Mshahara wa Dkt. Ndugulile akishaanza kazi WHO ni noma. Rais wa India akasome

Hata mshahara wa mama yetu hauifiki hela anzogawa bure kwenye misaada na magoli ya mama, Jiulize na ujijibu.
 
Mshahara wa kawaida sana. Tena kwa mtu wa profile yake huo ni mshahara mdogo sana.

Huo ni mshahara sawa na wa Project Manager wa kawaida tu at a US Bank.

Huo ni mshahara wa profesa wa kawaida tu US, profesa ni kazi isiyo na mshahara mkubwa sana US.

Kama ni suala la mshahara, hapo naona kama kajitolea tu, angeweza kupata kazi yenye mshahara mkubwa zaidi ya huo private sector.

Mishahara ya Tanzania ni midogo tu.
 
Otherwise anatafuta legacy
 
ukimpa hii hela yule mmakonde wadada wote wenye misamwanda wakae ndani
 
Huwa nikikumbuka tumbua tumbua ya Magu huwa najiuliza kwanini alimtumbuaga huyu Dr. Ndugulile🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…