Mshahara wa Dkt. Ndugulile akishaanza kazi WHO ni noma. Rais wa India akasome

Mshahara wa Dkt. Ndugulile akishaanza kazi WHO ni noma. Rais wa India akasome

Habari za asubuhi wanajamvi

Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake

Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.


Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.

Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Kwahiyo analipwa Milioni 1 kwa siku
 
Ni ajabu Kuna mtu nimeona hapo juu amekomenti eti mshahara wa milioni 360 atakaolipwa Ndugulile Kwa Mwaka ni mdogo wakati huo huo yeye akichanganya kipato chake chote Kwa Mwaka hakifiki hata milioni 12 yaani haingizi zaidi ya milioni 1 Kwa Mwezi 🙌

Yaani tumezoea roho mbaya tu 🙌
Sasa Ndungulile pesa hiyo unadhani anaishobokea na kuiona nyingi?
Mbunge wa Tanzania sasa analipwa karibu milioni 20 kwa mwezi sasa milioni 30 na 20 kuna jambo la kushituka?
Alipokuwa waziri alikuwa analipwa sh.ngapi?
Wakuu wengi wa Taasisi za umma Tanzania wanapata hiyo pesa anayokwenda kulipwa Ndungulile.
Ni pesa nyingi kwako ila si kwa Ndungulile.
Mgodini Bulyanhulu 2015 waliokuwa wanalipwa zaidi ya millioni 30 walikuwa zaidi ya 30.
 
Hata senior engineer tu wa Ulaya anapata hizo pesa. Hata senior doctors wa Ulaya wanapata hizo pesa.

Hizo ni Pesa za mchezaji wa mpira wa ligi kuu ya Uingereza kwa wiki moja..

Hizo ni pesa mchumi wa kawaida kabisa kwenye mabenki ya Ulaya.

Kwa kifupi hizo sio pesa za kutisha. Watanzania wengi tu kwenye Kazi kubwa za engineering na u daktari walioko huko Majuu wanapata
Tatizo wengi expossure hawana
 
Sasa Ndungulile pesa hiyo unadhani ansishobokea na kuiona nyingi?
Mbunge Watanzania sasa analipwa karibu milioni 20 kwa mwezi sasa milioni 30 na 20 kuna jambo la kushituka?
Alipokuwa waziri alikuwa analipwa sh.ngapi?
Wakuu wengi wa Taasisi za umma Tanzania wanapata hiyo pesa anayokwenda kulipwa Ndungulile.
Ni pesa nyingi kwako ila si kwa Ndungulile.
Mgodini Bulyanhulu 2015 waliokuwa wanalipwa zaidi ya millioni 30 walikuwa zaidi ya 30.
Sahihi Tanzania wako kibao hao wa milioni 30 kwenye sekta binafsi za kampuni za kimataifa za mafuta gesi,madini,mabenki marubani, nk
 
Habari za asubuhi wanajamvi

Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake

Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.


Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.

Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Mweee hela ndogo kabisa hiyo. Mchezani mmoja wa simba akisinya tuu contract ya miaka miwilli hiyo ilishaingia bado mshahara wa million 13 na hujaweka bonus
 
Habari za asubuhi wanajamvi

Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake

Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.


Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.

Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
HIzo dola kwa mwezi ni takribani dola 11k. Ambapo ni kawaida kwa post kubwa kama hiyo.

Si mshahara mkubwa wa kuanzishia post nenda hapo BOT au TANROAD utakuta kuna vibaba vinakunja zaidi ya hiyo.

Au baadhi ya NGO.
 
Habari za asubuhi wanajamvi

Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake

Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.


Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.

Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Hio ni show moja ya diamond platnumz pale kivu kusini ndio maana mapimbi yanadharau sana shule dah noma kinyama
 
Masikini anayepata elfu moja kwa wiki aweza ona yeye tajiri kuliko maskini anayepata mia tano kwa wiki akampuuza mpata mia tano kuwa lofa kumbe wote maskini na malofa hakuna tajiri hapo wanapishana tu kiwango cha umaskini ndio maana wazungu wakiangalia Tanzania wanaiita nchi maskini na akins Ndugulile wanahesabiwa humo.humo
Ukitaka kuona sisi ni masikini kiasi gani pitia ule Uzi wale mabinti walikuwa wakitoa Vocha za bure hapa JF

Yaani Kuna wengine ni Wanaume kabisa lakini nao walikuwa wakigombea hizo Vocha za elfu 1 Moja

Mtu wa hivyo kweli atakuwa na Kipato cha Kumzidi Ndugulile kweli?🙌
 
Sasa Ndungulile pesa hiyo unadhani ansishobokea na kuiona nyingi?
Mbunge Watanzania sasa analipwa karibu milioni 20 kwa mwezi sasa milioni 30 na 20 kuna jambo la kushituka?
Alipokuwa waziri alikuwa analipwa sh.ngapi?
Wakuu wengi wa Taasisi za umma Tanzania wanapata hiyo pesa anayokwenda kulipwa Ndungulile.
Ni pesa nyingi kwako ila si kwa Ndungulile.
Mgodini Bulyanhulu 2015 waliokuwa wanalipwa zaidi ya millioni 30 walikuwa zaidi ya 30.
Kama sio nyingi kwake unadhani angeenda kuomba achaguliwe kwenye hiyo Post?

Mkuu hivi unajua pamoja na kulipwa hiyo Mishahara unayosema ya milioni 18 sijui 20 hao Wabunge bado wengi wao wanakuwa Choka mbaya baada ya Chaguzi?

Binafsi Kwa maoni yangu, naona alipo sasahivi huyo Ndugulile ni pakubwa kuliko angeendelea kuwa Mbunge wa Kigamboni
 
Habari za asubuhi wanajamvi

Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake

Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.


Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.

Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Duu yaani mil.80 Kwa mwezi za Madafu? Aisee watu watapoga pesa
 
Duuh huu uzi kila mtu anasema hiyo pesa ndogo, ila cha ajabu akijitokeza mtu humu akasema ana 300M anaomba ushauri afanye biashara gani, utasikia JF kila mtu tajiri mara amka usingizini usije ukajikojolea
 
Habari za asubuhi wanajamvi

Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake

Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.


Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.

Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
RC Makonda kila siku analipia million 6.2 tu sehemu ya kulala, bado matumizi mengine usibabaike sana Mkuu 😂😂😂
 
Back
Top Bottom