Msemaji wa JWTZ kuteuliwa kwenye NEC ya CCM, hii imekaaje?

Msemaji wa JWTZ kuteuliwa kwenye NEC ya CCM, hii imekaaje?

Tukubali hoja kuwa mteule ameacha kuwatumikia wananchi,ila nina maswali.

1; nini sababu ya kuacha jeshi,je ni umri au ni ili ateuliwe kuwa na cheo kwenye chama cha siasa.
2;kama ameacha jeshi ili apewe cheo cha chama cha siasa ambapo ataanza kuwa mwanachama mpya, je kazi zetu atafanya nani(tufanye alikuwa mtendaji mzuri wa jeshi)
3;Je zilikuwa ni hekima kumteua kanali wa jeshi kama mwanachama mpya na kupewa wadhifa kukitumikia chama cha siasa.
 
Hoja si uteuzi wake tu,alianza lini kuwa mwanachama wa Chama cha mapinduzi huku akiwa mwanajeshi?
Nimegundua si kosa lako, tatizo lako unataka kuonyesha wana JF kuwa unajua lakini hujui chochote. Acha tukukumbushe-wakati tukiwa na chama kimoja asilmia kubwa ya wafanya kazi wote na wafanyabiashara walikuwa wanachama wa ccm, majeshi yote walikuwa wanachama wa ccm na siasa ilifundishwa hadi majeshini, na ndo maana tokea nyakati hizo wanajeshi waliteuliwa katika nyadhifa mbalimbali mfano-Mh. Jakaya Kikwete, Mh.Kinana na wengine wengi-si ajabu hicho kinachofanyika
 
NI UKIUKWAJI WA KATIBA AU MAJINA YAMEFANANA KATI YA MSEMAJI WA JWTZ NA HUYU MTEULE WA NEC YA CCM?
JPM JITOKEZE KUUELEZEA UMMA KUHUSU UTATA HUU.

Na Mwl Razaq Mtele Malilo

Msemaji wa JWTZ ni Kanali Ngemela Lubinga.

Katibu Mteule wa NEC ya CCM Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ni Kanali Ngemela Eslom Lubinga.

Katiba ya Jamhuri 1977 inasema :-

SURA YA TISA
MAJESHI YA ULINZI

Ibara ya 147.

Ibara ndogo ya (3),
Itakuwa ni marufuku kwa mwanajeshi yeyote kujiunga na chama chohote cha siasa, isipokuwa tu kama atakuwa na haki ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii.

Ibara ndogo ya (4),
Kwa madhumuni ya ibara hii, "mwanajeshi" maana yake ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au ya kudumu katika Jeshi la Ulinzi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza au Jeshi la Kujenga Taifa.
Mkuu anaweza kustaafu jeshini kisha akaendelea na siasa. Mnaogopa ukatili hautaepukika mkileta mambo ya ajabu? Hahaaa😛😛
 
labda kastaafu, kama alivyokuwa kinana, kikwete, makamba, chiku galawa, akina maganga kule kigoma, labda waseme kanali mstaafu!!! maana kama atasemea CCM akiwa na magwanda sidhani ni hivyo, sema ukishakuwa mjeshi na cheo chako basi utabakia na rank yako hata ustaafu!!
 
Siku unayoteuliwa unaacha jeshi huwi mwanajeshi na unashika madaraka siku hiyo hiyo kama ambavyo lowasa alivyofanya.Siku alipoteuliwa na CHADEMA kuwa mgombea siku hiyo hiyo aliacha CCM na kuwa mgombea uraisi
Kuna wakati hata kama mtu unampenda kiasi gani, akikosea msahihishe....

Mwenzio kaweka kifungu cha katiba kukisapoti anachosena, NA WEWE WEKA ILI UELEWEKE

Kuna watu alipotaka kuwateua kuwa mawaziri, aliwateuwa kwanza kuwa wabunge... sasa kama ni kweli mwanajeshi kateuliwa, angemvua kwanza uanajeshi..
 
NI UKIUKWAJI WA KATIBA AU MAJINA YAMEFANANA KATI YA MSEMAJI WA JWTZ NA HUYU MTEULE WA NEC YA CCM?
JPM JITOKEZE KUUELEZEA UMMA KUHUSU UTATA HUU.

Na Mwl Razaq Mtele Malilo

Msemaji wa JWTZ ni Kanali Ngemela Lubinga.

Katibu Mteule wa NEC ya CCM Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ni Kanali Ngemela Eslom Lubinga.

Katiba ya Jamhuri 1977 inasema :-

SURA YA TISA
MAJESHI YA ULINZI

Ibara ya 147.

Ibara ndogo ya (3),
Itakuwa ni marufuku kwa mwanajeshi yeyote kujiunga na chama chohote cha siasa, isipokuwa tu kama atakuwa na haki ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii.

Ibara ndogo ya (4),
Kwa madhumuni ya ibara hii, "mwanajeshi" maana yake ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au ya kudumu katika Jeshi la Ulinzi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza au Jeshi la Kujenga Taifa.
Hii ni aina ya mfumo anaotumia kagame kutaka kuitawala Rwanda milele. Hebu angalia waliomo kwenye RPF ni akina nani
 
Mwenzio kaweka kifungu cha katiba kukisapoti anachosena, NA WEWE WEKA ILI UELEWEKE

Katiba inasema mwanajeshi haruhusiwi.Ina maana nikiacha hata dakika hii,dakika ya pili inayofuata mimi sio mwanajeshi naweza chukua kadi ya chama chochote cha siasa na nikateuliwa kushika cheo chochote cha kisiasa na hakuna katiba iliyovunjwa.Swala la kuwa sina uzoefu kwenye chama huo ni umbeya.Wao walionipa cheo kama wananiamini tatizo liko wapi.Katiba haijavunjwa na hao wamenipa cheo kwa mapenzi yao hamna shida.
 
NI UKIUKWAJI WA KATIBA AU MAJINA YAMEFANANA KATI YA MSEMAJI WA JWTZ NA HUYU MTEULE WA NEC YA CCM?
JPM JITOKEZE KUUELEZEA UMMA KUHUSU UTATA HUU.

Na Mwl Razaq Mtele Malilo

Msemaji wa JWTZ ni Kanali Ngemela Lubinga.

Katibu Mteule wa NEC ya CCM Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ni Kanali Ngemela Eslom Lubinga.

Katiba ya Jamhuri 1977 inasema :-

SURA YA TISA
MAJESHI YA ULINZI

Ibara ya 147.

Ibara ndogo ya (3),
Itakuwa ni marufuku kwa mwanajeshi yeyote kujiunga na chama chohote cha siasa, isipokuwa tu kama atakuwa na haki ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii.

Ibara ndogo ya (4),
Kwa madhumuni ya ibara hii, "mwanajeshi" maana yake ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au ya kudumu katika Jeshi la Ulinzi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza au Jeshi la Kujenga Taifa.

Mbona huulizi ilikuwaje JK akamteua Kanali Lubinga kuwa DC wa wilaya ya Mlele huko nyuma?

Unafahamu nini kuhusu kanali Lubinga?

Tatizo linaendelea kuwa lilelile la habari nusunusu za waandishi wa Tanzania na kila mmmoja wao amefanya "copy and pasting", kwenye kila gazeti wote wakimnukuu Nnauye.

Hakuna mwandishi hata mmoja alietafuta historia ya kanali Lubinga ili awafahamishe watu kama wewe.
 
Kama ni kweli huyo ni mtu mmoja basi hiyo inamaanisha watumishi wengi ndoto zao ni kujiunga na siasa, pengine ana ndoto za kuwatumikia wananchi kwahiyo safari yake ndiyo inaanza au la siasa inalipa sana na kila mtu anapigania malisho ya majani mabichi.
 
Trend ya Magufuli na wanajeshi inaashiria maandalizi fulani. Huwezi kujua kwa hakika ni nini ila sio mambo mema.

Vijana wa ccm wanaoshabikia haya huku wakiwa na ndoto za kufanya siasa ndani ya demokrasia wajitafakari sana.

Tyrant Regime inatengenezwa.
 
Siku unayoteuliwa unaacha jeshi huwi mwanajeshi na unashika madaraka siku hiyo hiyo kama ambavyo lowasa alivyofanya.Siku alipoteuliwa na CHADEMA kuwa mgombea siku hiyo hiyo aliacha CCM na kuwa mgombea uraisi
Halafu hapo hapo unapewa Kadi ya CCM?
Hii haina tofauti na saga ya Dk Tulia Akson na Jaji Ramadhani.
 
Ccm watakoma wameanza kuletewa wanajeshi lumumba.......na hao jamaa tatizo ukiwapa cheo basi kuja kuwatoa ni issue.

Greenguard wacha waendelee kulinda mageti.
 
Back
Top Bottom