Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo umeisha sasa.polisi wameshapata mshahara,shauri yako.
Gawa tiGoKiukweli tarehe Kama hizi maisha huwa magumu sana unakuta hela tu ya mboga.
Naomba Serikali ituwahishie mishahara angalau jahazi lisizame.
Anawaomba msamaha watumishi wa umma na Watanzania kwa uovu alioutenda lakini ashachelwa.Kwani MAGU anasemaje huko aliko MOTONI.
Wewe ni polisi? Endelea kuteseka[emoji1]Hizo hela Polisi wanazitoa wapi Mkuu hasa upande wa FFU!!
Labda upate lindo kulinda Bank lakini ukiona kwenye ubao umepangiwa kwenda kwa Mkuu wa Mkoa ha ha haa haa
Lakini FFU ni ngumu sana
Zawadi yako ya birthdayHizo hela Polisi wanazitoa wapi Mkuu hasa upande wa FFU!!
Labda upate lindo kulinda Bank lakini ukiona kwenye ubao umepangiwa kwenda kwa Mkuu wa Mkoa ha ha haa haa
Lakini FFU ni ngumu sana
Sisi wenye kitenge cha Samia tumetuliaaaaa!!!!Endelea kunywa mtori nyama zipo chini.
mghasia niaje[emoji1602]Hizo hela Polisi wanazitoa wapi Mkuu hasa upande wa FFU!!
Labda upate lindo kulinda Bank lakini ukiona kwenye ubao umepangiwa kwenda kwa Mkuu wa Mkoa ha ha haa haa
Lakini FFU ni ngumu sana
kujidhalilisha kivip bibie?We we ni mwalimu tu maana ndo watu wa kujidhalilisha dhalilisha!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Duh! Waalimu tunadharauliwa kinomaWe we ni mwalimu tu maana ndo watu wa kujidhalilisha dhalilisha!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Na ndo ukweli ulivyo huoo walimu wenyewe tunajidharaulisha kukaa kuulizia mshaharaDuh! Waalimu tunadharauliwa kinoma
Kwaiyo tukaibe?Na ndo ukweli ulivyo huoo walimu wenyewe tunajidharaulisha kukaa kuulizia mshahara
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
ameutokea jasho kwann asiulize!?Na ndo ukweli ulivyo huoo walimu wenyewe tunajidharaulisha kukaa kuulizia mshahara
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Wakiulizia wewe unapata madhara yapi?Na ndo ukweli ulivyo huoo walimu wenyewe tunajidharaulisha kukaa kuulizia mshahara
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app