Kwahiyo kaacha jeshi jana na kaomba uanachama jana na jana hyo hyo kapewa uongozi aise jana ilikuwa nzuri sana kwakeSio lazima awe alikuwa mwanachama.Aweza kuwa kaanza jana hiyo hiyo kila kitu kina tarehe ya kuanza
Mbona hushangai mita 200 na viti maalum?NI UKIUKWAJI WA KATIBA AU MAJINA YAMEFANANA KATI YA MSEMAJI WA JWTZ NA HUYU MTEULE WA NEC YA CCM?
JPM JITOKEZE KUUELEZEA UMMA KUHUSU UTATA HUU.
Msemaji wa JWTZ ni Kanali Ngemela Lubinga.
Katibu Mteule wa NEC ya CCM Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ni Kanali Ngemela Eslom Lubinga.
Katiba ya Jamhuri 1977 inasema :-
SURA YA TISA
MAJESHI YA ULINZI
Ibara ya 147.
Ibara ndogo ya (3),
Itakuwa ni marufuku kwa mwanajeshi yeyote kujiunga na chama chohote cha siasa, isipokuwa tu kama atakuwa na haki ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii.
Ibara ndogo ya (4),
Kwa madhumuni ya ibara hii, "mwanajeshi" maana yake ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au ya kudumu katika Jeshi la Ulinzi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza au Jeshi la Kujenga Taifa.
CCM wako katika matayarisho ya kuiba kura 2020 ndio maana wanajipanga kabisaNI UKIUKWAJI WA KATIBA AU MAJINA YAMEFANANA KATI YA MSEMAJI WA JWTZ NA HUYU MTEULE WA NEC YA CCM?
JPM JITOKEZE KUUELEZEA UMMA KUHUSU UTATA HUU.
Msemaji wa JWTZ ni Kanali Ngemela Lubinga.
Katibu Mteule wa NEC ya CCM Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ni Kanali Ngemela Eslom Lubinga.
Katiba ya Jamhuri 1977 inasema :-
SURA YA TISA
MAJESHI YA ULINZI
Ibara ya 147.
Ibara ndogo ya (3),
Itakuwa ni marufuku kwa mwanajeshi yeyote kujiunga na chama chohote cha siasa, isipokuwa tu kama atakuwa na haki ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii.
Ibara ndogo ya (4),
Kwa madhumuni ya ibara hii, "mwanajeshi" maana yake ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au ya kudumu katika Jeshi la Ulinzi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza au Jeshi la Kujenga Taifa.
Kwa hiyo uteuzi wake uliegemea kwenye lugha ya mawasiliano sio? Ingekuwa lugha ya mawasiliano ndiyo kigezo cha uteuzi hivi leo ungemteua mtu anayozungumza broken english?
we nae acha ubichwa maji lowassa alikuwa mwananchama wa chama cha siasa kabla hajahamia CDM uzoefu alioupata akiwa ndani ya CCM ulikuwa unatosha kuchaguliwatofauti na huyo kanali ambaye hakuwahi kuwa mwanachamaLowasa walipomchukua CHADEMA walimjua siku nyingi? Mbona aliingia tu na kupewa ugombea uraisi wakati hajawahi kuwa kiongozi wa tawi la chadema
Mbona mlikuwa mnahoji uhalali wa mchakato uliotumika kumpa Lowassa nafasi ya kugombea urais kupitia chadema wakati mambo yenu ni machafu? Lowassa alipewa kadi live, kila mtu alimuona kwenye luninga na kusoma habari zake kwamba amejiunga na chadema na amepewa kadi, huyo Ngemela alijiunga lini ccm na kuna halfa yoyote ilifanyika kumkabidhi kadi? Usituambie kwamba kwa mtu mkubwa kama Ngemela anaweza kukaribishwa chamani kama wanachama wa mitaani. Kwanini ni awe yeye na si wanachama wakongwe wa ccm?Anaweza itwa njoo tukupe kadi ya CCM akasema nakuja mbio mwendo wa kunyakua wa kijeshi kuja kuchukua
Kuna sehemu ya katiba inayomkataza askari kuwa mwanachama wa chama cha siasa ?
Unaweza ukawa na elimu ya chuo kikuu lakini bado usielimike kwa kwa namna inavyopasws. Kuna watu sijui mtu vile ana Phd lakini ana kasoro ya kutojua ile nini vilee ah nimesahauHivi watu kama nyie mnaishi dunia ya wapi?
Afu utakuta una elim ya chuo kikuu!!
sasa ww unayejua habari kamili si uweke hapa ! unafanya kitu hicho hicho unacho walaumu wenzako huku ww naye analeta habari nusu nusuMbona huulizi ilikuwaje JK akamteua Kanali Lubinga kuwa DC wa wilaya ya Mlele huko nyuma?
Unafahamu nini kuhusu kanali Lubinga?
Tatizo linaendelea kuwa lilelile la habari nusunusu za waandishi wa Tanzania na kila mmmoja wao amefanya "copy and pasting", kwenye kila gazeti wote wakimnukuu Nnauye.
Hakuna mwandishi hata mmoja alietafuta historia ya kanali Lubinga ili awafahamishe watu kama wewe.
Naomba kupata uelewa hivi huyu si kasitafuNI UKIUKWAJI WA KATIBA AU MAJINA YAMEFANANA KATI YA MSEMAJI WA JWTZ NA HUYU MTEULE WA NEC YA CCM?
JPM JITOKEZE KUUELEZEA UMMA KUHUSU UTATA HUU.
Msemaji wa JWTZ ni Kanali Ngemela Lubinga.
Katibu Mteule wa NEC ya CCM Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ni Kanali Ngemela Eslom Lubinga.
Katiba ya Jamhuri 1977 inasema :-
SURA YA TISA
MAJESHI YA ULINZI
Ibara ya 147.
Ibara ndogo ya (3),
Itakuwa ni marufuku kwa mwanajeshi yeyote kujiunga na chama chohote cha siasa, isipokuwa tu kama atakuwa na haki ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii.
Ibara ndogo ya (4),
Kwa madhumuni ya ibara hii, "mwanajeshi" maana yake ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au ya kudumu katika Jeshi la Ulinzi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza au Jeshi la Kujenga Taifa.
Lugha ya kidiplomasia inaweza kuzungumzwa kwa kiswahili, kireno, kiingereza, kirusi nk hizi ni njia tu ya kuwasiliana kwa namna unayoitaka wewe, hivi ninyi mnatumia lugha ipi kati ya kiswahili au kiingereza?Wewe umeelewa vipi kuhusu lugha ya mawasiliano maana sijazungumzia "Broken English".
Nikisema lugha ya mawasiliano namaanisha lugha ya kutumia diplomasia, na mawasilinao mengine iwe majibu ya CCM na mawasiliano kwa umma, na kutengeneza picha ya CCM mpya.
Kama upo kwenye hili eneo utanielewa.
Siku unayoteuliwa unaacha jeshi huwi mwanajeshi na unashika madaraka siku hiyo hiyo kama ambavyo lowasa alivyofanya.Siku alipoteuliwa na CHADEMA kuwa mgombea siku hiyo hiyo aliacha CCM na kuwa mgombea uraisi
Vingine ni vizuri uwe unasoma tu mkuuUpo sawasawa lakini nafikiri wewe na mleta mada mnachanganya katiba ya CCM na katiba ya Tanzania.
Katiba ya CCM inamruhusu mtu yoyote kuwa mwanachama bila kujali anakotoka.
Na Katiba ya Tanzania kupitia ibara ya 5 kifungu (1) inawaruhusu raia wa Tanzania kupiga kura.
Ila mleta mada angefafanua kuhusu vifungu alivyoweka hapo juu vinavyokataza wanajeshi kujiunga na vyama vya siasa huku wakiwa na haki ya kupiga kura- yaani wawe wametimiza umri wa kupiga kura.
Mbona Lowasa alihamia Chadema na bila ya kuwa mwanachama kwa kipindi hata cha siku tatu akawa mgombea urais??? Je unaweza ukatuambia kwamba Lowasa naye alikuwa mwanachama wa Chadema kwa muda mrefu??Akikujibu niPm
Kwa muktadha huu ni kwamba sasa tunatumia katiba ya Zambia?Zambia kiongozi wa chama cha upinzani ni Brigadier General Godfrey Miyanda.Wanajeshi kwenye siasa mbona kawaida tu