uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,679
- 4,283
Mchicha poriMambo ya kinamama hayo, watamalizana jikoni wakiwa wanapika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchicha poriMambo ya kinamama hayo, watamalizana jikoni wakiwa wanapika.
Mke wangu kwa vijambo uko vzr.Mchicha pori
Ata mm ndo nimeshangaa alafu Simba ni kubwa kusemwa kwa uzuri na ubaya ni kawaida tu kizuri upigwa mawe siku zoteKwa nini Haji analazimisha ugomvi wake na Kitenge uhusishe Wasafi media? Kitenge ameandika alichoandika kwenye ukurasa wake binafsi! Wasafi inaingiaje hapo? Haji anatamani kusikia Kitenge ameondolewa Wasafi! Kisa tu yeye anaurafiki na Nasibu!?
Nugaz na manara ni two sides of the same coinManara Kichwani hamna Kitu lakini Mabosi wenu GSM wamwemuacha Nugaz wanatangaza biashara zao na Manara.
So naskia jamaa ana boss uko MarekaniSiri yakitenge muulizeni mwanaidy yattery anajua jamaa alivyo chakula hadi akamkimbia
Mwenyewe anasema yuko tayari kwenda kupimwa marinda,anadai seal ipo na hajawahi kuingiliwa.Nimekuambia kuwa Matendo yake ni Threat kwa Usalama wa hizo nchi? Pimbi mkubwa Wewe. Matendo yake ni Hatari Kibaiolijia na Kiafya mno tu.
Hongera sana hili ndo jambo ambalo nimelionaKitenge kaandika hayo kwenye ukurasa wake binafsi, kwa nini mnaihusisha Wasafi FM? Mara ngapi Haji anaandika upuuzi kuhusu Yanga kwenye kurasa zake na watu hawaihusishi klabu ya Simba? Haji anapenda kusifiwa na kuandikwa vizuri tu! Hivi karibuni amechafua ' brand' ya Yanga na bado amekuwa jeuri na kiburi zaidi! Haji ni nani nchi hii? Aache mikwara mbuzi, Simba itaandikwa na kusemwa kwa mazuri na mabaya yake!
Kitambo tu hadi kakimbiwa na mmoja ya wake zakeKumbe ni shoga Duh.
Kisamvu cha kopo?Himself.
Ana wake wangapiKitambo tu hadi kakimbiwa na mmoja ya wake zake
Sasa wake wanne anawafanyia nini ?Siri yakitenge muulizeni mwanaidy yattery anajua jamaa alivyo chakula hadi akamkimbia
Kwani mke mmoja unamfanyia nini?
Wamebaki watatuAna wake wangapi
@Twamo mwenye akili atakua amekuelewa my brother.Yaani hapo umemaliza Kila kitu[emoji123]Kitenge kaandika hayo kwenye ukurasa wake binafsi, kwa nini mnaihusisha Wasafi FM? Mara ngapi Haji anaandika upuuzi kuhusu Yanga kwenye kurasa zake na watu hawaihusishi klabu ya Simba? Haji anapenda kusifiwa na kuandikwa vizuri tu! Hivi karibuni amechafua ' brand' ya Yanga na bado amekuwa jeuri na kiburi zaidi! Haji ni nani nchi hii? Aache mikwara mbuzi, Simba itaandikwa na kusemwa kwa mazuri na mabaya yake!
Labda umeamua tu kutetea, sio viby kuisema vibaya ikikosea, shida ni uzushi wa taarifa, Kitenga na mkule waliwahi kuzusha kua Sven na Kagere wamepigana. Huku sio kukosoa.Hongera sana hili ndo jambo ambalo nimeliona
1. Kitenge kaandika kwenye kurasa yake binafsi wala haina uhusiano wowote na wasafi...
Punda Huyo plus bisexual. Ila pia labda kweli Morrison ana ugomvi na coach.Kuna Watu wanamjua kindakindaki kuhusu Maisha yake, Uhalisia wake na Upuuzi pamoja na Upumbavu anaofanya huko anakosafiri nje hivyo Watu hao nao wakiamua Kufunguka tafadhali asije Kuwalaumu. Na tunajua yakianikwa ayafanyayo huko huenda hata nchi husika zisimpokee tena au Mamlaka za Tanzania zikamuita kwa Mahojiano nae zaidi. Asilazimishe Watu hao wanaomjua ( siyo All - Rounder Mimi ) wakafika huko.