Unafanya KAZI TAMISEMI.Inategemea na mwajiri ni nanj .
Maana kuna wengine wanafanya chini ya Tamisemi.
Wengine wizara ya afya.
Wengine kwenye taasisi za kiserikali kila mmoja na mshahara wake japo kada ni moja.
Na unapoongelea Daktari.
Kuna MD
Kuna specialist.
Kuna Daktari bigwa .
Kuna Daktari mwandamizi.
Hii ni gross au net profit?Unataka kujua wanazalisha nini Well nikupe tu mfano mdogo BMC kwa mwezi wanaingiza karibia 3B!!
Bado unataka kujua kingine!?
Una uhakika au lengo ni ili uonekane nawe umepost tu?MD aliyemaliza miaka mitano plus mmoja wa internship hamzidi polisi div 4 au ziro aliyekwenda CCP miezi 9.
Kumbuka MD alipitia form 5/6 baada ya kupasua fomfoo.
Hujamuelewa Naona huyu dada mkuu. Naogopa kuharibu brain yangu. Ila kama hujamuelewa sijui. Ila your impact or value yako ndio inayo determine malipo yako ujue. Kutibu watu unaokoa maisha yao utakuwa ama watakuwa wamezalisha bilioni ngapi ama kufundisha watu wakafaulu hizo Ni bilions ngapi.Mkuu nilikuwa najua unaakili kumbe zero brain!?
Ushaona wapi kampuni inatanganza hasara kila mwaka ya mabilioni lakini
wafanya kazi wake wanaongoza kwa mishahara!?
Duka lako kila siku lina pata hasara lakini mfanyakazi wako anajiipa mamilioni!?
wewe uko kwenye kundi la bureaucratic capitalist kama madelu na sio
real capitalist
We nae huwa ni mweupe sana kichwaniSasa jamani unafanya kazi kwenye hospital inatibu wagonjwa 50 kwa siku, kila mgonjwa analipia elfu 20. Unataka kwa mwezi ulipwe Millioni 3 kweli?. Hizo hela za kukulipa hiyo pesa serikali inazitoa wapi.
Mwenzako anafanya kazi EWURA kama inspector, kila kwenye lita moja ya mafuta EWURA inachukua percent yake. Kila lita moja. Kwanini wasiwalipe wafanyakazi wao pesa ndefu?
Polisi anazipatia wapi hizo kwa hiyo week moja?Koplo wa jeshi akichanganya na posho zake anazidi hicho kiwango.
Polisi wa usalama barabarani anazipata hizo ndani ya wiki moja.
Wewe TAPELI unayeshinda humu JF unatafutia watu TEUZI za mshahara wa 3M na kuandika Application letter????Hawa ni wazembe waite mimi niwasaidie eneo lililowazi la kujiajiri. Watapiga hela mpaka wasahau. Tatizo mindset ya kuajiriwa ndio inaharibu vijana. Lakini kiukweli kujiajiri ndio kunakufanya utoke hata kama umeajiriwa.
Mkuu si mwalimu yupi juu amaUnaongea kama hazimo
Kazidiwa na mwalimu wa shule nyingi za InternationalKiyombo (TO 2006) nimesoma naye mwaka mmoja, alikua anapenda kufundisha tu alafu wala hakua kichwa kama unavyodhania ndani ya hiyo petroleum. TO wa mwaka 2013 yupo Pan African anapiga 13M kwa mwezi. Wengi wameajiriwa na wengine wamejiajiri ambao bado ni uzembe wao tu. Na wengine waliendelea na shule.
Mwenyewe Advance nikichaguliwa pcb nikakataa nikaingia zangu pcmNdio ni risky, imagine. Outbreak ya ebola, COVID wakwanza kuumwa nani? HIV, watu wanajichoma na kumwagikiwa na damu kila kukicha. Kupigwa na vichaa Etc etc, kazi ta kudeal na watu ni ngumu na bado lawama kila mtu ana expect hao watu wawadekeze au wafanye kama wito, something is not right. Kuna mentality sio sahihi. Nilikataa huo ujinga muda sana.
Mbona 20,000 hela ya kawaida sana, Dr mzuri mfano clinic Dr mashavu ama mzee wetu mgaya anachukua hadi 35,000 na kunakuwa na foleni ya kufa mtu, Kibongo bongo madokta wanahudumia watu wengi sana wanazidi 50.Kwamba watu 50 watoe elfu 20 kama consultation fee pekee take bado vipimo.
Yaani hiyo hospital daktari mmoja anaingiza million consultation pekee, maana wakiwa zaidi ya mmoja means tayari kipato kinagawanyika. Basi hapo patakua na mzunguko mkubwa sana, na either we ni specialist au Hosp kubwa ambapo both scenarios utakua unalipwa pakubwa sio sawa na ma MD wa local government.
Mimi sio daktari, naongea tu ukweli.Kwamba EWURA hawana/hawatumii ujuzi sio, daah.. Ila ma daktari mnajionaga spesho sana.
Ego inakuendesha si Bora yeye Ni mweupe wewe utakuwa mweusi mkuu. So unadhani kuwa uwezo tulio nao Basi tumejiamulia kuwa tuwe hivi tulivyo ama unayo pride inakuendeshaWe nae huwa ni mweupe sana kichwani
Unaonekana mgeni Sana Dar.Polisi anazipatia wapi hizo kwa hiyo week moja?
What is Dar?Huwa mnadanganyana..tunao huku mitaani na madaftari yao ya madeni kwa mangi.Unaonekana mgeni Sana Dar.
Karibu Dar.
Akili kuuubwaMwenyewe Advance nikichaguliwa pcb nikakataa nikaingia zangu pcm
Nchi gani hii tutimkie huko?17 mill
Umeitoa wapi hii mkuuDaktari anayeanza kazi basic ni TSH 1.3mil , take home 900+K...!!! Sema kuna viposho posho Kwa walio chini ya wizara ya Afya.... Maisha ni magumu Sana bado Kwa hawa watu, huwa wanakimbilia kwenye mikopo ya magar kuficha aibu...nazungumzia MD sio CO au tabibu
Aiseeekilimo kinalipa karibuni shamban lima parachichi heka 80 kila mwaka utakuwa unaingiza milioni 70 karibun tuwekeze kwenye parachichi acheni mawazo ya kuajiriwa