TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Pole ndugu! Maana hicho kijiba kilichokukaba chaweza kukufanya usipumue vizuri, jifukize ndugu. Usiku mwema.Ni la kuwa Juha ( Hayawani ) kama Wewe Ndugu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole ndugu! Maana hicho kijiba kilichokukaba chaweza kukufanya usipumue vizuri, jifukize ndugu. Usiku mwema.Ni la kuwa Juha ( Hayawani ) kama Wewe Ndugu.
Mzee mwenye hii page ni mtanzania usichanganyikiwe na kingereza ana page nyingine inaitwa Sportbc👏
Haji Manara ni jamii ya mandondo!Sikuhizi hakuna tofauti ya Hamisa mobeto na Hajis manara. Sijui tunaenda wapi wanaume wanaandikana kwenye mitandao ya kijamii.
Kauli yako hii ndio manara anaipenda na kuiishi. Kama wewe mlemavu fanya mambo yako kwa weledi sio unazingua watu wakikwambia unatafuta huruma tena.Hii kauli imekaa kibaguzi.Assume wewe ni "mlemavu" kauli hii mtu anaitumia kwako au kwa mama yako una feel aje?
Sioni kosa la Kitenge , yeye alitoa habari kama mwanahabari huyo mbumbumbu akaanza personal attackHili litakuwa sahihi haiwezekani wanaume walete mipasho kwenye mitandao.
Tujadili hili ... "Je anasingiziwa..?"[emoji848][emoji848][emoji848]"Umesahau lile hirizi lako ulidondosha pale radio one likakuondosha kazini"
Ebu tajadili hiki kipande kwanza hayo mengine tuache wafu wazike wafu wao
Dada Tuliza kishundu hicho uzae salamaThere you are Tosser
TISS wa jamiiforum[emoji28]Kuna Watu wanamjua kindakindaki kuhusu Maisha yake, Uhalisia wake na Upuuzi pamoja na Upumbavu anaofanya huko anakosafiri nje hivyo Watu hao nao wakiamua Kufunguka tafadhali asije Kuwalaumu.
Na tunajua yakianikwa ayafanyayo huko huenda hata nchi husika zisimpokee tena au Mamlaka za Tanzania zikamuita kwa Mahojiano nae zaidi. Asilazimishe Watu hao wanaomjua ( siyo All - Rounder Mimi ) wakafika huko.
Kwani b ni samvu la chore?Kwahiyo b kakubali ndoa ifanyike?
Hao wote wanaliwa, tatizo ni kuwa kuna m1 hapo kaiba bwana wa mwenzie, hili bifu ni la mda mrefu, sema hawakupata nafasi ya kuonesha bifu lao.Hao wote machoko tu mmoja alifanywa na mzee Tozi mmoja anafanywa sjui hadi leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku hizi Wanaume nao wanachambana?!
Heheheheh pambeeeh tyuuuh. Mambo ya uke wenza yana wenyewe haya lol.
Imeisha hiyooooohMi nimevutiwa na huyo Boss wa USA, maana maulid nae katisha, alivyokua EFM nikasema labda safar za kikaz , alivyohamia wasafi ndo safar zikazid kuchanja mbuga, nikasema hapa kuna namna, hizi safar sio za bure