Msemaji wa Serikali ya Kenya asema Kenya haina shida na matamshi ya Donald Trump 'SHITHOLE'

Msemaji wa Serikali ya Kenya asema Kenya haina shida na matamshi ya Donald Trump 'SHITHOLE'

Sasa wewe ndio bure kabisa kuliko huyo waziri.
Kwa sababu.
Trump alichokiongea ni kina ukweli ndani yake.
Watu hawataki kusikia maneno yenye ukweli siku zote.
Trump anaongea mambo ambayo huku afrika mnayaongea kila siku na mnayapigia kelele kila siku.
Nchi za afrika ni shithole.

Ni ukweli kabisa. Hutaki hamia europe

wewe ni mpumbavu halafu mjinga mkubwa
 
Wakenya wakosawa ukitaka kuwajua shithole wenzangu wanapinga kuambiwa ukweli mfano sisi shithole bongo magufuli kachota hela kaenda kujenga uwanja kwao tena pesa ambayo hakuridhiwa na vikao vya bunge wala tenda haikutangazwa hadharani kaenda kujenga uwanja kwao bado tunaendelea kumpigia makofi na kumfananisha na watakatifu wa mungu,wakti huohuo akitutukana tukilalamika maisha magumu
 
Amekubaliana na ststement tayari kwa kuwa Trump, kwa kiasi kikubwa kasema UKWELI. Miinchi mingi ya kiafrika ni miku*du (SHITHOLES) tu.
Wewe nawe, acha zako maana yake si hiyo. Shithole ni 'slang' ya kiingereza inamaanisha a 'shabby and dirty place' 'a totaly disorganized place'. Kama akili yako. 😀
 
Nina uhakika hajasema maana hakuna uthibitisho wa audio au video
We Jamaa ndo msemaji wa white state,mbna unatetea mno kauli za udgalilishaji hivyo,inahtajka uchukie hata awe hajasema au amesema,kiongozi mkubwa kama yule haitajiki kusikika tetesi za kijinga kama zile,hv husomi vitabu vya dini kwamba bwana kaesar alimuacha mkewe kwa tetesi ya uzinifu,ijapo alikuwa Na ushahid tosha wa kuwa Mkewe si mzinifu,if you need more prefer to the books
 
We Jamaa ndo msemaji wa white state,mbna unatetea mno kauli za udgalilishaji hivyo,inahtajka uchukie hata awe hajasema au amesema,kiongozi mkubwa kama yule haitajiki kusikika tetesi za kijinga kama zile,hv husomi vitabu vya dini kwamba bwana kaesar alimuacha mkewe kwa tetesi ya uzinifu,ijapo alikuwa Na ushahid tosha wa kuwa Mkewe si mzinifu,if you need more prefer to the books
Yes. Mke wa mfalme hatakiwi hata kuhisiwa uzinifu.
 
wewe SASA unaongea na kuleta hoja nyingine. swala siyo kama alisema au hakusema. bali ni yale matamshi au kauli ni sawa kuambiwa waAfrika? vyovyote vile yale matamshi yaliwakasirisha hata watu wasio waAfrika.
sasa nashangaa kuona a poverty stricken country like Kenya kusema haioni tatizo. bora mngekaa kimya ingekuwa na thamani kubwa kuliko serikali ya KENYA ilivyofanya. najua waKenya wengi hawajafurahia kauli hii.
mkumbuke hii kauli haitawaacha waKenya salama. thamani (dignity) YENU imeshuka sana mbele ya jumuiya ya kimataifa.
no wonder Kenya is termed as a (good) case study of the impact of colonialism.

So unategemea tutokwe na mipovu kwa kitu ambacho hakina ushahidi, hakuna hata mtu mmoja ameweka ushahidi wowote hadharani kwamba Trump kasema. Pangekua na ushahidi kama ule wa Mkapa kuwaita nyie malofa basi hapo tungetokwa na mipovu na kulaani na kulialia na kusema sema, lakini kwa sasa kila mtu amekurupuka na makelele bila ushahidi wowote.

Msemaji wa serikali alikua anajibu swali aliloulizwa kuhusu maoni yake ya hilo tusi, na akasema wazi kwamba wanalifanyia uchunguzi na hadi sasa hawajaona shida yoyote maana kiukweli hamna ushahidi zaidi ya dezo dezo, sasa ulitegemea afanye nini, alie au naye amtukane Trump.
 
Mi naona Kenya wako vizuri, hawajataka kurupuka kweye kitu ambacho si kweli na tusi halimuachii mtu lawama
Kuambiwa ukweli sio tusi. Ikiwa wewe ni kipofu, na mtu akuita..we kipofu njoo, je amekutusi au ndio sifa yako?


Unajua impact ya political image katika masuala hayo kama nchi?

Kenya mko pamoja na mimi anae bisha juu ya hili kwaniaba y'all trump narudia yeye ni "SHITHOLE
 
Hehehehe.... Mitanzania bana, wafuata mikumbo na kujaribu kuonekana hata nyie mpo, watu kama nyie ndio mnasababisha bora tuitwe shithole kabisa.

Hadi sasa hamna audio recording au ushahidi wowote kwamba Trump alitukana Afrika rasmi, yote ni dezo dezo za backstage rumors. Ikulu ya Marekani imetoa tamko na haijakiri chochote, sasa Miafrika tukianza kujifanya eti tumekerwa sana, mbona tusifanye kweli na kuwafukuza Wamarekani kutoka nchi zetu na kufunga balozi zao.......pambavu tu hamna lolote.

Japo pia kiana nahisi tunafaa kuitwa zaidi ya shithole hususan tunaotafuna binadamu kisa ni albino eti watatuongezea utajiri na kushinda kwenye uchaguzi.
Narudia tena viongozi wa Afrika, uongozi na nchi zao ni pithole
 
Kuambiwa ukweli sio tusi. Ikiwa wewe ni kipofu, na mtu akuita..we kipofu njoo, je amekutusi au ndio sifa yako?
Sass Kama unajua ukiambiwa ukweli siyo tusi kwanini umind kuitwa kipofu wakati wewe ni kipofu.think twice blood.

Narudia tena wanao mpinga trump hao ndiyo ma "shithole in did"
 
So unategemea tutokwe na mipovu kwa kitu ambacho hakina ushahidi, hakuna hata mtu mmoja ameweka ushahidi wowote hadharani kwamba Trump kasema. Pangekua na ushahidi kama ule wa Mkapa kuwaita nyie malofa basi hapo tungetokwa na mipovu na kulaani na kulialia na kusema sema, lakini kwa sasa kila mtu amekurupuka na makelele bila ushahidi wowote.

Msemaji wa serikali alikua anajibu swali aliloulizwa kuhusu maoni yake ya hilo tusi, na akasema wazi kwamba wanalifanyia uchunguzi na hadi sasa hawajaona shida yoyote maana kiukweli hamna ushahidi zaidi ya dezo dezo, sasa ulitegemea afanye nini, alie au naye amtukane Trump.
Okay let us put in this way. Your father and mother are shitholes. Vipi hapo?
 
Okay let us put in this way. Your father and mother are shitholes. Vipi hapo?
Ikiwa kweli ndivyo babako na mamako Annael nao kiukweli ni shitholes utakataa?
 
Ikiwa kweli ndivyo babako na mamako Annael nao kiukweli ni shitholes utakataa?
Hapo unanirudishia mpira mimi tena? Nimeuliza swali? Jamaa anawaita baba yako na mama yako kuwa ni shitholes itakuwaje? Utachekelea na kusema huyu jamaa kasema poa kabisa.

Hata kama mpo na ugomvi na wazazi, mtu mwenye malezi ya maana ata mind.
 
Kenya imeelimika tofauti na tanzania..kuna lugha isemayo what other says about you its non of your business..hiki ndio kitu kinachowasaidia wao...cc huku serikali inafanya kila baya kwa ajili yetu lakini hatupazi sauti..ety leo trump mtu wa mbaaaaali kbsa ambae hata hatuusu kwa ubaya na anaweza akatuhusu kwa wema tupaze sauti..ndo ujinga wa tanzania ndio maana tunahimizwa elimu x3..
 
Sass Kama unajua ukiambiwa ukweli siyo tusi kwanini umind kuitwa kipofu wakati wewe ni kipofu.think twice blood.

Narudia tena wanao mpinga trump hao ndiyo ma "shithole in did"
Huo ndio ukweli.
Kiongozi utaumizaje waliokuchagua ikiwa wew sio pithole?
 
Back
Top Bottom