ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,676
- 3,451
mwaka Wa fedha unakaribia kufungwa kwaiyo mshahara utapata tarehe 45
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hata Mimi natembelea Choki.
hao ngumu kufulia, wanapokea mara mbili kwa mwez bado rushwa za hapa na paleBila shaka ww ni polisi
Hakuna polisi mwenye njaa ya hivi wale jamaa wanapata kamzigo katikati ya mwezi.Bila shaka ww ni polisi
Mapolisi wana hela wewe...akikubambikia bangi mfukoni hakosi buku tenBila shaka ww ni polisi
Hebu niambie wao wameng'ang'ania ajiraWalioajiriwa wanasema vijana tujiajiri
Tar 28 kivip yaanKuna mpumbavu mmoja anawatangazia watu huku kuwa mshahara mwezi huu ni tar 28 . Eti kwasababu ya kuruhusu marekebisho ya mshahara.
Nimemtukana.
UmemtukanajeKuna mpumbavu mmoja anawatangazia watu huku kuwa mshahara mwezi huu ni tar 28 . Eti kwasababu ya kuruhusu marekebisho ya mshahara.
Nimemtukana.
Akikubambikia ivyo jua anataka laki kadhaaMapolisi wana hela wewe...akikubambikia bangi mfukoni hakosi buku ten
Nimemwambia atoe matter core yake.Umemtukanaje
Sasa hapo umelalamika auMaisha ya kutegemea mshahara tena huu wa utumishi wa umma kwa kada kama za ualimu hayajawahi kuwa rahisi...madeni kuanzia ofsini hadi mtaani.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nimemwambia atoe matter core yake.Tar 28 kivip yaan
KabisaAkikubambikia ivyo jua anataka laki kadhaa
Ukiliwa je [emoji23]Chukua salary advance kama unaruhusiwa kupata 10,000 kwenda juu unatandika mkeka wako, sasa hivi Euro mechi nyingi ukipata odds nzuri unajikuta una 100,000 halafu kesho una tandika mwingine kwa hiyo laki moja mwisho wa siku unajikuta una milioni moja [emoji1787][emoji1732][emoji205]
Hizo hela Polisi wanazitoa wapi Mkuu hasa upande wa FFU!!Mapolisi wana hela wewe...akikubambikia bangi mfukoni hakosi buku ten
Mkuu hutakiwi kuwaza kuliwa, unajilipua tu kufumba na kufumbua milioni hiyo, kaitengeneza kupitia mtaji wa 10,000 hata Bakhresa alianza kama fundi viatu🤣Ukiliwa je [emoji23]
Sawa ghasia 😊😊😊😊😊Hizo hela Polisi wanazitoa wapi Mkuu hasa upande wa FFU!!
Labda upate lindo kulinda Bank lakini ukiona kwenye ubao umepangiwa kwenda kwa Mkuu wa Mkoa ha ha haa haa
Lakini FFU ni ngumu sana