Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Ndo wanavunja katiba...Zambia kiongozi wa chama cha upinzani ni Brigadier General Godfrey Miyanda.Wanajeshi kwenye siasa mbona kawaida tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo wanavunja katiba...Zambia kiongozi wa chama cha upinzani ni Brigadier General Godfrey Miyanda.Wanajeshi kwenye siasa mbona kawaida tu
kama siku zote mngekuwa mnajibu hoja kwa busara na kwa kueleweka kama ulivyojibu vizuri bila kutukana.Siku unayoteuliwa unaacha jeshi huwi mwanajeshi na unashika madaraka siku hiyo hiyo kama ambavyo lowasa alivyofanya.Siku alipoteuliwa na CHADEMA kuwa mgombea siku hiyo hiyo aliacha CCM na kuwa mgombea uraisi
Lkn hakuanza yeye; JK alimteua Kanali Ndomba kuwa RC Arusha na baada ya miaka michache akamrudisha JWTZ kuwa Mnadhimu Mkuu kabla ya kustaafu mwaka jana. Inajulikana wazi hiyo nafasi ni ya Kisiasa na Col. Ndomba alikuwa bado ndani ya ajira ya JWTZ!Mtukufu wetu yuko juu ya kila kitu na hata akiamua kusema watz wote ni vilaza tutampigia makofi na kushangilia
Limefungwa kisheria pale unapotaka kuvaa kofia mbili kwa wakati mmoja ila ukipata nafasi ya kisiasa unaacha jeshi mara moja na kwenda kwenye siasaTumia akili, jeshi limefungwa kisheria lkn lowassa hajafungwa kisheria. Huu ndio tunaoita kwa kingereza GRAFT CORRUPTION. Taasisi inahongwa ili itoe upendeleo.
Kwa hiyo ameteuliwa akiwa si mwanachama wa CCM?Siku unayoteuliwa unaacha jeshi huwi mwanajeshi na unashika madaraka siku hiyo hiyo kama ambavyo lowasa alivyofanya.Siku alipoteuliwa na CHADEMA kuwa mgombea siku hiyo hiyo aliacha CCM na kuwa mgombea uraisi
Magufuli anashinda kwa kishindo Hata nzi hafi 2020 uchaguzi ushaisha mbona tunasubiri kuapishwa kwa magufuli tu?nina harufu ya damu kutapakaa 2020 kwani kijani hawatakubali kushindwa, na zaidi itabidi njugu zisambazwe kwa raia wasio na hatia ili tu wabaki madarakani, tuandae makaburi, kwanza watapoteza pesa nyingi sana kuliko walizopoteza 2015, na watakuwa wako juu ya sheria, kama walinzi wetu nao wanaingizwa kwenye siasa, mark my words
Ccm wanatumia ubabe sana, haramu haihalaliswi na haramuLkn hakuanza yeye; JK alimteua Kanali Ndomba kuwa RC Arusha na baada ya miaka michache akamrudisha JWTZ kuwa Mnadhimu Mkuu kabla ya kustaafu mwaka jana. Inajulikana wazi hiyo nafasi ni ya Kisiasa na Col. Ndomba alikuwa bado ndani ya ajira ya JWTZ!
VV
Hata sasa hivi wapo kibao ni wakuu wa wilaya kule Kigoma na Bado ni waajiriwa wa jeshi tatizo RAIA wengi magumashi uzalendo hakuna sasa hizo nafasi bora amewapa wazalendo wa nchi hii kuliko hawa RAIA( kifaa kinachomika baharini kwenye meli kujiokoa)Lkn hakuanza yeye; JK alimteua Kanali Ndomba kuwa RC Arusha na baada ya miaka michache akamrudisha JWTZ kuwa Mnadhimu Mkuu kabla ya kustaafu mwaka jana. Inajulikana wazi hiyo nafasi ni ya Kisiasa na Col. Ndomba alikuwa bado ndani ya ajira ya JWTZ!
VV
Muheshimiwa anataka kuingiza nidhamu ya kijeshi kwenye chama, ni transformation anafanya!!Mtukufu wetu yuko juu ya kila kitu na hata akiamua kusema watz wote ni vilaza tutampigia makofi na kushangilia
Ndio maana tunauliza toka lini alianza kuwa mwanachama wa ccm? Kwa kazi gani aliyoifanyia ccm hadi ikamuona kuwa sasa anafaa?Limefungwa kisheria pale unapotaka kuvaa kofia mbili kwa wakati mmoja ila ukipata nafasi ya kisiasa unaacha jeshi mara moja na kwenda kwenye siasa
umeshasema ilikuwa enzi za chama kimoja..........................Nimegundua si kosa lako, tatizo lako unataka kuonyesha wana JF kuwa unajua lakini hujui chochote. Acha tukukumbushe-wakati tukiwa na chama kimoja asilmia kubwa ya wafanya kazi wote na wafanyabiashara walikuwa wanachama wa ccm, majeshi yote walikuwa wanachama wa ccm na siasa ilifundishwa hadi majeshini, na ndo maana tokea nyakati hizo wanajeshi waliteuliwa katika nyadhifa mbalimbali mfano-Mh. Jakaya Kikwete, Mh.Kinana na wengine wengi-si ajabu hicho kinachofanyika
hoja c uanachama mpya hoja ni aunajeshi wake mbn nyie watu ni wazito kuelewa!Kwani katiba ya Chadema inasemaje, mwanachama mpya lazima amalize miaka 2, bila kupewa wadhiwa wowote, lakini lowasa aliingia asubuhi jioni mgombea urais mbona hili hamkuhoji
are you serious?Kuna sehemu ya katiba inayomkataza askari kuwa mwanachama wa chama cha siasa ?
Acha kutudanganya...!kumbuka huyu kateuliwa ina maana aliye mteua anajua fika kuwa huyu Ni mwanajeshi na mteuliwa hakujua kama atateuliwa ili astaafu jeshi alafu ateuliwa kuwa kiongozi wa chama cha siasa....!sasa unapotuambia lzm astaafu ndio awe kiongozi wa chama cha siasa unamaanisha nini.....?Siku unayoteuliwa unaacha jeshi huwi mwanajeshi na unashika madaraka siku hiyo hiyo kama ambavyo lowasa alivyofanya.Siku alipoteuliwa na CHADEMA kuwa mgombea siku hiyo hiyo aliacha CCM na kuwa mgombea uraisi
Hoja si uteuzi wake tu,alianza lini kuwa mwanachama wa Chama cha mapinduzi huku akiwa mwanajeshi?