ndengisivilii
JF-Expert Member
- Jun 21, 2024
- 496
- 570
Simu huwa haionyeshiwakuu mshahara bado ila unaweza kuona salary slip kupitia mfumo wa ESS muda huu. Nadhani hazina wameshaachia pesa katika mabenki ni wao kufanya process ili mshahara uingie kwa kila mmoja. Mi nimeona na nimeona daraja nimepanda bila annual increment. So km unataka kujua nini ni nini ingieni muone salary slip kwa kutumia kishkwambi au computer sim kwangu naona imegoma sijui simu za wengine jaribuni.
Mama anaupiga mwingi
Nimejaribu kwa tablet inagoma kudownload salary slipwakuu mshahara bado ila unaweza kuona salary slip kupitia mfumo wa ESS muda huu. Nadhani hazina wameshaachia pesa katika mabenki ni wao kufanya process ili mshahara uingie kwa kila mmoja. Mi nimeona na nimeona daraja nimepanda bila annual increment. So km unataka kujua nini ni nini ingieni muone salary slip kwa kutumia kishkwambi au computer sim kwangu naona imegoma sijui simu za wengine jaribuni.
Mama anaupiga mwingi
Shukrani. Ngoja nicheki.wakuu mshahara bado ila unaweza kuona salary slip kupitia mfumo wa ESS muda huu. Nadhani hazina wameshaachia pesa katika mabenki ni wao kufanya process ili mshahara uingie kwa kila mmoja. Mi nimeona na nimeona daraja nimepanda bila annual increment. So km unataka kujua nini ni nini ingieni muone salary slip kwa kutumia kishkwambi au computer sim kwangu naona imegoma sijui simu za wengine jaribuni.
Mama anaupiga mwingi
Mi nimeona salary slip ya July haina tofauti na June. Pesa ile ileEss salary slip za July zimekosewa wakuu nahisi wanarekebisha hilo kwanza
Sijajua ni Kwangu tu ama na Kwa wengine
Hebu nanyie angalieni kwanza
Afu wanatoaje slip na hawajaingiza mshiko doh!
Smart911
Kuna mtu kaajiriwa kazi yake kubonyeza Enter mshahara uingie, afu anashindwa timiza wajibu wake.Siku ya Leo imekua ndefu sana
Tuna lakusema basi tumewaambia familia wamwage maharage yote,tunakuja na kitoweo.Hapa ni kupitia figiri ,chainizi na kuchanganya na mchicha tu siku iishe.Nyie 17 People mliopo hapa tunaomba mseme neno tujue tupo pamoja. Msiwe observers tu.
Hahaha! Umeigundua clip ya yule mwamba.Tafakariii time
Hivi unajua nini maana ya elimu bure??
Wengine hapa hatutumii Io ESSwakuu mshahara bado ila unaweza kuona salary slip kupitia mfumo wa ESS muda huu. Nadhani hazina wameshaachia pesa katika mabenki ni wao kufanya process ili mshahara uingie kwa kila mmoja. Mi nimeona na nimeona daraja nimepanda bila annual increment. So km unataka kujua nini ni nini ingieni muone salary slip kwa kutumia kishkwambi au computer sim kwangu naona imegoma sijui simu za wengine jaribuni.
Mama anaupiga mwingi
Mkuu Sisi taasis yetu haitumii ESSUkiingia ess ukacheki kwenye mikopo yako utaona kama mwezi huu wamekatq teyari. Na utajuaje utajua kama unakawaida ya kuangalia mikopo yako iliyopo ni kiasi gani kwahiyo kama umeshakalili mwezi huu utaona mkopo umepungua
Poa poa mkuu, siku imeisha.Basi wakuu tulale, tuangalie hiyo kesho inshaallah.
Usingizi unasua Sua Lila ukishtuka unachungulia simu kama kama message imeingiaBasi wakuu tulale, tuangalie hiyo kesho inshaallah.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1787]Tuna lakusema basi tumewaambia familia wamwage maharage yote,tunakuja na kitoweo.Hapa ni kupitia figiri ,chainizi na kuchanganya na mchicha tu siku iishe.
Hahahaa.... jamaniiiUsingizi unasua Sua Lila ukishtuka unachungulia simu kama kama message imeingia
Hatari kuna mtu alikuwa ananitania ushasoma ,mi nikachukulia serious .Nikatoa amri wamwage maharagwe yote ,ntakuja na mboga.Ni kamzozo😄😄[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1787]
Yan maharage yamwagwe...basi leo pigeni ugali na kabejiHatari kuna mtu alikuwa ananitania ushasoma ,mi nikachukulia serious .Nikatoa amri wamwage maharagwe yote ,ntakuja na mboga.Ni kamzozo😄😄