Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukishakuzingua tunafaidika nini sasa?Wanazingua hao hakuna hela imeingia..
CrdbBank gani mi bila bila
Salary badoBar 🍻Leo zitajaa sana, watumishi wa Umma mmepokea salari
Tunaijua hii🤣🤣Wakuu, Wazee kwa kubashiri kesho mama anaweza kucheka,? Kuna mshikaji wangu namdai
Mwanasimba mbona me dry? CRDB?Huooooooo
CRDB ndio zinasoma sasa, subiri kidogoMwanasimba mbona me dry? CRDB?
Crdb mi tayariMwanasimba mbona me dry? CRDB?
Duh una mshahara mkubwa utakuwa Ni Meneja wewe.NMB kitu tayari jioni ya leo, mitano tena kwa mama Samia🖐️View attachment 3210460View attachment 3210460
Hahahaaa, "kila mwezi mshahara unachelewa". Mkuu unatamani mshahara utoke tarehe ngapi kila mwezi?Mimi ni mwalimu unategemea nafundisha vipi kama mshahara sipati Kwa wakati afu wataka tufaulishe vipi watoto?
Mpaka saizi saa saba kasoro mshahara bado na watu tuna majukumu. Watoto Nina mke na wazazi wananitegemea kila mwezi mshahara unachelewa tu afu wataka tusikope Kwa mangi?
Kama ndo hivyo kazi hii kwangu itakuwa ngumu saana siwezi fundisha nikiwa na
Mzigo. Naamka na meseji.CRDB ndio zinasoma sasa, subiri kidogo
Mkuu kumbe una mshahara mdogo hivyo?NMB kitu tayari jioni ya leo, mitano tena kwa mama Samia🖐️View attachment 3210460View attachment 3210460
Hahahahah.....nyanyasa kada zote sio walim, walim fasta wanakuchomea utapokea simu kutoka DODOMA ya karipio KaliHao ma DED na ma HRO unajua walivyo miungu watu kwa walimu? kuna mahala wanafikia kuwambia walimu wavue viatu wanapoingia maofisini mwao! watumishi wa kada za chini wanapitia mengi sana toka kwa hao mabosi wao