Sisi wa crdb huyu mwigulu anatuonaje lakini?
Mama Hana baya zile habari za kupata tarehe 28 hadi 30 ni uzushi, tuendelee na tarehe hizi hizi isizidi tarehe 25 sasa ni muda wa kutanua uchumi wa nchi.Wakuu, tuendelee kujenga Taifa la mama
Hongera kwa kupanda darajaMimi huku nakuta nimeongezwa sh. 194500 tukutane kwenye kimasihara kulana huko na kwa Mshana Jr tule vyombo.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Mwezi ujao ni tarehe 30 kumbekeni ilo watumishi wa umma , alafu katika kipindi ichi kigum kwa kucheleweshewa mishahara yenu wapenda haki wamekua pamoja na nyie kupitia post mbali mbali so ni vyema pia watumishi wa umma kujitafakari , pale ambapo wapigania haki wanakua na hoja za msingi kuhusu taifa mnatakiwa shikamana naoTukutane tena tarehe zetu pendwa mwezi wa saba
Achana nao hao majobless man. Si tupige kazi man.Mama Hana baya zile habari za kupata tarehe 28 hadi 30 ni uzushi, tuendelee na tarehe hizi hizi isizidi tarehe 25 sasa ni muda wa kutanua uchumi wa nchi.
Hivii unakunywaaje supu ya moto na soda ya baridi,na sio wewe tu naona weng sana,
Nakopesha kwa riba ya 1% kwa principal amount. Muda wa mkopo ni week moja.
Nione PM.