Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
What? Kausha damu who is kausha damuKausha damu mmezidi, mizinga Hadi Jf!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What? Kausha damu who is kausha damuKausha damu mmezidi, mizinga Hadi Jf!
KweliMpwayungu Village njoo uone mshahara wa mwalimu ulivyo mnono.
Soil rahisiHapo asiende kausha damuu
SerikaliniAlikuwa serikalini au Binafsi
Upo sahihiHakuna mshahara mkuu wa shule,mwalimu yeyote anaifikia ngazi hiyo,hilo nidaraja I kwa ngazi ya walimu
Hahahah kuna kaukweli hapaNyakati hizi za kikokotoo atakula 45M nyingine tunamtunzia
Wewe ndiye Voice of Tanzania sema tusikieMbona amsemi semeni tunasubiri jibu
Tangu ulijue neno hili tutateseka sanaKAZI ni kipimo cha utu
Sasa 45m ni help ndogo sana kwa miaka 32 ya kaziNyakati hizi za kikokotoo atakula 45M nyingine tunamtunzia
Bado ndogo kulinganisha na miaka ya kaziakipata 60m amshukuru Mungu.
wakati huo cemnt inaweza kufika lfu 40 kw mfuko
Ngoja nikuwekee formula hapaBado ndogo kulinganisha na miaka ya kazi
ndia manake atakuwa anabeb m1 kwa mwezi akstaafuSasa 45m ni help ndogo sana kwa miaka 32 ya kazi
mwaka 2013 mkurugenzi wangu alipostaafu alipata 150m taasisi ya serilaki. Sasa fikiria kada ya kati anapata ngapi. Ina maana huyo wa 150m kwa kikotoo cha sasa angepata 60m kama ni 40% nazani. Hli ni mbaya. Hawa ndugu zetu watachanganyikiwa wakienda pale PSSSFBado ndogo kulinganisha na miaka ya kazi
Mkuu, nashindwa kuweka picha.. itaka storage permission, sasa sijui namna ya ku grant hiyo permission accessNaomba kwa wenye utalamu wa kujua kwa mtumishi mwenye mshahara 2,116,000. Na kafanya kazi kwa miaka 32.
Kwa kikokotoo hiki kipya
1 atalipwa keshi tshs ngapi?
2 pesa ya kila mwezi atakuwa anachukua kiasi gani
Naomba kwa anaejua anisaidie