Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Huu sasa ni uhuni.
Waweke chap
Waweke chap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆Huu sasa ni uhuni.
Waweke chap
Bila bila.Leo wameweka kimya kimya nini!? Embu check salio 😆😆
Wanakaa na hela zetu sijui wanazizungusha kufanyia biashara?Huu sasa ni uhuni.
Waweke chap
Wanatusaidia Christmas tuwe njemaWanakaa na hela zetu sijui wanazizungusha kufanyia biashara?
0-0Leo wameweka kimya kimya nini!? Embu check salio 😆😆
Sijaona sms mzee harafu siko mbali na ATMDakika za jioniiiiiii wahaaahhhh
Mbona wengine tupo LGA na tumepewa mzigo wa maana tu 300k za sikuku ila Leo nimebaki na 50K tu mamamaaae.....LOCAL GAV hio kitu hakuna labda nyie mawizarr na matasis
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Mbona wengine tupo LGA na tumepewa mzigo wa maana tu 300k za sikuku ila Leo nimebaki na 50K tu mamamaaae.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Mbona wengine tupo LGA na tumepewa mzigo wa maana tu 300k za sikuku ila Leo nimebaki na 50K tu mamamaaae.....
Mbaya sana Babu....wakati naandika huu ujumbe kameingia kameseji ka muamala ....safi sana ..Huu uzi una watu wanavituko sana! 😆😆
Alosto ya mshahara
Umetoka kama dakika 5 zimepitaMshahara mpaka tar 23 Dec, 2024
Tayari mimi NMBSijaona sms mzee harafu siko mbali na ATM
Uzuri huu uzi uwa hamna mtu kudanganya. Ngoja niende aisee sema mimi CRDB. Naelekea ATM mdog mdogoTayari wadau nendeni bank