Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hali mbaya kabla ya tarehe ya mshahara inakuwa imetengenezwa na mpokea mshahara na wala sio mtoa mshahara.Kiukweli tarehe Kama hizi maisha huwa magumu Sana unakuta hela tu ya mboga
Naomba Serikali ituwahishie mishahara angalau jahazi lisizame
Toa mbinu unazotumia kuishi bila mshahara huku ukiwa mwajiriwa. Usisahau kuweka wizi wa namna yoyote ile ikiwemo kutumia muda wa ofisi kufanya shughuli zako binafsi.Bila mshahara huwez kuishi wewe
polisi wameshapata mshahara,shauri yako.Bila shaka ww ni polisi
Itakua wanatafuta mauti labda....🤓😜mshahara wa dhambi.
🤣🤣🤣🤣🤣motivesheno sipikaz haoWalioajiriwa wanasema vijana tujiajiri
Mkuu hata Mimi natembelea Choki.Kiukweli tarehe Kama hizi maisha huwa magumu Sana unakuta hela tu ya mboga
Naomba Serikali ituwahishie mishahara angalau jahazi lisizame
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]motivesheno sipikaz hao