Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

Nawe Manara kila mtu anaihujumu simba we simba unaijua kuliko akina Kilomoni usipende kutisha waandishi wa habari kwa kauli zako za kejeli wapi Kitenge alipokosea wewe unataka kumchonganisha na mmiliki wa Wasafi sijui ili upate nini mimi namshauri Mo huyu Manara atakuja kuingiza simba kwenye matatizo makubwa maana yeye kila kitu ni kurukia hata jambo lisilomhusu ndio maana Jerry Muro alimwita kuwa yeye ni KIHIRIZI cha simba maana habanduki anajifanya mtetezi wa simba kumbe tumbo linamsumbua hivi atastaafu lini huyu mropokaji
 
Nyuma ya mafanikio Kuna Siri nzito nyingi heshima aliyonayo maulid kitenge katika jamii leo hii anafukuliwa nyuma dah n hatari sana

Watu walisha mzushia kuwa anauza ngada kumbe sio n kufukuliwa mtaro nawaza wake zake wakipata habar hizi mama na marafik

Manara naye dah ila mzee TOZI awe na huruma jaman kumfakamia manara na ile hali yake inahtaj ujasir balaaa

NAOMBA PICHA YA MZEE TOZI NA HUYO MWARABU WA USA TUWAONE MASHEMEJI ZETU
 
Nyuma ya mafanikio Kuna Siri nzito nyingi heshima aliyonayo maulid kitenge katika jamii leo hii anafukuliwa nyuma dah n hatari sana

Watu walisha mzushia kuwa anauza ngada kumbe sio n kufukuliwa mtaro nawaza wake zake wakipata habar hizi mama na marafik

Manara naye dah ila mzee TOZI awe na huruma jaman kumfakamia manara na ile hali yake inahtaj ujasir balaaa

NAOMBA PICHA YA MZEE TOZI NA HUYO MWARABU WA USA TUWAONE MASHEMEJI ZETU
Wanasema alb Ni mtamu balaa,tusimlaumu mzee Tozi
 
Moja kwa moja kwenye bandiko

Hi Vita ipo serious

Mtangazaji Vs Msemajii baada ya Maulidi ku'post kwenye ukurasa wake wa Instagram

Nanukuu

Mshambuliaji wa Klabu ya Simba raia wa Ghana, Benard Morrison akaachana na Klabu hiyo mwisho wa msimu huu baada ya kutokuwepo maelewano mazuri baina yake na kocha Didier Gomes Morrison ambaye amekosa nafasi katika kikosi cha kwanza cha Simba tangu ujio wa kocha Gomes alikorofishana na kocha huyo mfaransa baada ya kukataa kujumuishwa katika kikosi cha Simba kilichoipatia ushindi wa 3-0 dhidi ya Africa Lyon katita michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam. Tangu hapo Morrison amekuwa akiwekwa nje ya kikosi cha kwanza na huenda asicheze mchezo wowote mpaka mwisho wa msimu......MWISHO WAKUNUKUU

Manara nae akajibu kam ifuatavyoo

Nanukuu

Tumekuvumilia mara nyingi sana lakini Kwa sasa uvumilivu umetushinda, Kwa nn kila siku ni ww tu kuiongopea Simba mambo ya uongo? Unaitumia mara kadhaa @wasafifm kuelezea migogoro hewa kuhusu Simba na kutaka kuichafua klabu yetu Kwa maslahi yako binafsi! Umekuwa ukifanya hvyo hata ktk Wall zako.

Utadhani Wasafi ni redio yako binafsi, Simba haitaki iandikwe na kutangazwa kwa mazuri tu, Waandishi na watangazaji haki ya kutukosoa Kwa mabaya pia kama tumeyafanya,,lakini haitavumilia tena story za uongo na kutunga ambazo hazina source,na zimejaa uzushi Ndugu yangu diamondplatnumz ongea nae huyu mtu,tulio nje tunaona hana nia njema na ustawi wa uwekezaji ulioufanya ,nadhan nia yake ni kuona Wasafi fm inakuwa na ugomvi na Wanasimba,,na mm sitakubali kazi niliyopewa na klabu hii ichafuliwe na mtu huyo huyo kila siku,vinginevyo labda anataka Wanasimba waisuse kusikiliza hii redio,kitu ambacho mm ntakuwa mtu wa mwisho kukisema ,ukizingatia mahusiano yangu binafsi na ww.

But akiendelea kututangaza uongo na kuandika uongo juu yetu na wachezaji wetu,zipo hatua'Makhsuus'tutazichukua! Simba ni klabu kubwa mno haiwezi kumuogopa mtu mmoja Kwa chuki zake binafsi kutuchafua kila siku, Nipo hapa kuisemea klabu hii na kuitetea Kwa nguvu zangu zote hadi pale ukomo wangu utakapotimia , Na ktk kipindi changu mm kama head wa idara ya habari na mawasiliano kwenye klabu hii,„sitakubali story za upumbav na za uongo dhidi yetu Kwa sababu yoyote ile,Narudia tena hili likijirudia la uongo uongo iwe Kwa wachezaji,makocha au viongozi na hata timu Kuna hatua' MAKHSUUS' tutazichukua!!!

Simba ni klabu kubwa mno haiwezi kumuogopa mtu mmoja Kwa chuki zake binafsi kutuchafua kila siku, Nipo hapa kuisemea klabu hii na kuitetea Kwa nguvu zangu zote hadi pale ukomo wangu utakapotimia , Na ktk kipindi changu mm kama head wa idara ya habari na mawasiliano kwenye klabu hii,sitakubali story za upumbav na za uongo dhidi yetu Kwa sababu yoyote ile,Narudia likijirudia la uongo uongo iwe Kwa wachezaji,makocha au viongozi na hata timu Kuna hatua' MAKHSUUS' tutazichukua!!!

Nani miongoni mwetu atakaekubali taasisi anayoingoza ichafuliwe? Wanasimba hii ngoma kwanza niachieni mm,„labda huyu mtu hajajua how Simba is BIG Kaona tunapata matokeo kila mahali na kaona Simba imetulia anaanzisha uongo wake,Safari hii nnae na akibisha aendelee......MWISHO WAKUNUKUU

Mwamba kitengee nae akamjibu Kama ifuatavyoo

NISIKILIZENI NIWAAMBIE.

Nina miaka 20 kwenye Taaluma hii hivyo siyumbishwi na mtu huruma kwenye jamii. yeyote sababu ya Popote ninaposimama najivumia maisha na ufanisi kwenye kazi yangu, siogopi wafitini wala simuhofii mtu katika hili na nitasimamia ukweli.

Nataka nitoe elimu kwenye jambo moja, kutoa habari ndiyo kazi yangu na hii nina uhakika nayo. Kuna kijana mmoja, ana roho mbaya sana na anatamani watu wote duniani washuke wawe chini yake. Haiwezekani kwa mtu anayeitwa MAULID KITENGE. Hii inatokana na kukosa taaluma ya msingi ufanyaji kazi.

Inapelekea kujipendekeza kwa kuwachonganisha watu. Kama unataka utajiri muombe Mungu sio kuwa ombaomba kwa matajiri na kusema watu vibaya. Fitina ina mwisho, mwisho wake mbaya.

Kwangu mimi huyu ni mtu asiyejielewa na nitaendelea kufanya kazi kulinda heshima yangu. Nasema tena, muda mwingi anatumia kuwasema watu na kutaka kuwahujumu na Taasisi wanazofanyia kazi. Hili haliwezekani kwani hatupo tulipo.

Nasema tena, kujipendekeza kunawafanya watu wa aina hii kuwa roho woga pindi ukweli unapoongewa.

Uzi tayarii

Comment ziwe fupi
 
Post ya manara
Screenshot_20210307-175948.jpg
 
Manara kiazi tu..vitu vingi huwa anachukulia very personal..anajikuta simba ni ya ukoo wake...Kama umemfatilia mda mrefu, anapenda ku attack wenzake ila yeye ni mtu wa kureact kwa haraka akiguzwa..yupo very emotional bila sababu za msingi...Habari inamhusu Morrison na Simba halafu yeye anakuja na personal attack....
 
Manara kiazi tu..vitu vingi huwa anachukulia very personal..anajikuta simba ni ya ukoo wake...Kama umemfatilia mda mrefu, anapenda ku attack wenzake ila yeye ni mtu wa kureact kwa haraka akiguzwa..yupo very emotional bila sababu za msingi...Habari inamhusu Morrison na Simba halafu yeye anakuja na personal attack....

Walemavu ndivyo walivyo, wako na low self esteem, ni kuwahurumia tu
 
Back
Top Bottom