Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,052
- 2,866
Huruma kwanini?Huu mshahara wa December hadi huruma!
Matumizi mengi!Huruma kwanini?
Hatari unaisha kabla haujaupataMatumizi mengi!
Yap december inataka uwe na mishahara mitatu!Hatari unaisha kabla haujaupata
TBS unyama sana. Kwanza wanakula breakfast na lunch kazini wale.Hivi mkuu kazini kwako hamna chochote kitu cha kupunguza ukali..?maana jamaa yangu yupo tbs yaani anasema anakaaga hata miezi 9 bila kugusa salary
Yaan kuna ofisi wana neema aisee.bora yao. ni kwel kuna taasis maisha mazur. wengine wanasubiria mshahar walipe maden kwa mang na kukopa tena
top up
Naona kimya hadi sasa. Kuna hela kweli?Chizi wa magari hali ni tete kwa upande wako, pole sana kamanda.
Wanajeshi wamepata jioni hii, kwahiyo wengine mpaka kesho kitakuwa kimeekeweka.Naona kimya hadi sasa. Kuna hela kweli?
Afadhali aisee.Wanajeshi wamepata jioni hii, kwahiyo wengine mpaka kesho kitakuwa kimeekeweka.
Unatuumiza roho mkuuHivi mkuu kazini kwako hamna chochote kitu cha kupunguza ukali..?maana jamaa yangu yupo tbs yaani anasema anakaaga hata miezi 9 bila kugusa salary
Ndio ukweli huo...kwamfano mtu kazi Yake ni manunuzi ya umma huwezi kumkuta analia njaa..Unatuumiza roho mkuu
Zima data mkuu, fukia kichwa wakiuliza sema nimekufwa.Matumizi mengi!
Bila bilaVipi tayari/bado?