Ko hata NMB bado mkuuSijajua wanakudanya kwa faida gani ingawa mapolisi na wajeda ni exceptional
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ko hata NMB bado mkuuSijajua wanakudanya kwa faida gani ingawa mapolisi na wajeda ni exceptional
Kwa mapolisi sawaKo hata NMB bado mkuu
Ahaaa hapo sawaa.Kwa mapolisi sawa
Jambo tayari mkuuAhaaa hapo sawaa.
uongoMimi ni NMB ila mpaka Sasa sijapataa au Kuna tatizo ndugu zangu
Jambo tayari mkuu
Ndio nimepata mkuu CRDBUmeshapata kwako?
Leo au lini?Ndio nimepata mkuu CRDB
Leo au lini?Ndio nimepata mkuu CRDB
Alfajiri ,angalia salio kakaLeo au lini?
Mi nimepata usiku janaKuna unayemjua kapata?
Salio umechiki labda umeingia kimya kimyaNdugu zangu Mimi mpaka saivii sijapataa mshahara NMB wakatii wezangu wamepata tatizo itakuwa nini
Hata mimi NMB ila bado bilabila, tuendelee kusubiri tuNdugu zangu Mimi mpaka saivii sijapataa mshahara NMB wakatii wezangu wamepata tatizo itakuwa nini
Nimechek Salio hakunaSalio umechiki labda umeingia kimya kimya
Afadhalii nilifikriii ni Mimi mwenyeweHata mimi NMB ila bado bilabila, tuendelee kusubiri tu
Kumbuka hata Novemba salary ilitoka Ijumaa ila wapo baadhi tena NMB wapo walikuja kupata Jumatatu😢Afadhalii nilifikriii ni Mimi mwenyewe
IkawajeJana mlisema CRDB imeingia nikaenda ATM aisee.