Mshahara wa Daktari ni kiasi gani?

Unafanya KAZI TAMISEMI.

Unafanya KAZI WIZARA YA AFYA.

Mshahara ni ULE ULE.
 
Hujamuelewa Naona huyu dada mkuu. Naogopa kuharibu brain yangu. Ila kama hujamuelewa sijui. Ila your impact or value yako ndio inayo determine malipo yako ujue. Kutibu watu unaokoa maisha yao utakuwa ama watakuwa wamezalisha bilioni ngapi ama kufundisha watu wakafaulu hizo Ni bilions ngapi.
Yaani sijui nikuambiaje ili uelewe.
 
We nae huwa ni mweupe sana kichwani
 
Hawa ni wazembe waite mimi niwasaidie eneo lililowazi la kujiajiri. Watapiga hela mpaka wasahau. Tatizo mindset ya kuajiriwa ndio inaharibu vijana. Lakini kiukweli kujiajiri ndio kunakufanya utoke hata kama umeajiriwa.
Wewe TAPELI unayeshinda humu JF unatafutia watu TEUZI za mshahara wa 3M na kuandika Application letter????

Labda UTAPELI ndio kazi unayoweza kufanya.
 
Kazidiwa na mwalimu wa shule nyingi za International

Sent from my LND-L29 using JamiiForums mobile app
 
Mwenyewe Advance nikichaguliwa pcb nikakataa nikaingia zangu pcm
 
Mbona 20,000 hela ya kawaida sana, Dr mzuri mfano clinic Dr mashavu ama mzee wetu mgaya anachukua hadi 35,000 na kunakuwa na foleni ya kufa mtu, Kibongo bongo madokta wanahudumia watu wengi sana wanazidi 50.

Ndio maana Ma Dr wengi wanakuwa wanachepuka Hospitali Binafsi sababu kule dr anapata percentage fulani kwenye Hela anayoingizia Hospitali.
 
We nae huwa ni mweupe sana kichwani
Ego inakuendesha si Bora yeye Ni mweupe wewe utakuwa mweusi mkuu. So unadhani kuwa uwezo tulio nao Basi tumejiamulia kuwa tuwe hivi tulivyo ama unayo pride inakuendesha
 
Umeitoa wapi hii mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…