Labda wanashangilia utenguzi wa boss wao, salary bado haisomiNipo nimesimama jirani na ofisi moja ya umma hapa huko ndani nasikia vifijo watu wanashangilia... vipi jamanii kimeeleweka huko...?
Hatuwezi kua na jioni njema mkuu..Taarifa za kuaminika mzigo ni kuanzia kesho tarehe 25.6.2024. Nawatakia jioni njema
Karibia saa 9 na nusu.. 0 - 0Bilabila
Mi mwenyewe nmeandika huku roho inauma naambiwa sababu ni promotion, utadhani promotion ni emergency wakati ilikuwa inafahamikaHatuwezi kua na jioni njema mkuu..
Sio Salio tu hata kalio pia Huwa naangalia...
AahaaaaHalafu NMB nao muda mwigine dah
Unakuta sms kacha ukicheki NMB unajua kitu kimetiki. Ukifungua unakuta ndugu mteja tunza namba Yako ya siri
Mbwa wa mtumishi huyu lazma 🤣🤣🤣 Mad Max unatesa kiumbe wa Mungu