love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Hii kozi bongo ni kudra kupata kaziPesa ndefu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kozi bongo ni kudra kupata kaziPesa ndefu sana
Unajiajiri mbona yapo maeneo mengi sana ya kujiajri. Ni ujuzi wako tu.Hii kozi bongo ni kudra kupata kazi
Unajiajiri mbona yapo maeneo mengi sana ya kujiajri. Ni ujuzi wako tu.Hii kozi bongo ni kudra kupata kazi
Usiwadanganye mkuu hii kozi amesoma hayati Kiombo akaishia kuwa mwalimu fedha na tuition yake,Unajiajiri mbona yapo maeneo mengi sana ya kujiajri. Ni ujuzi wako tu.
Kwenye Trab na TratHuku Chicago (penslinavia).
Phlebotomist (mdunga sindano) analipwa USD32/ day na miposho mingi.
Hapo Tanzania mnakwama wapi.
TANESCO, ATCL ni mashirika yanayoongoza kwa huduma mbovu na hasara lakini mtu mwenyeMshahara unatokana na kile unachokizalisha hao madaktari wanazalisha nini mpaka waongezewe
Hawa ni wazembe waite mimi niwasaidie eneo lililowazi la kujiajiri. Watapiga hela mpaka wasahau. Tatizo mindset ya kuajiriwa ndio inaharibu vijana. Lakini kiukweli kujiajiri ndio kunakufanya utoke hata kama umeajiriwa.Usiwadanganye mkuu hii kozi amesoma hayati Kiombo akaishia kuwa mwalimu fedha na tuition yake,
Kuna vijana wengine wawili waliajiriwa kule mtwara alipoingia Magufuli project ikaisha mmoja alienda
kuomba kufundisha tuition kwa maiko mwingine aliinvest vizuri mafao yake ya 200mil.
Juzi hapa kuna kijana alikuwa second year kutafta field tabu sasa amebadili anasoma teaching.
Hao wote walikuwa na one za tatu, nne pcm
Hao wote ni vichwa nilikutajia mkuu sasa wameshindwa kujiajiriHawa ni wazembe waite mimi niwasaidie eneo lililowazi la kujiajiri. Watapiga hela mpaka wasahau. Tatizo mindset ya kuajiriwa ndio inaharibu vijana. Lakini kiukweli kujiajiri ndio kunakufanya utoke hata kama umeajiriwa.
TANESCO wanazalisha Megawatt za umeme wanatuizia kwa unit. Kwann wasilipane pesa nyingi. ATCL wanafanya biashara ya usafiri wa anga kwanini wasilipane fedha nyingi. Walimu na Madaktari hawawezi kulipwa fedha nyingi kwasababu they are not producing kama hao wengine. Watulie walipwe malipo yao ya wito.TANESCO, ATCL ni mashirika yanayoongoza kwa huduma mbovu na hasara lakini mtu mwenye
diploma huyo MD haoni ndani
Kiyombo (TO 2006) nimesoma naye mwaka mmoja, alikua anapenda kufundisha tu alafu wala hakua kichwa kama unavyodhania ndani ya hiyo petroleum. TO wa mwaka 2013 yupo Pan African anapiga 13M kwa mwezi. Wengi wameajiriwa na wengine wamejiajiri ambao bado ni uzembe wao tu. Na wengine waliendelea na shule.Hao wote ni vichwa nilikutajia mkuu sasa wameshindwa kujiajiri
kama unania ya kuwasaidia nenda udsm utengeneze nao partnership mpige hizo hela unazosema
Kiombo baba na mama walikuwa maprof lakini akaishia kuwa nwalimu
Mkuu nilikuwa najua unaakili kumbe zero brain!?TANESCO wanazalisha Megawatt za umeme wanatuizia kwa unit. Kwann wasilipane pesa nyingi. ATCL wanafanya biashara ya usafiri wa anga kwanini wasilipane fedha nyingi. Walimu na Madaktari hawawezi kulipwa fedha nyingi kwasababu they are not producing kama hao wengine. Watulie walipwe malipo yao ya wito.
Mkuu umesoma nae Tosamaganga au Udsm!?Kiyombo (TO 2006) nimesoma naye mwaka mmoja, alikua anapenda kufundisha tu alafu wala hakua kichwa kama unavyodhania ndani ya hiyo petroleum. TO wa mwaka 2013 yupo Pan African anapiga 13M kwa mwezi. Wengi wameajiriwa na wengine wamejiajiri ambao bado ni uzembe wao tu. Na wengine waliendelea na shule.
50x20,000 hii ni milioni, kwa siku 30 ni milioni 30. Ni pesa ndefu Sana kuingizwa na mtu mmoja.Sasa jamani unafanya kazi kwenye hospital inatibu wagonjwa 50 kwa siku, kila mgonjwa analipia elfu 20. Unataka kwa mwezi ulipwe Millioni 3 kweli?. Hizo hela za kukulipa hiyo pesa serikali inazitoa wapi.
Mwenzako anafanya kazi EWURA kama inspector, kila kwenye lita moja ya mafuta EWURA inachukua percent yake. Kila lita moja. Kwanini wasiwalipe wafanyakazi wao pesa ndefu?
Nimesoma naye UDSM boss. Petroleum ni kozi yenye mambo mengi sana. Physics, Chemistry, Geology, Mathematics. Kihombo alikua vizuri zaidi kwenye Mathematics.Humjui Kihombo wewe
Nimesoma naye UDSM boss. Petroleum ni kozi yenye mambo mengi sana. Physics, Chemistry, Geology, Mathematics. Kihombo alikua vizuri zaidi kwenye Mathematics.Mkuu umesoma nae Tosamaganga au Udsm!?
Humjui Kihombo wewe
Hapo nilitoa mfano wa hospital ndogo boss. Embu jaribu kulinganisha na EWURA anayechukua percent kwenye kila lita ya mafuta.50x20,000 hii ni milioni, kwa siku 30 ni milioni 30. Ni pesa ndefu Sana kuingizwa na mtu mmoja.
Hiyo kozi kweli sio poa. Kuna dogo wangu mmoja hadi namwonea huruma anavyohangaika. Six alipiga one ya 7Usiwadanganye mkuu hii kozi amesoma hayati Kiombo akaishia kuwa mwalimu fedha na tuition yake,
Kuna vijana wengine wawili waliajiriwa kule mtwara alipoingia Magufuli project ikaisha mmoja alienda
kuomba kufundisha tuition kwa maiko mwingine aliinvest vizuri mafao yake ya 200mil.
Juzi hapa kuna kijana alikuwa second year kutafta field tabu sasa amebadili anasoma teaching.
Hao wote walikuwa na one za tatu, nne pcm
Never undermine human stupidity,Hayo mengine ya hasara kiukweli mimi siwezi kuyajua. ATCL imean
Nimesoma naye UDSM boss. Petroleum ni kozi yenye mambo mengi sana. Physics, Chemistry, Geology, Mathematics. Kihombo alikua vizuri zaidi kwenye Mathematics.