Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Yeah, kama Desemba ulilipwa tarehe 24/12/2023, basi mwisho wa mwezi unaofuata ni tarehe 24/01/2024Kwani mshahara si unalipwa mwisho wa mwezi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah, kama Desemba ulilipwa tarehe 24/12/2023, basi mwisho wa mwezi unaofuata ni tarehe 24/01/2024Kwani mshahara si unalipwa mwisho wa mwezi?
tumepewa miezi sita kujirekebisha na kuweka mambo sawa, mabwawa hayajajaaMnalipw wakat umeme unasumbua
takbirNimemkumbuka mwamba Mpwayungu.
Waalimu endeleeni kuisaidia CCM kuiba kura. Mzazi wangu kastaafu juzi ualimu, hilo rhumba analolisakata namuonea huruma. Siachi kumwambia kuwa aliisaidia CCM ktk simamizi za chaguzi alizoshiriki hivyo atamke neno nafsi yake ipone
Mwezi uliopita mshahara uliwekwa tarehe 22 Dec hadi leo tarehe 22 Jan mwezi tayari.Leo tarehe 22, mwisho wa mwezi si 31st
Mbona sisi idara yetu tumekwisha letewa slipu na tayari zimeingia benki.Mimi ni mwalimu unategemea nafundisha vipi kama mshahara sipati Kwa wakati afu wataka tufaulishe vipi watoto?
Mpaka saizi saa saba kasoro mshahara bado na watu tuna majukumu. Watoto Nina mke na wazazi wananitegemea kila mwezi mshahara unachelewa tu afu wataka tusikope Kwa mangi?
Kama ndo hivyo kazi hii kwangu itakuwa ngumu saana siwezi fundisha nikiwa na njaa
Kwani mshahara ni mwisho wa mwezi au baada ya mwezi?Mwezi uliopita mshahara uliwekwa tarehe 22 Dec hadi leo tarehe 22 Jan mwezi tayari.
Mwisho wa mwezi January ni 31st, kama ulilipwa 24/12 una maana unataka kulipwa BAADA YA MWEZI na sio mwisho wa mwezi.Yeah, kama Desemba ulilipwa tarehe 24/12/2023, basi mwisho wa mwezi unaofuata ni tarehe 24/01/2024
Baada ya mwezi ambayo huwa mwisho wa mwezi😄Kwani mshahara ni mwisho wa mwezi au baada ya mwezi?
Mwamba ameshaanza kukupenda ,unamkatisha tamaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapana...Ni Dada mmoja hivi yupo SA
Hao ma DED na ma HRO unajua walivyo miungu watu kwa walimu? kuna mahala wanafikia kuwambia walimu wavue viatu wanapoingia maofisini mwao! watumishi wa kada za chini wanapitia mengi sana toka kwa hao mabosi wao1. Kuwa na subira jamaa yangu, tarehe 25 imefika,
2. Tuache kutia aibu, tunaiabisha serikali so far utaratibu wa kuuliza unaujua, umemfuata HRO wako ameshindwa kukujibu, DED wako ameshindwa kukujibu? Why exposing issues ambazo zinawekeana kujibiwa na wahusika instantly?
3. Sio sawa, Utumishi wa Umma haupo hivyo!!!
Ngoma itakua kesho iyoMimi ni mwalimu unategemea nafundisha vipi kama mshahara sipati Kwa wakati afu wataka tufaulishe vipi watoto?
Mpaka saizi saa saba kasoro mshahara bado na watu tuna majukumu. Watoto Nina mke na wazazi wananitegemea kila mwezi mshahara unachelewa tu afu wataka tusikope Kwa mangi?
Kama ndo hivyo kazi hii kwangu itakuwa ngumu saana siwezi fundisha nikiwa na njaa
asiejua=asiyejuaMwalimu asiejua kuandika anachanganya herufi kubwa na ndogo bila nukta.Mwalimu anaandika afu,ndo.
Kama wewe kweli ni mwalimu nawaonea huruma sana wanafunzi unaowafundisha.