Kumbe hata payroll zilichelewaWanalipa madeni na marekebisho ya mishahara ndio maana ata payroll zilichelewa
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hata payroll zilichelewaWanalipa madeni na marekebisho ya mishahara ndio maana ata payroll zilichelewa
Salama Mkuu, kwema?mghasia niaje[emoji1602]
Za tabora,?Salama Mkuu, kwema?
Payroll zilichelewa! Vipi zilikuwa na mabadiliko yoyote kuonyesha labda kuna kupanda madaraja mwezi huu?Wanalipa madeni na marekebisho ya mishahara ndio maana ata payroll zilichelewa
Ndio watu 70 elfuPayroll zilichelewa! Vipi zilikuwa na mabadiliko yoyote kuonyesha labda kuna kupanda madaraja mwezi huu?
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Mkuu mbona uko current na hizi taarifaTatizo lenu mkishapata tu hela na uzi mnautelekeza[emoji23][emoji23][emoji23]
Uliza uliposikia umetoka, kama kuna Changes[emoji23]Tatizo lenu mkishapata tu hela na uzi mnautelekeza[emoji23][emoji23][emoji23]
Daaahhh mkishapata tu hela mnakuwa vibuli kweli..mnaanza kureply kibabe wakati Mwanza mlikuwa mnatia huruma[emoji119]Mkuu mbona uko current na hizi taarifa
.
[emoji16]
Mwanza?Daaahhh mkishapata tu hela mnakuwa vibuli kweli..mnaanza kureply kibabe wakati Mwanza mlikuwa mnatia huruma[emoji119]
Pesa sabuni ya roho[emoji23][emoji23][emoji23]Daaahhh mkishapata tu hela mnakuwa vibuli kweli..mnaanza kureply kibabe wakati Mwanza mlikuwa mnatia huruma[emoji119]
[emoji16][emoji116]Daaahhh mkishapata tu hela mnakuwa vibuli kweli..mnaanza kureply kibabe wakati Mwanza mlikuwa mnatia huruma[emoji119]
Wewe bila shaka ni mtumishi wa benki ya Posta[emoji16][emoji116]View attachment 1828428
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe bila shaka ni mtumishi wa benki ya Posta
Kwahiyo mkuu umeona bora ufukue kaburi.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji116]View attachment 1828428