Mshahara pamoja na makato kwa Mwalimu mwenye Degree

Watu kama nyie unakuta mna shida hadi mindukuni!ila mnavyojishaua sasa.hivi mwl wa daraja F au H unakunja bei gani unazani.tatizo mnataka utajiri wa haraka haraka kwa virushwa vya kipumbavu na vinaishia baa halafu mnajiona wajanjaa!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mwamba vipi tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…