israel hana. Anasema watakumbuka ujumbe wa Nasurlah Israel yupo katika ndoto, jeshi lake ni dhaifu kuliko nyumba ya baibui
Anawambia Waisrael wajiandae kuna miji mingi karibuni mtabidi muondoke siku sio nyingi. Hivi kuna dharau kama hio, si bora tu Israel asema nimeshindwa vita nioneni huruma 😄
View: https://youtu.be/56N6uuguVNs?si=IaKMYzXPTlGh6bUN
Unazungumzia taifa ambalo USA,UK,France,Germany na mataifa mengine ya uzunguni yanawasaidia!?Israeli ipo kama kinukta tu hapo mashariki ya kati ila inavyowasumbua wavaa kobazi ni hatari.
Iran atalipiza usidhani imeisha.Ni vizur kujifurahisha. Kama Iran alivyosema Israel ikirusha hata kijiko tutawaangamiza. Bush lawyer hawa
Wao wamepoteza askari wangapi? Na raia wangapi wa lebanon wamepata madhara?Wameua askari zaidi ya 100+ wa Israel.
Wameharibu kambi ya Galilee yote.
Wamewafanya raia zaidi ya laki kukimbia makazi yao huko Kaskazini mwa Israel hususan Galilee.
Raia wa Lebanon wamepata madhara zaidi ya 600+ tena vifo kabisa.Wao wamepoteza askari wangapi? Na raia wangapi wa lebanon wamepata madhara?
😂😂😂😂Ataanza na bikra Maria.
Kwamba baada ya kuwaua ndio watu wameregelea kaskazini amaKumbe walitudanganya kuwa wamewaua makamanda wa Hezbollah?
Israel akiamua All out War atafika hadi Boder ya Turkey kwa Kaskazini na Kusini atafika hadi Mecca.Kwamba idf usaf na NATO wote wamechemka ama sasa ule uteule wa six day waa umekufilia wapi
Israhell ya holi wood labdaIsrael akiamua All out War atafika hadi Boder ya Turkey kwa Kaskazini na Kusini atafika hadi Mecca.
Ndipo ilipoundwa Hezbollah na kuja kuwabamiza mazayuni na mashoga zao wamerekani wakatoka nduki. Hiyo ni 1982.
Sasa hivi mnaandamana Nchi mnazoziita za "Makafiri" kwanini msiandamane Saudi Arabia?!Israhell ya holi wood labda
Facts Kuna video moja niliona tg wanamgambo wa idf wanatukana na kushangaa tu kwamba sehemu waliokua wameisafisha na wakiamini haina tena silaha za hizbullah imerusha makombora mengi zaidi kuwahi kurushwa tokea waanze kupigana wazayuni Lazima waende chini na mbaya zaidi wanaogopa kufa wavaa pampersAliye kuwa anawapa siri kafungwa jela , afu wapi kasema Israel anashinda vita kwa ndege 😄 Alicho sema ndege hauwezi kushinda vita, ndege ni kuvunja majumba unauwa watoto na wanawake. Ukitaka kuvunja silaha za Hezbullah ni lazima uingize ground force,na hapo Israel hana ubavu huo
Tunaandamana nanani kijana sema wanaandamana na hao wanaoandamana wanaandamana kwa matakwa yao wala hawajalazimishwa na mtuSasa hivi mnaandamana Nchi mnazoziita za "Makafiri" kwanini msiandamane Saudi Arabia?!