Nafikiri Zaidi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 516
- 684
"Raha ya Starehe Asubuhi Lazima Ujute" Afu jioni upo kiti kirefu tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya kula vyombo!"Raha ya Starehe Asubuhi Lazima Ujute" Afu jioni upo kiti kirefu tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Starehe ipi uliifanya kutamka hako kamsemo?"Raha ya Starehe Asubuhi Lazima Ujute" Afu jioni upo kiti kirefu tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vyombo bhana yani ile siku ambayo unasema naenda kunywa bia mbili amini hiyo ndio siku unarudi nyumbani sa kumiMambo ya kula vyombo!
Ni siku moja nlikua mjini Moshi kwa sababu ilikua ni holiday nikaona isiwe kesi ..nikajongea mapema pale hugoz ... sasa pale washkaji wengi na vitoto cya 2000 ni vingi nlitoka na 400K ...nlipiga vyombo kias kwamba asubh niko na approximately 40K sijui nilikua nagawa hela au vipi [emoji23][emoji23]Starehe ipi uliifanya kutamka hako kamsemo?
bora uzima pesa kitu gani bhana haya maua tu"SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA"
Leo nimekumbuka mwaka 2020 kipindi cha Pasaka, Jijini Arusha, hapo dili la ku-design michoro ya Majengo kadhaa ya Taasisi ya Kanisa limetiki na nka kabidhiwa pesa ya Advance Millioni +.
Sikukuu ya Pasaka ilipofika mwenyeji wangu akasema twende kusherekea kwenye Bar flani, yeye atasimamia show (ipo pembezoni mwa Barabara ya Moshono-Impala).
Tulivyofika eneo la tukio,Mimi,yeye na wadogo zake wawili tukaanza piga gambe.
Ghafla tukasikia tumeitwa ,kugeuka ni mshikaji wa mtaa mmoja.
Sasa hapo mjamaa wangu gambe zipo kichwani, akainuka na kwenda kucheza, alivyorudi, kaambatana na wadada wa4 (nao ni wa mtaani ) wakajumuika.
Mjamaa akantonya hela imekata, nimuokoe maana kuna mdada mmoja wapo anamuelewa.
Kwakuwa nami nipo Gambe nkasema "mwana usihofu ".
Hapo jumla tupo 9, wote wakaagiza supu nzito, wengine kiepe kuku.
Kila mtu akapata chupa zake tano za gambe, round zikarudiwa na kurudiwa, wengine Whisky...
Kuja kufika saa 9 usiku muda wa kusepa nikalipia Bili. Lipia usafiri wa kila mtu, nkampa mjamaa na hela ya kuhonga, nyingine sijui nilitupa.
Asubuhi ilivyofika, kuja kucheki nimetumia zaidi ya 400K. Hapo nikajifariji kwa kusema "SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA"
Je,msemo wako huwa upi?
Tupia na tukio hata moja.
Dunia ni mapito"SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA"
Leo nimekumbuka mwaka 2020 kipindi cha Pasaka, Jijini Arusha, hapo dili la ku-design michoro ya Majengo kadhaa ya Taasisi ya Kanisa limetiki na nka kabidhiwa pesa ya Advance Millioni +.
Sikukuu ya Pasaka ilipofika mwenyeji wangu akasema twende kusherekea kwenye Bar flani, yeye atasimamia show (ipo pembezoni mwa Barabara ya Moshono-Impala).
Tulivyofika eneo la tukio,Mimi,yeye na wadogo zake wawili tukaanza piga gambe.
Ghafla tukasikia tumeitwa ,kugeuka ni mshikaji wa mtaa mmoja.
Sasa hapo mjamaa wangu gambe zipo kichwani, akainuka na kwenda kucheza, alivyorudi, kaambatana na wadada wa4 (nao ni wa mtaani ) wakajumuika.
Mjamaa akantonya hela imekata, nimuokoe maana kuna mdada mmoja wapo anamuelewa.
Kwakuwa nami nipo Gambe nkasema "mwana usihofu ".
Hapo jumla tupo 9, wote wakaagiza supu nzito, wengine kiepe kuku.
Kila mtu akapata chupa zake tano za gambe, round zikarudiwa na kurudiwa, wengine Whisky...
Kuja kufika saa 9 usiku muda wa kusepa nikalipia Bili. Lipia usafiri wa kila mtu, nkampa mjamaa na hela ya kuhonga, nyingine sijui nilitupa.
Asubuhi ilivyofika, kuja kucheki nimetumia zaidi ya 400K. Hapo nikajifariji kwa kusema "SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA"
Je,msemo wako huwa upi?
Tupia na tukio hata moja.
Tupo story,ilikuwaje...?Ponda mali kufa kwaja
Alafu sijui ni kwanini ipo hivyoVyombo bhana yani ile siku ambayo unasema naenda kunywa bia mbili amini hiyo ndio siku unarudi nyumbani sa kumi
Huku kamoyo kanadundadundabora uzima pesa kitu gani bhana haya maua tu
Lazima upagaweNi siku moja nlikua mjini Moshi kwa sababu ilikua ni holiday nikaona isiwe kesi ..nikajongea mapema pale hugoz ... sasa pale washkaji wengi na vitoto cya 2000 ni vingi nlitoka na 400K ...nlipiga vyombo kias kwamba asubh niko na approximately 40K sijui nilikua nagawa hela au vipi [emoji23][emoji23]
Kuna mjamaa wangu akisema bia mbili tu,basi atakunywa mpaka atapanda juu ya meza na shati atavua na kutupa.Alafu sijui ni kwanini ipo hivyo
Tupe hata mkasa mmoja jombaaHyo ya siku MojaMoja siyo Mbaya imenikuta sanaaaaa
Kweli aisee! Pombe noma sanaVyombo bhana yani ile siku ambayo unasema naenda kunywa bia mbili amini hiyo ndio siku unarudi nyumbani sa kumi
😆😆😆😆🙌Ni siku moja nlikua mjini Moshi kwa sababu ilikua ni holiday nikaona isiwe kesi ..nikajongea mapema pale hugoz ... sasa pale washkaji wengi na vitoto cya 2000 ni vingi nlitoka na 400K ...nlipiga vyombo kias kwamba asubh niko na approximately 40K sijui nilikua nagawa hela au vipi [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiiiHapo kwa coca sasa
Kujibana siwezi na nimeshindwa kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani hapo ndo nakupendea kujibana bana ili iweje.