OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
amekimbia zaidi ya mara 3Mpaka nimefikiria haji akienda wasafi huyo kanga moko atamhoji au atakimbia awaachie wengine!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amekimbia zaidi ya mara 3Mpaka nimefikiria haji akienda wasafi huyo kanga moko atamhoji au atakimbia awaachie wengine!
Anatufunwa?Tembelea sana Kijiwe chake pale Kona ya Slipway Masaki jirani na Duka la Bakhressa na ukimaliza hapo nenda pale ulipo Uwanja wa Uhuru ilipo Baa ya kwa Chichi ambapo hapo ndipo Jirani na Kwao na alikozaliwa pia kisha utayapata mengi zaidi juu yake ambayo nina uhakika yanaweza Kukufanya ama Umchukie kimoja au hata Ukamdharau daima milele Amina.
Ila kama huna uhakika kuwa ni shoga usimuite hivyo mwanaume mwenzio. Mungu hapendi.Ningekuwa Diamond nasitisha mkataba na huyu shoga Kitenge. Anaharibu image ya media
Thibitisha kuwa Kitenge ni afisa kipenyo.Kitenge uwa haropoki ropoki bila taarifa sahihi..Kumbuka jamaa ni afisa kipenyo...Tatizo la Msemaji wa Simba uwa unaongea bila kuwasili
Tatizo la Msemaji wa Simba uwa anaonge bila kuwasiliana na Ubongo wake mbona atayameza maneno yake mda si mrefu.....Kitenge uwa Haropoki ropoki bila taarifa sahihi...
Kumbe ni shoga Duh.Ningekuwa Diamond nasitisha mkataba na huyu shoga Kitenge. Anaharibu image ya media
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kwan hatuwez kumfiraaa na kidot chake c km joket
Tatizo la Manara ni mdomo mkubwa wakati kichwani hana kitu.
Taarifa kuhusu morrisson ni kweli kabisaNi taarifa ambayo bado ya moto moto kabisa ya kama dakika 15 tu zilizopita
Tumekuvumilia mara nyingi sana lakini kwa sasa uvumilivu umetushinda,
Kwanini kila siku ni ww tu kuiongopea Simba mambo ya uongo?
Unaitumia mara kadhaa @wasafifm kuelezea migogoro hewa kuhusu Simba na kutaka kuichafua klabu yetu Kwa maslahi yako binafsi!!
Umekuwa ukifanya hvyo hata ktk Wall zako.
Utadhani Wasafi ni redio yako binafsi.
Simba haitaki iandikwe na kutangazwa kwa mazuri tu, Waandishi na watangazaji wana haki ya kutukosoa Kwa mabaya pia kama tumeyafanya,,,,lakini haitavumilia tena story za uongo na kutunga ambazo hazina source, na zimejaa uzushi.
Ndugu yangu diamondplatnumz ongea nae huyu mtu,,tulio nje tunaona hana nia njema na ustawi wa uwekezaji ulioufanya, nadhan nia yake ni kuona Wasafi fm inakuwa na ugomvi na Wanasimba, na mimi sitakubali kazi niliyopewa na klabu hii ichafuliwe na mtu huyo huyo kila siku,,vinginevyo labda anataka Wanasimba waisuse kusikiliza hii redio, kitu ambacho mimi ntakuwa mtu wa mwisho kukisema, ukizingatia mahusiano yangu binafsi na wewe.
But akiendelea kututangaza uongo na kuandika uongo juu yetu na wachezaji wetu,zipo hatua‘Makhsuus’tutazichukua!!
Simba ni klabu kubwa mno haiwezi kumuogopa mtu mmoja Kwa chuki zake binafsi kutuchafua kila siku,,
Nipo hapa kuisemea klabu hii na kuitetea Kwa nguvu zangu zote hadi pale ukomo wangu utakapotimia ,,
Na ktk kipindi changu mm kama head wa idara ya habari na mawasiliano kwenye klabu hii, sitakubali story za upumbavu na za uongo dhidi yetu Kwa sababu yoyote ile. Narudia tena hili likijirudia la uongo uongo iwe Kwa wachezaji, makocha au viongozi na hata timu Kuna hatua’ MAKHSUUS’ tutazichukua!
Nani miongoni mwetu atakaekubali taasisi anayoingoza ichafuliwe?
Wanasimba hii ngoma kwanza niachieni mm ,,labda huyu mtu hajajua how Simba is BIG
Kaona tunapata matokeo kila mahali na kaona Simba imetulia anaanzisha uongo wake,,Safari hii nnae na akibisha aendelee.
Hata hivyo na Mimi All - Rounder nakulaumu mno Msemaji wangu wa Simba SC Haji Manara na Uongozi mzima wa Klabu yetu kwa Kumvumilia mno huyu Mpuuzi na Mshamba ambaye najua kuwa anatumika na Mmoja wa Wadhamini wa hiyo Klabu yake iliyolaaniwa katika Kuichafua Simba SC Kupitia hiyo Redio ambayo Yeye ndiye Mkuu wa Idara ya Michezo kisha kuwekwa katika payroll yao.
Uongozi wa Wasafi FM hasa kupitia CEO wake mwenyewe Nasib Abdul ( alias ) Diamond Platinumz msipokuwa makini na huyu Mtangazaji wenu Maulid Kitenge mnaweza kujikuta mnapoteza Audience Kubwa sana na hata Wadhamini kwani nina uhakika kuna Corporate Companies zingine Mabosi wao ni wana Simba SC hivyo wanaweza kuamua Kususa Kutangaza na Wasafi FM yenu ( yako )
Kwa wale mnaotaka kujua nini kimetokea ni kwamba leo hii katika Ukurasa wake wa Instagram Mtangazaji Maulid Kitenge tena baada ya kusikia Simba SC imetoka Suluhu dhidi ya El - Merreikh ya Sudan ( japo Yeye tunajua alitamani kweli kweli Simba SC ifungwe ) ameandika Kiuzushi kabisa kuwa Mchezaji Mghana wa Simba SC Bernard Morisson ana Ugomvi na Kocha Gomez na kwamba ataihama Simba SC.
Maulid Kitenge unachokitafuta Simba SC na hasa kwa wana Simba SC wote ( Mimi All - Rounder ) nikiwemo utakipata kwani Umeonywa vya Kutosha naona husikii na bado unawashwawashwa tu na Simba SC. Nadhani umeshasahau ulivyoitia matatizoni Radio One ulipokuwepo kule kwa Upuuzi huu huu wa Uzushi na Kuchochea Vurugu Simba SC hadi Ukaonywa na Marehemu Mzee Mengi kisha Mzee Profesa Sarungi ( mwana Simba SC ) akaingilia kuipatanisha Simba SC na Radio One kupitia IPP Media.
🤣 nyieeHimself.
Kaambie, kanajigamba kanasiri kubwa, wakati hizo nchi zinajua kila kitu cha afrika.Yaani hizo nchi anazotembea(USA, South...) Wasubiri nyinyi muwape taarifa kuhusu Kitenge? Utakuwa unaota ndoto wewe, wao hawana haja hata wewe kuwaambia wanakujua mpaka uvunguni kwako na kama ni threat kwao hata pale ubalozini kwao hutakanyaga... Muulize Bashite atakusimulia
Kwa lipi tena atapigwa nondo balaaManara akija Wasafi yeye anakula kona
Ni wa kupuuzwa tu huyo na hata huyo Morrison aki part away ataleta madhara gani?Ni taarifa ambayo bado ya moto moto kabisa ya kama dakika 15 tu zilizopita
Tumekuvumilia mara nyingi sana lakini kwa sasa uvumilivu umetushinda,
Kwanini kila siku ni ww tu kuiongopea Simba mambo ya uongo?
Unaitumia mara kadhaa @wasafifm kuelezea migogoro hewa kuhusu Simba na kutaka kuichafua klabu yetu Kwa maslahi yako binafsi!!
Umekuwa ukifanya hvyo hata ktk Wall zako.
Utadhani Wasafi ni redio yako binafsi.
Simba haitaki iandikwe na kutangazwa kwa mazuri tu, Waandishi na watangazaji wana haki ya kutukosoa Kwa mabaya pia kama tumeyafanya,,,,lakini haitavumilia tena story za uongo na kutunga ambazo hazina source, na zimejaa uzushi.
Ndugu yangu diamondplatnumz ongea nae huyu mtu,,tulio nje tunaona hana nia njema na ustawi wa uwekezaji ulioufanya, nadhan nia yake ni kuona Wasafi fm inakuwa na ugomvi na Wanasimba, na mimi sitakubali kazi niliyopewa na klabu hii ichafuliwe na mtu huyo huyo kila siku,,vinginevyo labda anataka Wanasimba waisuse kusikiliza hii redio, kitu ambacho mimi ntakuwa mtu wa mwisho kukisema, ukizingatia mahusiano yangu binafsi na wewe.
But akiendelea kututangaza uongo na kuandika uongo juu yetu na wachezaji wetu,zipo hatua‘Makhsuus’tutazichukua!!
Simba ni klabu kubwa mno haiwezi kumuogopa mtu mmoja Kwa chuki zake binafsi kutuchafua kila siku,,
Nipo hapa kuisemea klabu hii na kuitetea Kwa nguvu zangu zote hadi pale ukomo wangu utakapotimia ,,
Na ktk kipindi changu mm kama head wa idara ya habari na mawasiliano kwenye klabu hii, sitakubali story za upumbavu na za uongo dhidi yetu Kwa sababu yoyote ile. Narudia tena hili likijirudia la uongo uongo iwe Kwa wachezaji, makocha au viongozi na hata timu Kuna hatua’ MAKHSUUS’ tutazichukua!
Nani miongoni mwetu atakaekubali taasisi anayoingoza ichafuliwe?
Wanasimba hii ngoma kwanza niachieni mm ,,labda huyu mtu hajajua how Simba is BIG
Kaona tunapata matokeo kila mahali na kaona Simba imetulia anaanzisha uongo wake,,Safari hii nnae na akibisha aendelee.
Hata hivyo na Mimi All - Rounder nakulaumu mno Msemaji wangu wa Simba SC Haji Manara na Uongozi mzima wa Klabu yetu kwa Kumvumilia mno huyu Mpuuzi na Mshamba ambaye najua kuwa anatumika na Mmoja wa Wadhamini wa hiyo Klabu yake iliyolaaniwa katika Kuichafua Simba SC Kupitia hiyo Redio ambayo Yeye ndiye Mkuu wa Idara ya Michezo kisha kuwekwa katika payroll yao.
Uongozi wa Wasafi FM hasa kupitia CEO wake mwenyewe Nasib Abdul ( alias ) Diamond Platinumz msipokuwa makini na huyu Mtangazaji wenu Maulid Kitenge mnaweza kujikuta mnapoteza Audience Kubwa sana na hata Wadhamini kwani nina uhakika kuna Corporate Companies zingine Mabosi wao ni wana Simba SC hivyo wanaweza kuamua Kususa Kutangaza na Wasafi FM yenu ( yako )
Kwa wale mnaotaka kujua nini kimetokea ni kwamba leo hii katika Ukurasa wake wa Instagram Mtangazaji Maulid Kitenge tena baada ya kusikia Simba SC imetoka Suluhu dhidi ya El - Merreikh ya Sudan ( japo Yeye tunajua alitamani kweli kweli Simba SC ifungwe ) ameandika Kiuzushi kabisa kuwa Mchezaji Mghana wa Simba SC Bernard Morisson ana Ugomvi na Kocha Gomez na kwamba ataihama Simba SC.
Maulid Kitenge unachokitafuta Simba SC na hasa kwa wana Simba SC wote ( Mimi All - Rounder ) nikiwemo utakipata kwani Umeonywa vya Kutosha naona husikii na bado unawashwawashwa tu na Simba SC. Nadhani umeshasahau ulivyoitia matatizoni Radio One ulipokuwepo kule kwa Upuuzi huu huu wa Uzushi na Kuchochea Vurugu Simba SC hadi Ukaonywa na Marehemu Mzee Mengi kisha Mzee Profesa Sarungi ( mwana Simba SC ) akaingilia kuipatanisha Simba SC na Radio One kupitia IPP Media.
Watu hawa wa lebo ya sigara ya nyota wanaabudu sana uchawi na ushirikina