Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

Kitenge uwa haropoki ropoki bila taarifa sahihi..Kumbuka jamaa ni afisa kipenyo...Tatizo la Msemaji wa Simba uwa unaongea bila kuwasili

Tatizo la Msemaji wa Simba uwa anaonge bila kuwasiliana na Ubongo wake mbona atayameza maneno yake mda si mrefu.....Kitenge uwa Haropoki ropoki bila taarifa sahihi...
Aliyewadanganyeni kuwa Mtangazaji Maulid Kitenge ni Afisa Usalama wa Taifa ( Afisa Kipenyo ) ni nani?

Na kama ni kweli Maulid Kitenge huyu huyu Mtopolo nae ni TISS Agent naanza rasmi leo na muda huu huu Kuidharau hiyo Idara ( Taasisi ) Muhimu Kiusalama nchini.
 
Aliyewadanganyeni kuwa Mtangazaji Maulid Kitenge ni Afisa Usalama wa Taifa ( Afisa Kipenyo ) ni nani?

Na kama ni kweli Maulid Kitenge huyu huyu Mtopolo nae ni TISS Agent naanza rasmi leo na muda huu huu Kuidharau hiyo Idara ( Taasisi ) Muhimu Kiusalama nchini.
Wenye akili tulishaidharau kitambo kumbe bado wewe tu poole.....
 
Ameona atuharibie furaha kitu ambacho hakiwezekani. Huyu nadhani anatumika, kwanini amesubiri game ya leo ndo akasema hilo.
 
Mpaka nimefikiria haji akienda wasafi huyo kanga moko atamhoji au atakimbia awaachie wengine!
 
Kwanini msimujibu kitenge kwa hoja badala ya personal attack dhidi yake suala la Morrison na nyie kudraw Sudan mbona havifungamani.lakini Morison kuondoka simba kaandika na blogger mmoja mnazi wa simba baada ya manara kuzingua kafuta kwenye blog yake y,tupunguze mihemko panapokuja maswala ya fact.
 
Kitenge uwa haropoki ropoki bila taarifa sahihi..Kumbuka jamaa ni afisa kipenyo...Tatizo la Msemaji wa Simba uwa unaongea bila kuwasili

Tatizo la Msemaji wa Simba uwa anaonge bila kuwasiliana na Ubongo wake mbona atayameza maneno yake mda si mrefu.....Kitenge uwa Haropoki ropoki bila taarifa sahihi...

Ni Suala la muda tu kwani hata Yeye Kamchoka.
Manara akija Wasafi yeye anakula kona
 
Back
Top Bottom