Msemo gani unatumia kujifariji baada ya kumaliza pesa kwa matumizi ya kijinga au starehe?

Msemo gani unatumia kujifariji baada ya kumaliza pesa kwa matumizi ya kijinga au starehe?

"SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA"

Leo nimekumbuka mwaka 2020 kipindi cha Pasaka,Jijini Arusha,hapo dili la ku-design michoro ya Majengo kadhaa ya Taasisi ya Kanisa limetiki na nka kabidhiwa pesa ya Advance Millioni +.

Sikukuu ya Pasaka ilipofika mwenyeji wangu akasema twende kusherekea kwenye Bar flani,yeye atasimamia show (ipo pembezoni mwa Barabara ya Moshono-Impala).

Tulivyofika eneo la tukio, tukaanza shushia maji ya dhahabu mimi, mwenzangu na wadogo zake wawili.

Ghafla tukasikia tumeitwa ,kugeuka ni mshikaji wa mtaa mmoja (mtaa wa Baraa).

Sasa hapo mjamaa wangu gambe zipo kichwani,akainuka na kwenda kucheza,alivyorudi ,kaambatana na wadada wa4 (nao ni wa mtaani ) wakajumuika.

Mjamaa akantonya hela imekata,nimuokoe mana kuna mdada mmoja wapo anamuelewa.
Kwakuwa nami nipo Gambe nkasema "mwana usihofu ".

Hapo jumla tupo 9,wote wakaagiza supu nzito,wengine kiepe kuku.
Kila mtu akapata chupa zake tano za gambe ,round zikarudiwa na kurudiwa, wengine wanataka Whisky...

Kuja kufika saa 9 usiku mda wa kusepa
nkalipia Bili.Lipia usafiri wa kila mtu,Nkapitia mjamaa na hela ya kuhonga,Nyingine sijui nilitupa.

Asubuhi ilivyofika, kuja kucheki nimetumia zaidi ya 400K
Hapo nikajifariji kwa kusema "SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA"
Mwanaume hafi njaa anachelewa kula tu.....
 
"SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA"

Leo nimekumbuka mwaka 2020 kipindi cha Pasaka,Jijini Arusha,hapo dili la ku-design michoro ya Majengo kadhaa ya Taasisi ya Kanisa limetiki na nka kabidhiwa pesa ya Advance Millioni +.

Sikukuu ya Pasaka ilipofika mwenyeji wangu akasema twende kusherekea kwenye Bar flani,yeye atasimamia show (ipo pembezoni mwa Barabara ya Moshono-Impala).

Tulivyofika eneo la tukio, tukaanza shushia maji ya dhahabu mimi, mwenzangu na wadogo zake wawili.

Ghafla tukasikia tumeitwa ,kugeuka ni mshikaji wa mtaa mmoja (mtaa wa Baraa).

Sasa hapo mjamaa wangu gambe zipo kichwani,akainuka na kwenda kucheza,alivyorudi ,kaambatana na wadada wa4 (nao ni wa mtaani ) wakajumuika.

Mjamaa akantonya hela imekata,nimuokoe mana kuna mdada mmoja wapo anamuelewa.
Kwakuwa nami nipo Gambe nkasema "mwana usihofu ".

Hapo jumla tupo 9,wote wakaagiza supu nzito,wengine kiepe kuku.
Kila mtu akapata chupa zake tano za gambe ,round zikarudiwa na kurudiwa, wengine wanataka Whisky...

Kuja kufika saa 9 usiku mda wa kusepa
nkalipia Bili.Lipia usafiri wa kila mtu,Nkapitia mjamaa na hela ya kuhonga,Nyingine sijui nilitupa.

Asubuhi ilivyofika, kuja kucheki nimetumia zaidi ya 400K
Hapo nikajifariji kwa kusema "SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA"
Kufungwa nimefungwa ila nimepiga chenga za kutosha sana.
 
The best way to stop smoking is to not start at all.

Pesa za starehe zinatakiwa kuwa katika bajeti yake, na kama huwezi kuimudu, unatakiwa kuwa na mazingira ya kumali,a starehe kibao nyumbani bika gharama kubwa.

Hata kununua nyama ukachoma nyumbani huku unasikiliza muziki ukala na familia ni starehe kubwa tu.

Ukishindwa hata kufanya mazoezi ya kukimbia au kutembea ni starehe.
 
2020 kwetu pazuri tabata enzi hizo dj micho yuko on fire. 500k down the drain, ( beer na nyama choma ivi tu ilikua , mwanangu musti nae alikua kwenye supply alichanika kama 300k . Asbuhi yake skujiskia vibaya wala sababu wale ni wanangu way back since kindergattern. Ilikua boys to men ( party (no ladies) wawindaji haramu walikua full kupiga macho meza yetu lakini sisi hatukuwa na shobo nao hata)
 
2007 huko.
Na wanangu tumekula gambe then ile kuamka asubuhi hata hela ya kunywa supu hatuna.

Ila usiku tulikua na kauli yetu " nani kaiona kesho" kuna wimbo unahiko kibwagizo ila sisi mpaka leo ndio kauli yetu ya kujitia moyo tukiwa tumeshatumia hela vibaya.
 
The best way to stop smoking is to not start at all.

Pesa za starehe zinatakiwa kuwa katika bajeti yake, na kama huwezi kuimudu, unatakiwa kuwa na mazingira ya kumali,a starehe kibao nyumbani bika gharama kubwa.

Hata kununua nyama ukachoma nyumbani huku unasikiliza muziki ukala na familia ni starehe kubwa tu.

Ukishindwa hata kufanya mazoezi ya kukimbia au kutembea ni starehe.
Mkuu
Kuna moments za ujanani lazima uzipitie,,,hauwezi kuwa salama kwenye kila kitu.
 
"SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA"

Leo nimekumbuka mwaka 2020 kipindi cha Pasaka,Jijini Arusha,hapo dili la ku-design michoro ya Majengo kadhaa ya Taasisi ya Kanisa limetiki na nka kabidhiwa pesa ya Advance Millioni +.

Sikukuu ya Pasaka ilipofika mwenyeji wangu akasema twende kusherekea kwenye Bar flani,yeye atasimamia show (ipo pembezoni mwa Barabara ya Moshono-Impala).

Tulivyofika eneo la tukio, tukaanza shushia maji ya dhahabu mimi, mwenzangu na wadogo zake wawili.

Ghafla tukasikia tumeitwa ,kugeuka ni mshikaji wa mtaa mmoja (mtaa wa Baraa).

Sasa hapo mjamaa wangu gambe zipo kichwani,akainuka na kwenda kucheza,alivyorudi ,kaambatana na wadada wa4 (nao ni wa mtaani ) wakajumuika.

Mjamaa akantonya hela imekata,nimuokoe mana kuna mdada mmoja wapo anamuelewa.
Kwakuwa nami nipo Gambe nkasema "mwana usihofu ".

Hapo jumla tupo 9,wote wakaagiza supu nzito,wengine kiepe kuku.
Kila mtu akapata chupa zake tano za gambe ,round zikarudiwa na kurudiwa, wengine wanataka Whisky...

Kuja kufika saa 9 usiku mda wa kusepa
nkalipia Bili.Lipia usafiri wa kila mtu,Nkapitia mjamaa na hela ya kuhonga,Nyingine sijui nilitupa.

Asubuhi ilivyofika, kuja kucheki nimetumia zaidi ya 400K
Hapo nikajifariji kwa kusema "SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA"
Mbona pesa ya kawaida sana hiyo.
 
Mkuu
Kuna moments za ujanani lazima uzipitie,,,hauwezi kuwa salama kwenye kila kitu.
Kupitia muhimu, nilishapitia sasa hivi naangalia mchezo kama kocha.

Kuna siku niliingia Webster Hall hapo New York City, peke yangu, nikamaliza some $400 in a few hours kwenye drinks alone, hata sijui nilikunywa nini. Na hii ni kama miaka 20 iliyopita $400 ilikuwa na shepu. And that's not even the worst. Nikasema hapa nisipojipanga vizuri nitakuwa mpangaji kwa watu siku zote. Nikaweka mkakati wa kuhamia kwangu na kukamilisha.

Ndiyo maana unaona sasa nakuja na stories za kishua kuchoma nyama na familia nyumbani huku unasikiliza muziki, kufanya mazoezi, etc.
 
Screenshot_20240428-220939.png
 
Kupitia muhimu, nilishapitia sasa hivi naangalia mchezo kama kocha.

Kuna siku niliingia Webster Hall hapo New York City, peke yangu, nikamaliza some $400 in a few hours kwenye drinks alone, hata sijui nilikunywa nini. Na hii ni kama miaka 20 iliyopita $400 ilikuwa na shepu. And that's not even the worst. Nikasema hapa nisipojipanga vizuri nitakuwa mpangaji kwa watu siku zote. Nikaweka mkakati wa kuhamia kwangu na kukamilisha.

Ndiyo maana unaona sasa nakuja na stories za kishua kuchoma nyama na familia nyumbani huku unasikiliza muziki, kufanya mazoezi, etc.
Yah,huwa inasaidia kutufunza...
 
Back
Top Bottom