Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

wakuu mshahara bado ila unaweza kuona salary slip kupitia mfumo wa ESS muda huu. Nadhani hazina wameshaachia pesa katika mabenki ni wao kufanya process ili mshahara uingie kwa kila mmoja. Mi nimeona na nimeona daraja nimepanda bila annual increment. So km unataka kujua nini ni nini ingieni muone salary slip kwa kutumia kishkwambi au computer sim kwangu naona imegoma sijui simu za wengine jaribuni.

Mama anaupiga mwingi
Simu huwa haionyeshi
 
wakuu mshahara bado ila unaweza kuona salary slip kupitia mfumo wa ESS muda huu. Nadhani hazina wameshaachia pesa katika mabenki ni wao kufanya process ili mshahara uingie kwa kila mmoja. Mi nimeona na nimeona daraja nimepanda bila annual increment. So km unataka kujua nini ni nini ingieni muone salary slip kwa kutumia kishkwambi au computer sim kwangu naona imegoma sijui simu za wengine jaribuni.

Mama anaupiga mwingi
Nimejaribu kwa tablet inagoma kudownload salary slip
 
wakuu mshahara bado ila unaweza kuona salary slip kupitia mfumo wa ESS muda huu. Nadhani hazina wameshaachia pesa katika mabenki ni wao kufanya process ili mshahara uingie kwa kila mmoja. Mi nimeona na nimeona daraja nimepanda bila annual increment. So km unataka kujua nini ni nini ingieni muone salary slip kwa kutumia kishkwambi au computer sim kwangu naona imegoma sijui simu za wengine jaribuni.

Mama anaupiga mwingi
Shukrani. Ngoja nicheki.
 
wakuu mshahara bado ila unaweza kuona salary slip kupitia mfumo wa ESS muda huu. Nadhani hazina wameshaachia pesa katika mabenki ni wao kufanya process ili mshahara uingie kwa kila mmoja. Mi nimeona na nimeona daraja nimepanda bila annual increment. So km unataka kujua nini ni nini ingieni muone salary slip kwa kutumia kishkwambi au computer sim kwangu naona imegoma sijui simu za wengine jaribuni.

Mama anaupiga mwingi
Wengine hapa hatutumii Io ESS
 
Ukiingia ess ukacheki kwenye mikopo yako utaona kama mwezi huu wamekatq teyari. Na utajuaje utajua kama unakawaida ya kuangalia mikopo yako iliyopo ni kiasi gani kwahiyo kama umeshakalili mwezi huu utaona mkopo umepungua
Mkuu Sisi taasis yetu haitumii ESS
 
Tuna lakusema basi tumewaambia familia wamwage maharage yote,tunakuja na kitoweo.Hapa ni kupitia figiri ,chainizi na kuchanganya na mchicha tu siku iishe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1787]
 
Back
Top Bottom