Mshahara wa Dkt. Ndugulile akishaanza kazi WHO ni noma. Rais wa India akasome

Mshahara wa Dkt. Ndugulile akishaanza kazi WHO ni noma. Rais wa India akasome

Anazidiwa hadi na WafanyaBiashara wa kkoo ambao hawajasoma hata. Watu kwa mwezi Faida wanaingiza hadi 50m
 
Kiinua mgongo cha walimu sita kwa pamoja na wamekisotea zaidi ya miaka 28 kwa shida na tabu, enzi zile kabla ya zama za ushetani wa kikokotoo. Kumbe ni mishahara wa mtu wa mwaka duh yote maisha.
Matajiri wa jf wanakuambia hiyo pesa ndogo
 
Kaka unasema huo mshahara mkubwa njoo bongo kuna mkuu wa mkoa anakunja 3.5m per month lakini anaendesha gari ya mwaka 2024 lanrover defender ya milioni 450
 
Uzuri wa nafasi hiyo ni cash atakayoingiza kwa safari, workshops nk
Afu ni hela ambayo akiingiza hagawani na MTU kama ilivyo kwenye ubunge - chama Mkoa, Wilaya, Kata zote - matawi yote - na individuals
WHO ni sehemu tulivu
 
kwa level yake ni mdogo sana unless kama kuna benefits nyingine in which i believe zipo!hence huu mshahara atakua haugusi!nasema mdg maana kuna MA CEO wa kampuni za binafsi hapa Tanzania wanapata zaidi ya hyo kwa mwaka!maana 364 kwa mwaka, kwa mwezi ni almost mil 30 na ushee!!kuna MA CEO wanakunja hadi mil 50 kwa mwezi!!
WHO siyo kampuni binafsi
Kwani wengine kwa level yake wanalipwa sh ngapi
 
Hapana.

Nasema kwamba Watanzania wanaona huu mshahara ni mkubwa, kwa sababu mishahara ya Tanzania ni midogo.

Katika taasisi za kimataifa, kwa level ya Regional Director wa WHO, huo mshahara ni mdogo sana.

US kuna ma project Managers madogo tu kwenye vibenki tu wanapiga $150,000 - $200,000 kwa mwaka.

Kwa sekta ya afya aliyopo Ndugulile, hapa US kwenye pandemic kuna manesi tu wamepiga mpaka $250,000 kwa mwaka.
Kwani Regional Director wa WHO wengine wanalipwa sh ngapi? Au umelinganisha na manesi wa US tu
 
kwa level yake ni mdogo sana unless kama kuna benefits nyingine in which i believe zipo!hence huu mshahara atakua haugusi!nasema mdg maana kuna MA CEO wa kampuni za binafsi hapa Tanzania wanapata zaidi ya hyo kwa mwaka!maana 364 kwa mwaka, kwa mwezi ni almost mil 30 na ushee!!kuna MA CEO wanakunja hadi mil 50 kwa mwezi!!
Tena wengine ni wa mashirika ya umma nchini.
 
Milioni 360 kwa mwaka ni hela ndogo mkuu? Watanzania wangapi unaowajua wanaingiza hiyo hela?
Una tatizo kwenye kuelewa CONTENT na CONTEXT.

Kulingana na CONTEXT ya mada yako hio pesa ni ndogo sana tulitegemea iwe kwa mwezi ndio uzi wako ungekuwa VALID kulingana na Status ya jamaa, Shirika, position na uzi ulivyoweka kwa kishindo ilibidi 300M uqe mshahara wa mwezi ila mqisho wsiku eti 30 Million kwa mwezi sasa hii pesa ya kuandika uzi kwa ukubwa namna hii ukizingatia na Factors zote hapo juu.
 
364÷12~30.3 m per month!
Kama haikatwi,anapata privileges nyingine kama an
nyumba bure,usafiri bure nk
 
Tatizo wa Tanzania kutotoka nje kusaka kazi wanaona nyingi hiyo pesa ya Ndugulile ukienda hapo Kenya tu

Co-operative Bank of Kenya chief executive Gideon Muriuki earned Sh455. 5 million kenya shillings last year, cementing his position as corporate Kenya's t a daily average earning of Sh1. 25 million Kenya shillings

Huyo mshahara wake ukipiga hesabu kwa pesa ya Tanzania huyo mkuu wa benki ya ushirika ya Kenya kwa mwezi analipwa shilingi milioni 750 kwa mwezi hiyo hela Ndugulile kwake ndogo mno
Unalinganisha na CEO wa bank?
 
Back
Top Bottom