pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
[emoji23][emoji23][emoji23]Lipeni bas huo mshahara niwe mwanaume anaejua kuwajibika kwa Mwanamke wangu Halima mshepu wa Flamengo pub
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Lipeni bas huo mshahara niwe mwanaume anaejua kuwajibika kwa Mwanamke wangu Halima mshepu wa Flamengo pub
Duh mkuu upo serious mbona sisi wengine tumeshaumalizaDaaah mpaka saivii kmy hakuna kusafirii kwenda sikukuu
Kaka umeingia CRDBLipeni bas huo mshahara niwe mwanaume anaejua kuwajibika kwa Mwanamke wangu Halima mshepu wa Flamengo pub
NMB mida hii tyrTumebakii sisi wa NMB
Umelia sana mkuu ilifika kipindi nilikua najifeel guilty kunywa konyagi huku kuna mtu analiaNMB mida hii tyr
nnaHatimaye
Mbona Mimi kwangu bado Kuna shida gani au ndio unaendelea kuingiaNMB mida hii tyr
Mishahara huwa inaingia kwa batch number jamani. Sio kwamba ukiwa na Acc NMB basi Tanzania nzima wenye acc NMB wote wanapata kwa pamoja. Ndo maana wengine wako CRDB wameshapata wengine bado
na NBC aisee kila wakati nachungulia hapa, ni matesoTumebakii sisi wa NMB
Mkuu pole sana. Ila ikiingia kwako naamin watanzania wote watakua washapata[emoji16]Mbo
nna
Mbona Mimi kwangu bado Kuna shida gani au ndio unaendelea kuingia
ephen_ na mimi babu yako mpaka muda huu bila bila! Siku ya pili hii nimejifungua ndani. Hebu fikiria na bibi yako angekuwa hajishughulishi na kilimo, ingekuwaje hapa nyumbani!! Halafu kazi yenyewe eti ni hii ya kulinda mageti ya Halmashauri miaka nenda!!!Unajua sana kuuchangamsha huu uzi😂
Naona unaninyima sikukuu kiujanjaephen_ na mimi babu yako mpaka muda huu bila bila! Siku ya pili hii nimejifungua ndani. Hebu fikiria na bibi yako angekuwa hajishughulishi na kilimo, ingekuwaje hapa nyumbani!! Halafu kazi yenyewe eti ni hii ya kulinda mageti ya Halmashauri miaka nenda!!!
Dah! Comrade inaonekana umeandika huu ujumbe ukiwa katika majonzi makubwa, na hasira kali sana. Ni serikali ya ccm hii ndiyo inakufanyia hivi. Na mwakani eti inakutaka uipe ushindi wa kishindo!Mbo
nna
Mbona Mimi kwangu bado Kuna shida gani au ndio unaendelea kuingia
Alaaaa kumbe...Mishahara huwa inaingia kwa batch number jamani. Sio kwamba ukiwa na Acc NMB basi Tanzania nzima wenye acc NMB wote wanapata kwa pamoja. Ndo maana wengine wako CRDB wameshapata wengine bado
duuuuh hongera wengine sijui utaingia lini,,,yaani sikukuu inaanza vibaya hiiMshahara umeingia asubuhi hii wakuu. CRDB