Mshahara wa Dkt. Ndugulile akishaanza kazi WHO ni noma. Rais wa India akasome

Mshahara wa Dkt. Ndugulile akishaanza kazi WHO ni noma. Rais wa India akasome

Habari za asubuhi wanajamvi

Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake

Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.

View attachment 3086548

Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.

Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?

Sasa mbona anakomaa na ubunge hadi mwakani?
 
kwan analipwa na jamuhuri ya muungano?
Hapana.

Nasema kwamba Watanzania wanaona huu mshahara ni mkubwa, kwa sababu mishahara ya Tanzania ni midogo.

Katika taasisi za kimataifa, kwa level ya Regional Director wa WHO, huo mshahara ni mdogo sana.

US kuna ma project Managers madogo tu kwenye vibenki tu wanapiga $150,000 - $200,000 kwa mwaka.

Kwa sekta ya afya aliyopo Ndugulile, hapa US kwenye pandemic kuna manesi tu wamepiga mpaka $250,000 kwa mwaka.
 
Watanzania tatizo letu tu wsmajinga sana, tunasukumiwa majanga waliyoyaanzisha wamagharibi tunajiona tumeshinda.
. Hivi lini tutatumia akili zetu?
 
Bongo si kuna wakurugenzi wanalipwa hadi milioni 45 kwa mwezi! Maana kuna kipindi wakati wa Magu mishahara yao ilishushwa lakini nahisi imerudi tena maana hapa katikati nilisikia kuna mashirika yaliruhusiwa kujipangia mishahara.
 
Habari za asubuhi wanajamvi

Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake

Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.

View attachment 3086548

Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.

Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
1. Una uhakika Waziri mkuu wa India analipwa 14M /mwezi?
Mbona pesa ndogo sana?
2. Ndungulile kuliowa 30m/mwezi ni pesa ndogo sana pia ukilinganisha na ukubwa na unyeti wa taasisi


Hiyo 30m/hata hapa nchini wapo watu wanavuta.

Je mbunge anavuta kwa mwezi?
 
Back
Top Bottom