Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alifikisha miaka mingapi?Sema Mawaziri wa Tanzania wana fulsa nyingi za kuiba ..... Nasikia Mchengerwa kafanya Birthday ya million 200 last week.
Alifikisha miaka mingapi?
Haikurudishwa tena, haijapandaBongo si kuna wakurugenzi wanalipwa hadi milioni 45 kwa mwezi! Maana kuna kipindi wakati wa Magu mishahara yao ilishushwa lakini nahisi imerudi tena maana hapa katikati nilisikia kuna mashirika yaliruhusiwa kujipangia mishahara.
Matajiri wa jf wanakuambia hiyo pesa ndogoKiinua mgongo cha walimu sita kwa pamoja na wamekisotea zaidi ya miaka 28 kwa shida na tabu, enzi zile kabla ya zama za ushetani wa kikokotoo. Kumbe ni mishahara wa mtu wa mwaka duh yote maisha.
WHO siyo kampuni binafsikwa level yake ni mdogo sana unless kama kuna benefits nyingine in which i believe zipo!hence huu mshahara atakua haugusi!nasema mdg maana kuna MA CEO wa kampuni za binafsi hapa Tanzania wanapata zaidi ya hyo kwa mwaka!maana 364 kwa mwaka, kwa mwezi ni almost mil 30 na ushee!!kuna MA CEO wanakunja hadi mil 50 kwa mwezi!!
Watanzania tuna mbwembwe sana mkuu..kwa mie wa TGS D nauona huo mshahara ni mkubwa sana aseeMilioni 360 kwa mwaka ni hela ndogo mkuu? Watanzania wangapi unaowajua wanaingiza hiyo hela?
Haifiki hiyo ila kwa nafasi niliyopo ninayopata kwa sasa inastahili.Mkuu wewe unapata ngapi kwa mwaka?
Kwani kaacha uwaziri wa afya kaenda WHO?Kwenye uwaziri wa afya anapata hela nyingi kuliko hiyo kwa mwaka.
Waziri wa afya ana fursa nyingi sana za kupiga hela
Kwani Regional Director wa WHO wengine wanalipwa sh ngapi? Au umelinganisha na manesi wa US tuHapana.
Nasema kwamba Watanzania wanaona huu mshahara ni mkubwa, kwa sababu mishahara ya Tanzania ni midogo.
Katika taasisi za kimataifa, kwa level ya Regional Director wa WHO, huo mshahara ni mdogo sana.
US kuna ma project Managers madogo tu kwenye vibenki tu wanapiga $150,000 - $200,000 kwa mwaka.
Kwa sekta ya afya aliyopo Ndugulile, hapa US kwenye pandemic kuna manesi tu wamepiga mpaka $250,000 kwa mwaka.
Tena wengine ni wa mashirika ya umma nchini.kwa level yake ni mdogo sana unless kama kuna benefits nyingine in which i believe zipo!hence huu mshahara atakua haugusi!nasema mdg maana kuna MA CEO wa kampuni za binafsi hapa Tanzania wanapata zaidi ya hyo kwa mwaka!maana 364 kwa mwaka, kwa mwezi ni almost mil 30 na ushee!!kuna MA CEO wanakunja hadi mil 50 kwa mwezi!!
Una tatizo kwenye kuelewa CONTENT na CONTEXT.Milioni 360 kwa mwaka ni hela ndogo mkuu? Watanzania wangapi unaowajua wanaingiza hiyo hela?
Unalinganisha na CEO wa bank?Tatizo wa Tanzania kutotoka nje kusaka kazi wanaona nyingi hiyo pesa ya Ndugulile ukienda hapo Kenya tu
Co-operative Bank of Kenya chief executive Gideon Muriuki earned Sh455. 5 million kenya shillings last year, cementing his position as corporate Kenya's t a daily average earning of Sh1. 25 million Kenya shillings
Huyo mshahara wake ukipiga hesabu kwa pesa ya Tanzania huyo mkuu wa benki ya ushirika ya Kenya kwa mwezi analipwa shilingi milioni 750 kwa mwezi hiyo hela Ndugulile kwake ndogo mno