Mlandege
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,195
- 576
Tgts H hiyo!
Mshua wako anakaribia kuwa mstaafu?
Ndio anataka kujua ili kwenye mafao ajue anakunja ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tgts H hiyo!
Mshua wako anakaribia kuwa mstaafu?
Wameweka formula tuYaani hawa wa mifuko ya jamii walipaswa wawe na calculator kwenye websites zao kama walivyofanya TRA
Ndio waweke calculator mtu aingize nambaWameweka formula tu
Kilimo kinasababisha magonjwa ya moyo kumbe.Kumbe ndo maana mnaumwa magonjwa ya moyo
Hilo trekta used NI UGONJWA WA MOYO WA KUJITAKIA.unaweka kiinua mgongo chako kwenye treatable mwaka mmoja spana mkononi linakushinda unalipaki unaanza kuwaza hela zakoKilimo kinasababisha magonjwa ya moyo kumbe.
Sisi wanajeshi wa vyeo vya chini tunastaafu tukifikisha miaka 45.
Hivi miaka 45 ni ya mtu wa afya gani?
Mzee au Kijana?
Acha kuzarau kilimo na ufugaji.
We endelea kutegemea udalali
Yes I am supporting you!!Ndio waweke calculator mtu aingize namba
Labda kwenye Mashirika na Taasisi za serikali LAKINI kama ni kwenye Wizara za serikali HAKUNA hicho kitu. Halafu kwa taarifa yenu ngazi za mishahara za TGS ni ndogo kidogo kuliko TGST za Walimu kwenye ngazi husika.Mshahara huu ni mwl aliyekaa kazini miaka zaidi ya 20yrs!
Kuna kijana anaanza Kaz analipwa 2.8m serkalini.. poleni walimu
Ndiyo uone sasa uongo wa Mwalimu Mpwayungu na wapotoshaji wengine kuhusu mishahara ya walimu!duuh pesa nyingi hyo watu wanafaidi
Mbona hapa nchini asilimia 90 wananunua magari used na wanatumia kama kawaida katika shughuri zao.Hilo trekta used NI UGONJWA WA MOYO WA KUJITAKIA.unaweka kiinua mgongo chako kwenye treatable mwaka mmoja spana mkononi linakushinda unalipaki unaanza kuwaza hela zako
subiri povu jingiii kitoka kwa Mpwayungu Village
Yule kijana ukizisoma shombo zake humu jukwaani, unaweza kufikiri walimu wote ni choka mbaya! Kumbe ukija mtaani, mambo ni tofauti kabisa. 😁subiri povu jingiii kitoka kwa Mpwayungu Village
Kweli broUnder 60 million...
Mmmmh marupurupu ya laki 8 mwl Acha uongo unauza chaki??Mi mwenyewe wangu ni 1.87mil na bado nina marupurupu ya laki8 kila mwezi hayapungui hata nisipofanya kazi
Mi pia mwalimu na nina 15yrs kazini
Nguvu utakuwa nazo?Nikistaafu lazima kiinua mgongo changu ninunue trekta la kulima mashamba yangu tu.
Nataka nikapige kazi kijijini.
Sikodishi kwa mtu lisije likaharibika.
Napiga kazi miaka mitatu na kujihakikishia ushindi.
Massey Ferguson used.
Nastaafu miaka 45Nguvu utakuwa nazo?