Msemaji wa JWTZ kuteuliwa kwenye NEC ya CCM, hii imekaaje?

Msemaji wa JWTZ kuteuliwa kwenye NEC ya CCM, hii imekaaje?

Sawa lkn hii ni picha kuwa wakati alipokua jeshini alikua ni mwanachama wa ccm. Haiwezekani kuwa wamemchukua MTU wasiomjua. Ndio maana tunasema vyombo vyetu vya usalama sio huruma na haviko tayari kuona ccm ikishindwa ndio maana hutumia mbinu yote hata za wizi kuleta ushindi kwa ccm
Hakuna mwanajeshi anayeruhusiwa kujihusisha na mambo ya siasa. Kama hili limetokea kwa huyu msemaji wa jeshi kuteuliwa nafasi hiyo basi huu ni ukiukwaji wa katiba na kuingilia miiko ya kijeshi.
 
Siku unayoteuliwa unaacha jeshi huwi mwanajeshi na unashika madaraka siku hiyo hiyo kama ambavyo lowasa alivyofanya.Siku alipoteuliwa na CHADEMA kuwa mgombea siku hiyo hiyo aliacha CCM na kuwa mgombea uraisi
Ni kigezo kipi kimetumika kumchagua huyo jamaa,,,,,,maswali ya kujiuliza 1…ina maana kipindi yupo jeshini alikuwa ni mwana chama mtiifu wa ccm?…2 kama ni ndio basi anatakiwa achukuliwe hatua za kisheria kwa kuwa katka jeshi na kujihusisha na siasa,,,…3 kama ni sio inawezekana vip mtu usiemfahamu umuachie nyumba akulindie......je tutaamin vp na hao waliobakia kama co wanachama watiifu wa ccm!!! Ni mtazamo tyuu
 
Siku unayoteuliwa unaacha jeshi huwi mwanajeshi na unashika madaraka siku hiyo hiyo kama ambavyo lowasa alivyofanya.Siku alipoteuliwa na CHADEMA kuwa mgombea siku hiyo hiyo aliacha CCM na kuwa mgombea uraisi
Hapo Lowassa kafikaje mkiferi darasani mnasingizia walimu hawafundishi hivi kabla hujalala lazima umtaje Lowassa inaonekana bila Lowassa hizo book 7 huwezi kuzitafuta kwa shughuli nyingine badilika kwa kujibu kwa hoja
 
NI UKIUKWAJI WA KATIBA AU MAJINA YAMEFANANA KATI YA MSEMAJI WA JWTZ NA HUYU MTEULE WA NEC YA CCM?
JPM JITOKEZE KUUELEZEA UMMA KUHUSU UTATA HUU.​

Msemaji wa JWTZ ni Kanali Ngemela Lubinga.

Katibu Mteule wa NEC ya CCM Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ni Kanali Ngemela Eslom Lubinga.

Katiba ya Jamhuri 1977 inasema :-

SURA YA TISA
MAJESHI YA ULINZI

Ibara ya 147.

Ibara ndogo ya (3),
Itakuwa ni marufuku kwa mwanajeshi yeyote kujiunga na chama chohote cha siasa, isipokuwa tu kama atakuwa na haki ya kupiga kura iliyotajwa katika ibara ya 5 ya Katiba hii.

Ibara ndogo ya (4),
Kwa madhumuni ya ibara hii, "mwanajeshi" maana yake ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au ya kudumu katika Jeshi la Ulinzi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza au Jeshi la Kujenga Taifa.
We huelewi nn sasa hapo
 
Do you have An Advocate and Tsh 7,000,000=/ Cash
Umeshaona fursa kijana ... ?! [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hata Mahakama sasa ziko Lumumba .., usijisumbue ...

Ni wale vilaza kuamka tuu ndio itasaidia, and it might take a decade such a thing to happen ...
 
Siku unayoteuliwa unaacha jeshi huwi mwanajeshi na unashika madaraka siku hiyo hiyo kama ambavyo lowasa alivyofanya.Siku alipoteuliwa na CHADEMA kuwa mgombea siku hiyo hiyo aliacha CCM na kuwa mgombea uraisi

Hoja ya kipuuzi.
 
Hii nikuonyesha ya kwamba chama tawala(serikali)kina mamluki kila pahala.
 
Hii nchi ya abunuwasi ni shida tu....ndo maana Trumph anasema asilimia kubwa ya viongozi wa kiafrica hawana vision na huwaza umaskini zaidi kuliko maendeleo yaani ngoma zaidi......huku raslimali zikichukuliwa na wazungu.....wanawaza mtutu wa bunduki kuliko wananchi wao hasa kwa vyama vya kidikteta vyenye wafuasi mbumbu.
 
Hakuna mwanajeshi anayeruhusiwa kujihusisha na mambo ya siasa. Kama hili limetokea kwa huyu msemaji wa jeshi kuteuliwa nafasi hiyo basi huu ni ukiukwaji wa katiba na kuingilia miiko ya kijeshi.
Ndiyo hivyo ndg yangu MTU mwenye cheo cha juu jeshini anachaguliwa kushika nafasi kktk chama. Mtu anajua mbinu zote za vita na za kimapinduzi ya nchi anaingiaje chamani? Amekifanyia nn chama hadi kumtunuku cheo hicho?
 
Kama atakua amestafu na ajira ya haikua ya kudumu..yupo huru kujiunga na siasa...mbona ibara hiyo ya 4 inaeleza vizur
 
WhatsApp Image 2016-12-14 at 11.20.37 AM.jpeg
 
Mungu Saidia Taifa Lako Linaangamia Kwa Kupenda Michanganyo Pasipo Lazima Yoyote.
 
Back
Top Bottom