Kileghe
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 367
- 315
Tukubali hoja kuwa mteule ameacha kuwatumikia wananchi,ila nina maswali.
1; nini sababu ya kuacha jeshi,je ni umri au ni ili ateuliwe kuwa na cheo kwenye chama cha siasa.
2;kama ameacha jeshi ili apewe cheo cha chama cha siasa ambapo ataanza kuwa mwanachama mpya, je kazi zetu atafanya nani(tufanye alikuwa mtendaji mzuri wa jeshi)
3;Je zilikuwa ni hekima kumteua kanali wa jeshi kama mwanachama mpya na kupewa wadhifa kukitumikia chama cha siasa.
1; nini sababu ya kuacha jeshi,je ni umri au ni ili ateuliwe kuwa na cheo kwenye chama cha siasa.
2;kama ameacha jeshi ili apewe cheo cha chama cha siasa ambapo ataanza kuwa mwanachama mpya, je kazi zetu atafanya nani(tufanye alikuwa mtendaji mzuri wa jeshi)
3;Je zilikuwa ni hekima kumteua kanali wa jeshi kama mwanachama mpya na kupewa wadhifa kukitumikia chama cha siasa.