Labda umeamua tu kutetea, sio viby kuisema vibaya ikikosea, shida ni uzushi wa taarifa, Kitenga na mkule waliwahi kuzusha kua Sven na Kagere wamepigana. Huku sio kukosoa. Leo hii kitenge anajua yeye ni ripota anaenda kusema Morrison ana ugomvi na Gomez. Kitenge yupo kwenye tasnia ya habari muda mrefu kwa nini asiwaulize Simba sababu za Morrison kuachwa. Wachezaji wa Simba wengi tu waliachwa kwa nini wampoint mtu mmoja?
Tafuteni hbari za ukweli mkizipata kosoeni xikiwa hajijengi sio mbaya. Kuna juzi hapa huyu huyu Morrison walimzushia kua ana busha. Sasa huko sio kuisema vibaya simba, ila ni kuitungia story ambayo haipo.