Msemaji wa JWTZ kuteuliwa kwenye NEC ya CCM, hii imekaaje?

ukisha jua 2020 hutoboi lazima upange safu ya kulazimisha kuingia king ili ule kete zingine kiulaini.

jamaa ameshajua hatoboi ndo maaana safu inapangwa ya kibabe tu hakuna kufata misingi
 
Acha ungese wakitumikia tukiwa ktk vyama vingi au Chama kimoja?
 
Bro huyu mtu hajastaafu..kwenye maadhimisho ya JWTZ juzi septemba mosi ndo alikua msemaji je kastaafu lini?
 
Tofautisha govt na Chama acha mahaba halafu si ajabu una kadegree kutoka St nini sijui
 
Pamoja na Trump kuwateua bado inatakiwa aiombe Senate iwaondolee Kinga ya kutokufanya kazi za kiraia iliyopo kwa mwanajeshi mstaafu kwa miaka 7 baada ya kustaafu so tusilinganishe hivi vitu viwili. Wanaocjaguliwa ni wastaafu na bado wanhitaji ruhusa ya Congress kwetu they are just taped from the army to civilian offices without any procedural to remove their influence in the army.
 
Lowasa walipomchukua CHADEMA walimjua siku nyingi? Mbona aliingia tu na kupewa ugombea uraisi wakati hajawahi kuwa kiongozi wa tawi la chadema
Mimi nionavyo JF sasa hivi imekuwa jukwaa la siasa tena viwili. Ushauri wangu kwetu waJF tuchangie maada kikatiba na kisheria kama mtoa thread alivyoleta. Jamii ya watz ni kubwa kuliko wanaccm na wanachadema. Yaani tusiokuwa na chama tuko wengi.
 
Pigeni kelele weeeeee lakini treni ndio imeshakolea mwendo hivyo...endeleeni kulima bagamoyo na kupeana vyeti kwenye matenti porini huku mkiendelea kutengeneza movie ya mwana mpotevu
 
Huyu Mjeshi Ndiyo Kasema Ukweli Mtupu Kuhusu Ccm Yaani Tangu 1979 Ni Mwanachama Mpaka Anastaafu
Hapo Ndiyo Kasema Ukweli Mtupu
 
Lowasa walipomchukua CHADEMA walimjua siku nyingi? Mbona aliingia tu na kupewa ugombea uraisi wakati hajawahi kuwa kiongozi wa tawi la chadema
JPM alishawahi kuwa mwenyekiti wa level yoyote lichama kabla?
 
akiteuliwa anastaafu uanajeshi, itachukuliwa kuwa amestaafu
Ukeyasikia majibu yake huyo aliyeteuliwa..?? Amesemw kwamba alikiwa mwanaCCM tangu enzi za chama kimoja.. kwa hiyo alikuwa mwanajeshi huku akiwa mwanacham wa chama cha siasa, jambo ambalo ni kinyume cha katiba
 
No wonder hata historia yako huijui, seuze ya nchi. Huo upuuzi wote ulipigwa chini na Tume ya Nyalali kuelekea multiparty system. Ndio maana hao uwatajao wote walitoka jeshini akiwemo Kikwete, Jakka Mwambi, Mkuchika et al.

Hoja ya mtoa hoja anahoji how comes ktk mfumo huu tuliopo kwa nini ujinga wa single party ruling Sizonje anauleta zama hizi za Multiparty system? Na kikatiba hairuhusiwi kwa mtu wa umma kujihusisha na siasa angali yupo ktk utumishi.

"MKUKI MTAMU KWA MCHUNGU, KWA BINADAMU NGURUWE".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…