Msemo gani unatumia kujifariji baada ya kumaliza pesa kwa matumizi ya kijinga au starehe?

🤣🤣🤣
Yan ukaenda kujipongeza kwa mara ya pili....😭😂😂😂
 
huo msoto unaokuja baada ya hiyo kauli sasa...
 
Wanasema ""
"To every successful hangover, there is a promise of not to drink again".
Hiyo wiki sikugusa hata chupa Moja ya beer..
 
Ponda mali kufa kwaja

one day yes

Nikipata pesa wakati mwingine nitakuwa makini

Mara moja kwa mwezi sio mbaya
 
Kuna siku sijui shetani alinikumba vip....Aiseee nilienda nikawasomba boda boda jirani na ofisini kwangu kwenda kuwapigisha bata kufumba na kufumbua nimeshatumia kama 420k ndio akili yangu inarudi....wakati nasikilizia maumivu, akaja dogo mmoja akaniambia bro, Kuna supu Moja kule haijalipwa🤣🤣🤣🤣 Nilichomjibu hatosahau....Vip ukishiba hiyo supu tuondoke nikakutomb* 🤣🤣🤣 maana unaonekana unapenda sana vya Bure, maskini dogo wa watu hakunijibu akajiondokea mpk Leo najiulizaga Nini kilinikumba sipati jibu mpaka Leo🤔😮‍💨🥺
 
HASARA ROHO PESA MAKARATASI nikisemaga hivyo hata 5Million inaweza kukatika kimasihara
 
"Liwalo na liwe"
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…