Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

Kitenge uwa haropoki ropoki bila taarifa sahihi..Kumbuka jamaa ni afisa kipenyo...Tatizo la Msemaji wa Simba uwa unaongea bila kuwasili

Tatizo la Msemaji wa Simba uwa anaonge bila kuwasiliana na Ubongo wake mbona atayameza maneno yake mda si mrefu.....Kitenge uwa Haropoki ropoki bila taarifa sahihi...
Afsa kipenyo kwa merson? Acha kudharau kazi za watu
 
Labda umeamua tu kutetea, sio viby kuisema vibaya ikikosea, shida ni uzushi wa taarifa, Kitenga na mkule waliwahi kuzusha kua Sven na Kagere wamepigana. Huku sio kukosoa. Leo hii kitenge anajua yeye ni ripota anaenda kusema Morrison ana ugomvi na Gomez. Kitenge yupo kwenye tasnia ya habari muda mrefu kwa nini asiwaulize Simba sababu za Morrison kuachwa. Wachezaji wa Simba wengi tu waliachwa kwa nini wampoint mtu mmoja?
Tafuteni hbari za ukweli mkizipata kosoeni xikiwa hajijengi sio mbaya. Kuna juzi hapa huyu huyu Morrison walimzushia kua ana busha. Sasa huko sio kuisema vibaya simba, ila ni kuitungia story ambayo haipo.

Hii taarifa kunatatizo gani? .... mbona tetesi za soka ulaya haya mambo akina mesi, neymar nk kila siku yapo mitandaoni?

 
Hivi hiki ndicho kilicho mtoa macho Manara? Au kuna kitu kingine?

Kama ni hii taarifa basi Manara sio salama

 
Mashabiki wa Simba acheni kufanywa wajinga na Manara, jiulizeni kwanini Morison mechi ya mwisho na JKT hakucheza? Muulizeni kwanini Morison hakusafiri na kikosi kwenda Sudan. Ukweli ni kwamba Morison kasusa na kagoma kufanya mazoezi na poor discipline. Mpo kama mazezeta
 
Nashangaa kinacholalamikiwa ni nini, tetesi za izo ni kawaida kwa timu yoyote duniani na viongozi wa timu husika hutolea ufafanuzi na sio kukashifu watoa taarifa. Unataka timu yako isisemwe na mabaya na tetesi, wewe kama nani?

Yanga pia inasemwa mara hawajalipwa mishahara wachezaji mara Mukoko kasajiliwa Simba n.k lakini huoni wakianza kuwakabili mwandishi aliesema. Utamu wa mpira sio mazuri tu na ata tetesi ndo kunoga Kwa mpira huo.
 
Mashabiki wa Simba acheni kufanywa wajinga na Manara, jiulizeni kwanini Morison mechi ya mwisho na JKT hakucheza? Muulizeni kwanini Morison hakusafiri na kikosi kwenda Sudan. Ukweli ni kwamba Morison kasusa na kagoma kufanya mazoezi na poor discipline. Mpo kama mazezeta
Changamoto ya Manara ni moja tu hataki timu yake itajwe kwa mabaya, yeye kama Nani haswa. Tetesi ni moja zikazochagiza Raha ya mpira.
 
Kuisema kwenye accounts zake aseme tu, tumuache. Ila kuisema ofisini, hapo afitinishwe na mwajiri wake. Kuna siku alimtafuta jamaa tu anajiita mwanauchumi kuja kuzungumzia suala la Simba na Tume ya Ushindani (FCC). Wachambuzi mle studio walikuwa wanasita kutumia maneno ya huyo 'mwanauchumi' kama basis ya uchambuzi, maana walimshtukia Kitenge, maana hawakujua amemtoa wapi
 
IMG_1202.jpg


Huu umbea wa Balgeen Abdul na sakata la hirizi hapa Manara ndo kanidindisha masikio, masikio yamesimama utafikiri zile kofia za Mama Rwakatare[emoji23][emoji23], ila kaniudhi mxieew badala yakutupatia umbea full anatupatia nusu nusu, ananipa assignment nzito wakati Warumi mie siku hizi nimeokoka
 
Sasa wake wanne anawafanyia nini ?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app

Unadhani Mashoga hawagongi? Wale kinachofeli ni Anal Sphincter tu lakini Penis inamaintain erection kama kawaida na anagonga Mzigo that's why Christian Bareback ni Bonge la Shoga lakini ni Pornstar anayeoongoza kuwala Tigo Mademu.

So, na huyu Kijora usishangae kwa na Wake Wengi hasahasa kwenye hii mitaa ambayo tunayoweza kumsaidia kazi ya kuwaridhisha.
 
Back
Top Bottom