Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
mhhh awamu ya ajabu hii sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huelewi nn umeambiwa anaanza siku hiyohiyo ya uteuzi!Hoja si uteuzi wake tu,alianza lini kuwa mwanachama wa Chama cha mapinduzi huku akiwa mwanajeshi?
Wanaruhusiwa baada ya kuacha jeshi.Yule keshaacha.Na kuacha haitajwi muda anaweza kuacha jeshi robo saa iliyopita ndani ya hiyo saa akateuliwa cheo cha kisiasa hata kama kaacha dakika moja iliyopita.Katiba ya JMT inasemaje kuhusu mwanajeshi kujiunga na chama cha siasa?
Anaweza itwa njoo tukupe kadi ya CCM akasema nakuja mbio mwendo wa kunyakua wa kijeshi kuja kuchukuaKaanzia wapi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika mtaani kwake au baada ya kusikiliza vipindi vya redio uhuru?
Haina uhusiano, na kadri unavyolazimisha jambo hili katika mjadala huu unazidi tu kujifunua wewe ni mtu wa namna gani! Hoja iliyoko mbele ni muhimu hata kwa familia yako; kuna siku utaamini ukweli huu.Lowasa walipomchukua CHADEMA walimjua siku nyingi? Mbona aliingia tu na kupewa ugombea uraisi wakati hajawahi kuwa kiongozi wa tawi la chadema
Wewe ni manunda, lowasa ni mwanajeshi wa wapi??
Acha mambo ya kijinga, utateuliwa post ya kisiasa bila kuwa mwanachama?Siku unayoteuliwa unaacha jeshi huwi mwanajeshi na unashika madaraka siku hiyo hiyo kama ambavyo lowasa alivyofanya.Siku alipoteuliwa na CHADEMA kuwa mgombea siku hiyo hiyo aliacha CCM na kuwa mgombea uraisi
Sio lazima lowasa na sumaye waliteuliwa CHADEMA kamati kuu na ugombea bila kuwa wanachama wa muda mrefu CHADEMASwali ni kuhusu uteuzi bro, kwa sababu mtu hawezi kuteuliwa tena kwenye nafasi kama ya msemaji kama sio mwanachama wa muda mrefu
Rudia huelewekiSiku unayoteuliwa unaacha jeshi huwi mwanajeshi na unashika madaraka siku hiyo hiyo kama ambavyo lowasa alivyofanya.Siku alipoteuliwa na CHADEMA kuwa mgombea siku hiyo hiyo aliacha CCM na kuwa mgombea uraisi