kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Anataka simba iwe kama CCMMe Ni mashabiki wa Simba lakini sometimes simuelewi haji manara uswahili umekuwa mwingi Sana msemaji gani unavuka mipaka kiasi hicho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka simba iwe kama CCMMe Ni mashabiki wa Simba lakini sometimes simuelewi haji manara uswahili umekuwa mwingi Sana msemaji gani unavuka mipaka kiasi hicho
Haji ni mropokaji mambo ya kufatilia maisha ya watu sasa hizo hirizi zina husuka nini na kinacho ongelewaNaona vita inazidi kupamba moto. Haji anasema bwana Kitenge wakati anaondoka radio one alidondosha hirizi, hakuishia hapo tu, anasema huko usafini Jamaa anagombana na wenzake kisa kumkaribisha kwenye enterview Haji.
Na lilipokuja swala la similarities and differences wakati haji aki-balance mzani kujibu tuhuma za kitenge kuwa Haji anajipendekeza kwa matajiri, amesema Kitenge matajiri zake wako Marekani na ndiko anakoendaga, na kama mjanja aendelee kumsema ataharibu zaidi.
uzuri ni kwamba wote ni wa aina moja,mmjoa aliwa na wazungu mwingine aliwa na waarabu yani ni kama vile B kuliwa Dar na boss mfupi na ndugu mashavu mbonyeo kuliwa Mombasa na mtawala kwa hiyo wasitupotezee muda.View attachment 1719211
Huu umbea wa balgeen abdul na sakata la hirizi hapa manara ndo kanidindisha masikio, masikio yamesimama utafikiri zile kofia za Mama Rwakatare[emoji23][emoji23], ila kaniudhi mxieew badala yakutupatia umbea full anatupatia nusu nusu, ananipa assignment nzito wakat warumi mie siku hiz nimeokoka
Mwaga ubuyu kakaKuna Watu wanamjua kindakindaki kuhusu Maisha yake, Uhalisia wake na Upuuzi pamoja na Upumbavu anaofanya huko anakosafiri nje hivyo Watu hao nao wakiamua Kufunguka tafadhali asije Kuwalaumu.
Na tunajua yakianikwa ayafanyayo huko huenda hata nchi husika zisimpokee tena au Mamlaka za Tanzania zikamuita kwa Mahojiano nae zaidi. Asilazimishe Watu hao wanaomjua ( siyo All - Rounder Mimi ) wakafika huko.
Wote tunajua kusoma na wewe. Usituchoshe!Naona vita inazidi kupamba moto. Haji anasema bwana Kitenge wakati anaondoka radio one alidondosha hirizi, hakuishia hapo tu, anasema huko usafini Jamaa anagombana na wenzake kisa kumkaribisha kwenye enterview Haji.
Na lilipokuja swala la similarities and differences wakati haji aki-balance mzani kujibu tuhuma za kitenge kuwa Haji anajipendekeza kwa matajiri, amesema Kitenge matajiri zake wako Marekani na ndiko anakoendaga, na kama mjanja aendelee kumsema ataharibu zaidi.
Nikichogundua wewe mwenyewe mpiga zumari tuu.. Usimba umekujaa.. Unamuongelea Katanga ommy wa ufm ambaye kipindi kizima na Watu wake wanachambua habari za simba tuu.. Au unafikiri wapenda Michezo hatujui radio zenye watangazaji wanaz wa simba hata wanashindwa kujizuia mahaba yao!!Tusifike huko tafadhali Ndugu ila abadilike na ajifunze kwa Wenzake akina Jesse John, Mzee Swedi Mwinyi, Ibrahim Masoud, Omary Katanga, Tigana Lukinja, Goza Chuma, Ahmed Abdallah aliyenae hapo hapo Wasafi FM na Mcheza Karate Mahiri Amri Masare ambao wanajulikana Klabu zao pendwa wanazozishabikia ila hakuna hata Siku moja wakiwa katika Vipindi vyao utaweza kujua wapo wapi wakiwa ama Wanatangaza na hata katika Kufanya Uchambuzi vile vile.
Aisee hawa majamaa umewavalia njuga hatar , nadhan hawana cha kukudanganya
Kisamvu mpira [emoji13][emoji2960]Unataka kusema kitenge ni wali nazi mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Gentamycin amerudi kivingine [emoji13][emoji13]Nimeona mwandiko wa Gentamycin ulioboreshwa
Haji pozi zake tu za kichokoThese gays lack proffessionalism kwenye vibarua vyao...Ipo siku itawacost...usikute wamegongana sehem
Alafu hata mleta Uzi anaonekana ni mshabiki maandazi wa vijiwe majungu vya kahawa.. Kaandika hisia.Mashabiki wa Simba acheni kufanywa wajinga na Manara, jiulizeni kwanini Morison mechi ya mwisho na JKT hakucheza? Muulizeni kwanini Morison hakusafiri na kikosi kwenda Sudan. Ukweli ni kwamba Morison kasusa na kagoma kufanya mazoezi na poor discipline. Mpo kama mazezeta