Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
50mil ni kwa mwezi mkuu sio mwaka300m kwa mwaka na 50m kwa mwaka ipi kubwa?
Naona wadau washaanza kumsogelea na mshahara wake 😄Huo mshahara ni mdogo. Sema atapiga hela kwenye posho za vikao, safari na semina.
Hata mshahara wa mama yetu hauifiki hela anzogawa bure kwenye misaada na magoli ya mama, Jiulize na ujijibu.Habari za asubuhi wanajamvi
Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake
Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.
View attachment 3086548
Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.
Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
nilikosea tu hapo!nilimaanisha 50mil kwa mwezi300m kwa mwaka na 50m kwa mwaka ipi kubwa?
Hajielewi huyo300m kwa mwaka na 50m kwa mwaka ipi kubwa?
Mshahara wa kawaida sana. Tena kwa mtu wa profile yake huo ni mshahara mdogo sana.Habari za asubuhi wanajamvi
Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake
Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.
View attachment 3086548
Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.
Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
😄😄😄Shangaa India ambaye ni Giant kiuchumi mkuu wake wa nchi ameachwa mbali sana mara mbili na ushee ila niamini mimi Hiyo pesa bado ndogo sana kwa mzigo anauchukua mama ushungi.
Otherwise anatafuta legacyMshahara wa kawaida sana. Tena kwa mtu wa profile yake huo ni mshahara mdogo sana.
Huo ni mshahara sawa na wa Project Manager wa kawaida tu at a US Bank.
Kama ni suala la mshahara, hapo naona kama kajitolea tu, angeweza kupata kazi yenye mshahara mkubwa zaidi ya huo private sector.
Mishahara ya Tanzania ni midogo tu.
Kwenye uwaziri wa afya anapata hela nyingi kuliko hiyo kwa mwaka.
Waziri wa afya ana fursa nyingi sana za kupiga hela
Kazi za public health ni kazi za wito.Otherwise anatafuta legacy
ukimpa hii hela yule mmakonde wadada wote wenye misamwanda wakae ndanikwa level yake ni mdogo sana unless kama kuna benefits nyingine in which i believe zipo!hence huu mshahara atakua haugusi!nasema mdg maana kuna MA CEO wa kampuni za binafsi hapa Tanzania wanapata zaidi ya hyo kwa mwaka!maana 364 kwa mwaka, kwa mwezi ni almost mil 30 na ushee!!kuna MA CEO wanakunja hadi mil 50 kwa mwezi!!
wewe unalipwa ngapi50mil ni kwa mwezi mkuu sio mwaka
Kiinua mgongo cha walimu sita kwa pamoja na wamekisotea zaidi ya miaka 28 kwa shida na tabu, enzi zile kabla ya zama za ushetani wa kikokotoo. Kumbe ni mishahara wa mtu wa mwaka duh yote maisha.Milioni 360 kwa mwaka ni hela ndogo mkuu? Watanzania wangapi unaowajua wanaingiza hiyo hela?
Huwa nikikumbuka tumbua tumbua ya Magu huwa najiuliza kwanini alimtumbuaga huyu Dr. Ndugulile🤔Habari za asubuhi wanajamvi
Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake
Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.
View attachment 3086548
Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.
Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?