Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

Ukweli usemwe Manara hapendi Simba isemwe kabisa maana alisha gombana na Shafiii na alishagombana na EFM kisa Simba imesemwa vibaya!

Lakini lazima tukubali muda mwingine watangazaji wetu wanakosa umahiri kwenye taaluma hasa ya habari ni karibu radio zote!

Sijaona kosa la Kitenge kuleta tetesi kuhusu Morrison na ndio maisha ya soka letu kila leo sio jambo la kushangaza lakini ni wazi Manara amekuwa akivuka mipaka as if Radio zinapaswa kuwapigia magoti simba kuwaomba habari kabla hawazitoa...

Manara ana ugonjwa mkubwa wa kupenda kuonewa huruma na jamii!

Lakini hili la hirizi kama ni la kweli au uongo halikupaswa kuja public tena kupitia manara....

Siwezi kushangazwa na mtanzania kukutwa na hirizi(bima ya afya)
 
Unapoteza tu muda kuwafuatilia hao jamaa.hao ni marafiki wa kutupwa na wanajua wanalolifanya
 
samahan mkuu hilo mwamba ndio jina lake au unampa sifa tu mwambie.kitenge aandike habar zenye uhakika.co ajiandikie tu kwa hiyo kila cku wachezaji wa simba wanapigana na kugombana na makocha alinza kagere kisha boko leo.....
 
Ukweli usemwe Manara hapendi Simba isemwe kabisa maana alisha gombana na Shafiii na alishagombana na EFM kisa Simba imesemwa vibaya!

Lakini lazima tukubali muda mwingine watangazaji wetu wanakosa umahiri kwenye taaluma hasa ya habari ni karibu radio zote!

Sijaona kosa la Kitenge kuleta tetesi kuhusu Morrison na ndio maisha ya soka letu kila leo sio jambo la kushangaza lakini ni wazi Manara amekuwa akivuka mipaka as if Radio zinapaswa kuwapigia magoti simba kuwaomba habari kabla hawazitoa...

Manara ana ugonjwa mkubwa wa kupenda kuonewa huruma na jamii!

Lakini hili la hirizi kama ni la kweli au uongo halikupaswa kuja public tena kupitia manara....

Siwezi kushangazwa na mtanzania kukutwa na hirizi(bima ya afya)

Anatumia ulemavu wake kama silaha, watu wakianza kumpa makavu live dunia haitapenda wala mimi sitapenda, analazimisha watu watende dhambi ndogo ndogo waende moton
 
Anatumia ulemavu wake kama silaha, watu wakianza kumpa makavu live dunia haitapenda wala mimi sitapenda, analazimisha watu watende dhambi ndogo ndogo waende moton

Shida Manara anataka mwenzie aonekane mbaya maana kama ni habari hiyo ili repotiwa na vyombo vingi vya habari si Kitenge pekee! Manara anamchukia sana Kitenge ukiacha swala hili la Morisson
 
WanaSimba wote popote mlipo, mtandao wowote wa Kijamii unaotumia mfikishie Ujumbe kwamba aache Kiherehere, aachane na Stori za Simba na kama Yanga inamuuma sana aende akachukue Nafasi ya Bumbuli. Huyu Kenge siyo wa kufumbiwa macho, tunapaswa kumdhibiti kwa namna yoyote kwa nguvu zote na gharama zozote, Yupo kwenye payroll ya GSM halafu anabana pua oooooh blah blaah.
Comred Manara pambana tupo sambamba mpaka kieleweke na huyu pi-mbi tutamuandama mpaka ajione kunguni tu
 

Weka na Screenshot ya Kitenge aliyomsema Manara mambo yake Binafsi ili ubalance mezani.

Manara alimkosoa Kitenge kuhusu kusingizia Uongo Simba, Kitenge ndiyo akamuattack Manara kwa mambo binafsi, Manara nayeye kaamua kumjibu Kitenge kwa mambo binafsi, lakini umeamua kuiacha post ya Kitenge iliyoanza kumuattack Manara kwa maisha yake binafsi na kuyachukua Majibu ya Manara kwa Kitenge ndiyo umeyaleta hapa si ndiyo?
 
samahan mkuu hilo mwamba ndio jina lake au unampa sifa tu mwambie.kitenge aandike habar zenye uhakika.co ajiandikie tu kwa hiyo kila cku wachezaji wa simba wanapigana na kugombana na makocha alinza kagere kisha boko leo.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



maulidkitenge-___CMFvedPpBHO___-.jpg
 
Hii tabia ya kushambulia waandishi wa habari ni hovyo sana. Haitakiwi kushabikiwa na yoyote anayeamini vyombo vya habari ni muhimili wa nne kwenye nchi na muhimili wa muhimu zaidi kuleta uwajibikaji kwa taasisi nyingine.
 
Kwanini msimujibu kitenge kwa hoja badala ya personal attack dhidi yake suala la Morrison na nyie kudraw Sudan mbona havifungamani.lakini Morison kuondoka simba kaandika na blogger mmoja mnazi wa simba baada ya manara kuzingua kafuta kwenye blog yake y,tupunguze mihemko panapokuja maswala ya fact.
Akili zao kama msemaji wao.
 
Back
Top Bottom