Walimu wanashida sana, Yani salary ikifika TU trh 20 hawajalipwa wanaanza makelele, njaa inawasumbuwa hawaMshahara Tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walimu wanashida sana, Yani salary ikifika TU trh 20 hawajalipwa wanaanza makelele, njaa inawasumbuwa hawaMshahara Tayari
Leo tarehe 22, mwisho wa mwezi si 31stMwisho wa mwezi tayari bro.
Mwisho wa mwezi kuanzia tarehe ya mshahara wa mwisho kutoka.Kwani mshahara si unalipwa mwisho wa mwezi?
1. Kuwa na subira jamaa yangu, tarehe 25 imefika?Mimi ni mwalimu unategemea nafundisha vipi kama mshahara sipati Kwa wakati afu wataka tufaulishe vipi watoto?
Huyo kwenye avatar ni wewe madam?Mwisho wa mwezi kuanzia tarehe ya mshahara wa mwisho kutoka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapana Rrondo..Huyo kwenye avatar ni wewe madam?
Na wewe pia. Au ni mdogo wako?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapana Rrondo..
Heri ya Mwaka Mpya.
Hapana...Ni Dada mmoja hivi yupo SANa wewe pia. Au ni mdogo wako?
Ni yeye mkuu, hebu fanya kumlipa Gross salary ya Jan,Huyo kwenye avatar ni wewe madam?
Nenda ATM kachukue mambo byeeMimi ni mwalimu unategemea nafundisha vipi kama mshahara sipati Kwa wakati afu wataka tufaulishe vipi watoto?
Mpaka saizi saa saba kasoro mshahara bado na watu tuna majukumu. Watoto Nina mke na wazazi wananitegemea kila mwezi mshahara unachelewa tu afu wataka tusikope Kwa mangi?
Kama ndo hivyo kazi hii kwangu itakuwa ngumu saana siwezi fundisha nikiwa na njaa
Amebarikiwa sana.Hapana...Ni Dada mmoja hivi yupo SA
Akili nyingine za ajabu sana,unaulizaje suala la Mshahara JF??na leo ni tarehe 22,mshahara si kuanzia tarehe 23?Mimi ni mwalimu unategemea nafundisha vipi kama mshahara sipati Kwa wakati afu wataka tufaulishe vipi watoto?
Mpaka saizi saa saba kasoro mshahara bado na watu tuna majukumu. Watoto Nina mke na wazazi wananitegemea kila mwezi mshahara unachelewa tu afu wataka tusikope Kwa mangi?
Kama ndo hivyo kazi hii kwangu itakuwa ngumu saana siwezi fundisha nikiwa na njaa
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Sana.Amebarikiwa sana.
Mnalipw wakat umeme unasumbuamshahara upi mkuu
sisi tanesco mbona tayari
Tulia dawa ipenye.Mimi ni mwalimu unategemea nafundisha vipi kama mshahara sipati Kwa wakati afu wataka tufaulishe vipi watoto?
Mpaka saizi saa saba kasoro mshahara bado na watu tuna majukumu. Watoto Nina mke na wazazi wananitegemea kila mwezi mshahara unachelewa tu afu wataka tusikope Kwa mangi?
Kama ndo hivyo kazi hii kwangu itakuwa ngumu saana siwezi fundisha nikiwa na njaa
Nimemkumbuka mwamba Mpwayungu.Mimi ni mwalimu unategemea nafundisha vipi kama mshahara sipati Kwa wakati afu wataka tufaulishe vipi watoto?
Mpaka saizi saa saba kasoro mshahara bado na watu tuna majukumu. Watoto Nina mke na wazazi wananitegemea kila mwezi mshahara unachelewa tu afu wataka tusikope Kwa mangi?
Kama ndo hivyo kazi hii kwangu itakuwa ngumu saana siwezi fundisha nikiwa na njaa